Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
January hajawahi na wala hatawahi kuwa tishio kwenye mbiyo za urais! Hana sifa! Kikwete ndiye mtu pekee asiyekuwa na sifa aliyebahatika kupenya mpaka akawa rais kwa kutumia mtandao na fedha. Na hii ni kwa sababu ya Mkapa kutokuwa makini. System imeshashtuka, tukio kama hilo kujitokeza tena ni hakuna.
 
Hapa ndipo namkumbuka prof Lumumba anasema " Afrika, wenye akili hawana mamlaka na wenye mamlaka hawana akili".

Kama tungekuwa tunachagua rais kwa kigezo cha akili, basi Makamba alikuwa ndiyo bora zaidi miongoni mwa vijana wote waliotia nia ya kuutaka urais 2015 ndani ya ccm.

Sasa wanamuandama ili kumuondoa kwenye reli mazima.
Ni bora na ana akili kwa kiwango chako cha upeo! Siyo kwa watanzania wote.
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Wapiga polishi hawaachi vituko,naona baada ya kuwa mmebanwa kila kona mnatafuta pakutokea kwa kuwafaraknisha wakulima na wafugaji. ni wajinga tuu watakaokubaliana na akili ya kitoto ya machoma "mishikaki"
 
uwezekano wa makonda kuja kuwa Rais kwa hii nchi ni mkubwa mno kwa sasa,amini usiamini
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.

Akina nani hao????
 
Huyo anaeandaliwa, akifa 2024 itakuwaje[emoji276][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Kuhusu ya NSSF tuyaweke kando maana kuna kumbukumbu aliyekuwa waziri mwenye dhamana ya TAKUKURU wakati huo Sophia Simba mbele ya mabosi wake ndani ya mkutano wa chama chake alitamka wazi ",CCM hakuna msafi" hakuna aliyeinua shingo ndani ya mkutano ule si Mkapa wala JK!

So kama hakuna msafi ukiona ndani ya CCM mnunuzi wa kivuko kibovu ananyamaziwa na mdokozi wa NSSF anaandamwa ujue huyo hahitajiki kwenye circle ya wezi wenzie.
Kuna watu huwa mnasema ukweli mpaka mnaudhi.
 
uwezekano wa makonda kuja kuwa Rais kwa hii nchi ni mkubwa mno kwa sasa,amini usiamini
Nitahama nchi , huyo jamaa hafai hata hapo alipo , labda kama CCM wanataka ifie kwenye mikono ya system
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Unateseka nini ww?
 
Mpk sasa mtu ambae naona ana afadhali pale ccm ni dokta Hussein mwinyi
 
Uongo?

Makonda anaandaliwa kuwa Rais hapo 2025.
Dhima kuu ni ili akayalinde Mabaya ya Mhusika.

Paskali wa jf aliweka uzi mmoja hapa kuwa rais ni Magufuli na kweli akawa Magufuli.

Siku akishusha uzi mwingine msije mkampuuza

Mimi nadhani kwa 2025 anu 2035 najua Rais wetu Ni Jokate.
Hkn Rais alieandaa mtu wake akafanikiwa
 
Natamani hii chain ya jasiri muongoza njia ipite naye kabla huu mwaka haujaisha yaani huyu jamaa ni msaliti mfano hakuna. I hate him so much! Sioni hata cha maana anachokifanya.. wanachomoka watu wa maana lenyewe linabaki... Eti awe raisi kha! Hii itakua kali ya dunia....
Basi hata makonda hamumjui.. makonda ni mtu ambaye akipata nafasi anakuchenjia saa yoyote. Kifupi makonda hanaga rafiki wa kudumu. Yuko wapi rizwan ambaye alikuwa anabebwa juu juu na makonda? Wapi kikwete kwa makonda? Muulize nape ambaye makonda alikuwa pacha wake, ni nape ndio alikuwa akimwambia makonda apige dili akiwa dc baada ya kuona makonda mzito. Leo wako wapi.? Wapi Ruge mutahaba na makonda? Iliishiaje? Ni Reginald mengi alimwandalia makonda chakula alipooa, lakini waliwahi kutofautiana kabla ya kupatana tena.
 
Huna haja ya kuiweka siri source yako ni hii hapa

P
This is why I like you brother P ! Mtu anaficha source aliyo iokota humu humu JF ! I see !
 
Back
Top Bottom