Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Rais Ajaye ni Jokate.Rais ni jokate..? Hahahah sio kwa serikal hii na chama hiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Ajaye ni Jokate.Rais ni jokate..? Hahahah sio kwa serikal hii na chama hiki.
Andaa passport na nauli ya kutoshaMkuu tupeane michongo basi tuje huko.
Vyote nnavyoAndaa passport na nauli ya kutosha
Laizma atakuwa ni bashite.Usikute bashite ndo huyo RC mwenyewe
Kamwenee[emoji137]Kuhusu ya NSSF tuyaweke kando maana kuna kumbukumbu aliyekuwa waziri mwenye dhamana ya TAKUKURU wakati huo Sophia Simba mbele ya mabosi wake ndani ya mkutano wa chama chake alitamka wazi ",CCM hakuna msafi" hakuna aliyeinua shingo ndani ya mkutano ule si Mkapa wala JK!
So kama hakuna msafi ukiona ndani ya CCM mnunuzi wa kivuko kibovu ananyamaziwa na mdokozi wa NSSF anaandamwa ujue huyo hahitajiki kwenye circle ya wezi wenzie.
Hapa ndipo namkumbuka prof Lumumba anasema " Afrika, wenye akili hawana mamlaka na wenye mamlaka hawana akili".Yap!
Alishaweka Uzi, akasema ana udhubutu, apunguze(Paul)Uongo?
Makonda anaandaliwa kuwa Rais hapo 2025.
Dhima kuu ni ili akayalinde Mabaya ya Mhusika.
Paskali wa jf aliweka uzi mmoja hapa kuwa rais ni Magufuli na kweli akawa Magufuli.
Siku akishusha uzi mwingine msije mkampuuza
Mimi nadhani kwa 2025 anu 2035 najua Rais wetu Ni Jokate.
KwaniniHaahaa eti January aupate urais thubutu. Labda jafo
Basi hata makonda hamumjui.. makonda ni mtu ambaye akipata nafasi anakuchenjia saa yoyote. Kifupi makonda hanaga rafiki wa kudumu. Yuko wapi rizwan ambaye alikuwa anabebwa juu juu na makonda? Wapi kikwete kwa makonda? Muulize nape ambaye makonda alikuwa pacha wake, ni nape ndio alikuwa akimwambia makonda apige dili akiwa dc baada ya kuona makonda mzito. Leo wako wapi.? Wapi Ruge mutahaba na makonda? Iliishiaje? Ni Reginald mengi alimwandalia makonda chakula alipooa, lakini waliwahi kutofautiana kabla ya kupatana tena.Uongo?
Makonda anaandaliwa kuwa Rais hapo 2025.
Dhima kuu ni ili akayalinde Mabaya ya Mhusika.
Paskali wa jf aliweka uzi mmoja hapa kuwa rais ni Magufuli na kweli akawa Magufuli.
Siku akishusha uzi mwingine msije mkampuuza
Mimi nadhani kwa 2025 anu 2035 najua Rais wetu Ni Jokate.
Kweli kabisa, Nape na Mwigulu kwishnei. Hawarudi bungeni 2020Kwetu washamaliza sasa wamehamia kwenu!
Subiri na omba uhai utaona.Huyo RC mnampa kichwa tu, yaani kama kuna chizi anaota ndoto huyo kiazi atakuja hata kugombea tu basi sio apelekwe hospitali tu bali anastahili kunyongwa kwa kutaka kulihaini Taifa hili.
Ok Sawa Kata ticket panda ndege Utanikuta hukuVyote nnavyo
Ameshauweka siku nyingi sana,Uongo?
Makonda anaandaliwa kuwa Rais hapo 2025.
Dhima kuu ni ili akayalinde Mabaya ya Mhusika.
Paskali wa jf aliweka uzi mmoja hapa kuwa rais ni Magufuli na kweli akawa Magufuli.
Siku akishusha uzi mwingine msije mkampuuza
Mimi nadhani kwa 2025 anu 2035 najua Rais wetu Ni Jokate.
Pia leo wameanza kumdili Field Marshal wa Singida licha kwasasa hayupo tena kwenye CabinetHabari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
Wanasemaje kumuhusu mwana huyu wa mkulima na mchunga ng'ombe?Pia leo wameanza kumdili Field Marshal wa Singida licha kwasasa hayupo tena kwenye Cabinet
Kuna kiporo cha LissuHabari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.
Source: Naiweka siri kwa sasa.