cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
HakikaBashite anataka kuja kuwa Rais???? HE WILL NEVER BE. labda Mwinyi,Mkapa na JK wote wawe wametangulia mbele ya haki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaBashite anataka kuja kuwa Rais???? HE WILL NEVER BE. labda Mwinyi,Mkapa na JK wote wawe wametangulia mbele ya haki.
RC uchaguzi unaofata anagombea ubunge na atapita tena kwa kishindo.Huyo RC mnampa kichwa tu, yaani kama kuna chizi anaota ndoto huyo kiazi atakuja hata kugombea tu basi sio apelekwe hospitali tu bali anastahili kunyongwa kwa kutaka kulihaini Taifa hili.
Nasadiki maneno yako ... Tumeliona Hilo kea MwiguluHabari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
Mwl Nyerere kwa Kikwete je?Hkn Rais alieandaa mtu wake akafanikiwa
Labda kama dunia imesimama na hakuna maombi kwa Munguuwezekano wa makonda kuja kuwa Rais kwa hii nchi ni mkubwa mno kwa sasa,amini usiamini
Kwani kwa mwinyi alimuandaa nani na mkapa je alimuandaa nani kwa mkwere najua niyule ndugu yake anayejifanya mkiristo kumbe muislamu baba mmoja mama mbalimbaliHkn Rais alieandaa mtu wake akafanikiwa
[emoji848][emoji848][emoji848]hata mimi nasubiria kuona kama Bush kweli ataondoka au laah ila bush huwa anapenda sana kuprove watu wrong so afghanistan anaweza iachia ila sio kwa kupenda ni kwasababu aprove wrong minongonoRC uchaguzi unaofata anagombea ubunge na atapita tena kwa kishindo.
Akishaingia tu bungeni anapewa na wizara moja kwa moja,
Ndani ya miaka 5 uwaziri anaandaliwa mazingira ya kukaimu nafasi endapo tu George Bush hatakua na nia ya kuendelea kuikalia nchi ya Iraq kwa mabavu.
Ila binafsi sidhani kama kweli Bush ataondoka Afghanistan kiulaini laini kama wanajeshi wengi wa Marekani wanavyo fikiria.
The next to be Tanzanian president IZ PAULO SON OF ALBERTO MAKONDAA 2025 gear onHuyo RC mnampa kichwa tu, yaani kama kuna chizi anaota ndoto huyo kiazi atakuja hata kugombea tu basi sio apelekwe hospitali tu bali anastahili kunyongwa kwa kutaka kulihaini Taifa hili.
aminaKama RC anayeandaliwa kuwa Rais ni Mhe.Makonda basi tutakuwa na Rais mwingine bora na mtendaji kama MheMagu tumuombee afanikiwe
Mwigulu atarudi 90%Kweli kabisa, Nape na Mwigulu kwishnei. Hawarudi bungeni 2020
Jokate anaandaliwa kuwa waziri wa mambo ya nje na za chini chini zinasema ameambiwa afanye masters ya international relation open university ili musimuone saa mnaaulizia alisoma wapi hayo mambo awaonyeshe cheti.......Uongo?
Makonda anaandaliwa kuwa Rais hapo 2025.
Dhima kuu ni ili akayalinde Mabaya ya Mhusika.
Paskali wa jf aliweka uzi mmoja hapa kuwa rais ni Magufuli na kweli akawa Magufuli.
Siku akishusha uzi mwingine msije mkampuuza
Mimi nadhani kwa 2025 anu 2035 najua Rais wetu Ni Jokate.
Lakini kanauwezo flan hivi.Jokate anaandaliwa kuwa waziri wa mambo ya nje na za chini chini zinasema ameambiwa afanye masters ya international relation open university ili musimuone saa mnaaulizia alisoma wapi hayo mambo awaonyeshe cheti.......
Anauwezo wa kawaida tu na kama hujui hawa tofautiani sana na Wema...wote wanatumia uwana wake wao kupata wanavyopata sio kwa sababu ya capacity......Lakini kanauwezo flan hivi.
Rc ataanzia u-majariwa 2025 , then atapewa kijiti cha Nyerere 30RC uchaguzi unaofata anagombea ubunge na atapita tena kwa kishindo.
Akishaingia tu bungeni anapewa na wizara moja kwa moja,
Ndani ya miaka 5 uwaziri anaandaliwa mazingira ya kukaimu nafasi endapo tu George Bush hatakua na nia ya kuendelea kuikalia nchi ya Iraq kwa mabavu.
Ila binafsi sidhani kama kweli Bush ataondoka Afghanistan kiulaini laini kama wanajeshi wengi wa Marekani wanavyo fikiria.
( 0 )Kusema ukweli Jafo hana madhara yoyote kwa wasaka tonge. Wenye madhara ni Mwigulu na January Makamba..hawa vijana kusema ukweli walishatengeneza mitandao yao tangu 2015, Magu anawahofia sana. Ndio maana Mwigulu hata asifie vipi kwenye uwaziri harudi.
Rais ajaye ni Kalemani au Bashite. Amini usiamin!
Huyo rc labda kama kasoma kisomo cha watu wazima vinginevyo hatuwezi kutawaliwa na mtu ngumbaluHabari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
Ni vigumu sana hili kutokeaPoleni kwa ambao mnabet kuhusu urais. The next president is Hon. Dr. Wilbroad P. Slaa he is buying time abroad but when he comes back you will be shocked.
Over
Umeshaligundua hiloeeeee?Sasa wasiuwane tu maana hivi vyeo ni vya kupita, kama jamaa anavyokazana kutamka kila mara "nitapita atakuja mwingine...."
Zilongwa mbali zitendwa mbali
Atakwambia kuwa ni kijana mchapa kaziEbu tuweke ushabiki kando,hivi January kasingiziwa au kweli kachota mifedha NSSF tena kwa mgongo wa huyu ni mwenzetu.
Jiulize ni kwanini enzi za Dr Dau Makamba na akina Zitto walikuwa wakifaidi hazina ya NSSF ?.
Huyu Jaffo ni nani nchi hii jafanyanini zaidi ya kuhamia ofisi za mabati Dodoma !.