Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

Huyo RC mnampa kichwa tu, yaani kama kuna chizi anaota ndoto huyo kiazi atakuja hata kugombea tu basi sio apelekwe hospitali tu bali anastahili kunyongwa kwa kutaka kulihaini Taifa hili.
RC uchaguzi unaofata anagombea ubunge na atapita tena kwa kishindo.
Akishaingia tu bungeni anapewa na wizara moja kwa moja,
Ndani ya miaka 5 ya uwaziri anaandaliwa mazingira ya kukaimu nafasi endapo tu George Bush hatakua na nia ya kuendelea kuikalia nchi ya Iraq kwa mabavu.
Ila binafsi sidhani kama kweli Bush ataondoka Afghanistan kiulaini laini kama wanajeshi wengi wa Marekani wanavyo fikiria.
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Nasadiki maneno yako ... Tumeliona Hilo kea Mwigulu

Ha ha ha ha haaaaa roho wa Shetani utamjua tu!!!
 
Hkn Rais alieandaa mtu wake akafanikiwa
Kwani kwa mwinyi alimuandaa nani na mkapa je alimuandaa nani kwa mkwere najua niyule ndugu yake anayejifanya mkiristo kumbe muislamu baba mmoja mama mbalimbali
 
Wamemalizana kula nje sasa wanakulana wao kwa wao...
 
RC uchaguzi unaofata anagombea ubunge na atapita tena kwa kishindo.
Akishaingia tu bungeni anapewa na wizara moja kwa moja,
Ndani ya miaka 5 uwaziri anaandaliwa mazingira ya kukaimu nafasi endapo tu George Bush hatakua na nia ya kuendelea kuikalia nchi ya Iraq kwa mabavu.
Ila binafsi sidhani kama kweli Bush ataondoka Afghanistan kiulaini laini kama wanajeshi wengi wa Marekani wanavyo fikiria.
[emoji848][emoji848][emoji848]hata mimi nasubiria kuona kama Bush kweli ataondoka au laah ila bush huwa anapenda sana kuprove watu wrong so afghanistan anaweza iachia ila sio kwa kupenda ni kwasababu aprove wrong minongono
 
Huyo RC mnampa kichwa tu, yaani kama kuna chizi anaota ndoto huyo kiazi atakuja hata kugombea tu basi sio apelekwe hospitali tu bali anastahili kunyongwa kwa kutaka kulihaini Taifa hili.
The next to be Tanzanian president IZ PAULO SON OF ALBERTO MAKONDAA 2025 gear on
 
Uongo?

Makonda anaandaliwa kuwa Rais hapo 2025.
Dhima kuu ni ili akayalinde Mabaya ya Mhusika.

Paskali wa jf aliweka uzi mmoja hapa kuwa rais ni Magufuli na kweli akawa Magufuli.

Siku akishusha uzi mwingine msije mkampuuza

Mimi nadhani kwa 2025 anu 2035 najua Rais wetu Ni Jokate.
Jokate anaandaliwa kuwa waziri wa mambo ya nje na za chini chini zinasema ameambiwa afanye masters ya international relation open university ili musimuone saa mnaaulizia alisoma wapi hayo mambo awaonyeshe cheti.......
 
Jokate anaandaliwa kuwa waziri wa mambo ya nje na za chini chini zinasema ameambiwa afanye masters ya international relation open university ili musimuone saa mnaaulizia alisoma wapi hayo mambo awaonyeshe cheti.......
Lakini kanauwezo flan hivi.
 
RC uchaguzi unaofata anagombea ubunge na atapita tena kwa kishindo.
Akishaingia tu bungeni anapewa na wizara moja kwa moja,
Ndani ya miaka 5 uwaziri anaandaliwa mazingira ya kukaimu nafasi endapo tu George Bush hatakua na nia ya kuendelea kuikalia nchi ya Iraq kwa mabavu.
Ila binafsi sidhani kama kweli Bush ataondoka Afghanistan kiulaini laini kama wanajeshi wengi wa Marekani wanavyo fikiria.
Rc ataanzia u-majariwa 2025 , then atapewa kijiti cha Nyerere 30
 
Kusema ukweli Jafo hana madhara yoyote kwa wasaka tonge. Wenye madhara ni Mwigulu na January Makamba..hawa vijana kusema ukweli walishatengeneza mitandao yao tangu 2015, Magu anawahofia sana. Ndio maana Mwigulu hata asifie vipi kwenye uwaziri harudi.
Rais ajaye ni Kalemani au Bashite. Amini usiamin!
( 0 )
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Huyo rc labda kama kasoma kisomo cha watu wazima vinginevyo hatuwezi kutawaliwa na mtu ngumbalu
 
Sasa wasiuwane tu maana hivi vyeo ni vya kupita, kama jamaa anavyokazana kutamka kila mara "nitapita atakuja mwingine...."

Zilongwa mbali zitendwa mbali
Umeshaligundua hiloeeeee?
 
Ebu tuweke ushabiki kando,hivi January kasingiziwa au kweli kachota mifedha NSSF tena kwa mgongo wa huyu ni mwenzetu.

Jiulize ni kwanini enzi za Dr Dau Makamba na akina Zitto walikuwa wakifaidi hazina ya NSSF ?.

Huyu Jaffo ni nani nchi hii jafanyanini zaidi ya kuhamia ofisi za mabati Dodoma !.
Atakwambia kuwa ni kijana mchapa kazi
 
Back
Top Bottom