Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

Jafo ni Muislam lakini Sio Mzanzibar.

Jafo hana migogoro hata na wapinzani.

Angalau Jafo ameonyesha umahiri mkubwa pale Tamisemi.


Nasadiki unayoyasema isipokuwa nawaza, Je! Wazanzibar watabembelezwaje?

Naona mtu hatari kwenye mipango ya 2020 au 2025 ni Hussein Mwinyi.

Kwanza huwezi kumchafua, pili haonyeshi kuwa na tamaa ya madaraka,tatu hana mgogoro na wapinzani.

Ni MZANZIBARA anayekubalika kote bara na visiwani.

Jeshi linamkubali amefanya kazi na na ma CDF watatu.
Uzuri wote ni Wazaramo, huyu wa Mkuranga (Kabla ilikuwa Kisarawe) mwengine wa Kisarawe
 
Huna haja ya kuiweka siri source yako ni hii hapa

P
Paskali,hizi vita zote ni "genuine" au "chezo la kijani" hili kuwahadaa wapinzani na wananchi?!maana dah!ni kali mno!
 
Unaelekea wewe una umri mdogo / under 18. Kama Mkapa mwenyewe alipata urais kwa nusura za Nyerere alafu unasema JK hakuwa na sifa. Na bado JK anabaki kuwa bora ukimlinganisha na JPM
January hajawahi na wala hatawahi kuwa tishio kwenye mbiyo za urais! Hana sifa! Kikwete ndiye mtu pekee asiyekuwa na sifa aliyebahatika kupenya mpaka akawa rais kwa kutumia mtandao na fedha. Na hii ni kwa sababu ya Mkapa kutokuwa makini. System imeshashtuka, tukio kama hilo kujitokeza tena ni hakuna.
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Ramli inakuzeesha vibaya wewe.
Mipango yenu imekwama sasa mnahaha kutafuta la kuwafariji
 
Unabii umetimia.... Wakati ni wakili mkweli
Hii ishu mkuu haikuwa inahitaji unabii, hata kama wew ningekuwa mfanya kazi wako then ukamate maongezi yangu kuwa nakuhujumu usingeniacha niendelee na kazi.... Ile clips ya jana Makamba wakiongea na mtoto wake january ndiyo iliyo pigilia msumari wa mwisho..... Bado kuna vigogo wengine watafutwa uanachama wa chama..... Hata kama siyo leo basi mda ukifika....
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Wewe mchawi. Mh. Jafo hana unafiki, si ndumilakuwili, ni mtu wa HAPA KAZI TU!
 
Hii ishu mkuu haikuwa inahitaji unabii, hata kama wew ningekuwa mfanya kazi wako then ukamate maongezi yangu kuwa nakuhujumu usingeniacha niendelee na kazi.... Ile clips ya jana Makamba wakiongea na mtoto wake january ndiyo iliyo pigilia msumari wa mwisho..... Bado kuna vigogo wengine watafutwa uanachama wa chama..... Hata kama siyo leo basi mda ukifika....
In short ndumilakuwili (a.k.a wale wazee wa dili wanajulikana wote)
 
Hii Tanzania ya serikali ya awamu ya 5 ukienda sehemu ambayo hakuna network ukija kurudi online unaweza kukuta baraza lote la mawaziri limebadilishwa ama hata jina la Tanzania limebadilishwa ukakuta inaitwa Chato aisee.

Lawama zote kwa John
 
Punguza ukali shoga yangu, ramli ipo wapi hapo?
Mwanaumerijali kuitwa shoga au shosti ni kumtukana. Futa usemi huo kwanza

kisha kinachojiri ni kwamba hili tukio la kupanga kumpunguza kasi Magufuli limebumburuka na wengi wanahaha kuficha nyuso zao. Subirini sindano ziwaingie kwanza. bora kukaa kimya mkuu
 
Ajaye anatoka kanda ya kati au juu kusini ila kaskazini wasubiri kwanza
 
Leo Pombe katuma message kubwa kwa mababa. Thubutuni na mtaona kama watoto wenu watabaki kuwa mawaziri; wabunge; makatibu wakuu!

Message sent and delivered kwa WAZEE!

Lawama zote kwa John
 
Unaelekea wewe una umri mdogo / under 18. Kama Mkapa mwenyewe alipata urais kwa nusura za Nyerere alafu unasema JK hakuwa na sifa. Na bado JK anabaki kuwa bora ukimlinganisha na JPM
Maelezo yako yanaonyesha hujui chochote kuhusu uchaguzi uliomwingza Kikwete na kundi la mtandao madarakani 2005. Kwa kifupi kabisa Mkapa alikuwa ameapa na kujiapiza kuwa hawezi kumwachia Kikwete na kundi lake kuingia madarakani! Lakini kumbe kina Lowassa na kundi la mtandao ''walishaiteka'' system yote huku yeye hana habari. Ilipofika wakati wa uchaguzi ndani ya CCM akajikuta hana la kufanya kwa sababu aliambiwa kwamba usipowaachia wakihamia upinzani watachukuwa nchi kwani wana uungwaji mkono mkubwa. Hakujua waliokuwa wanamwambia hivyo nao walikuwa kwenye kundi la mtandao. Ikabidi akubali tu kwa shingo upande.
 
Maelezo yako yanaonyesha hujui chochote kuhusu uchaguzi uliomwingza Kikwete na kundi la mtandao madarakani 2005. Kwa kifupi kabisa Mkapa alikuwa ameapa na kujiapiza kuwa hawezi kumwachia Kikwete na kundi lake kuingia madarakani! Lakini kumbe kina Lowassa na kundi la mtandao ''walishaiteka'' system yote huku yeye hana habari. Ilipofika wakati wa uchaguzi ndani ya CCM akajikuta hana la kufanya kwa sababu aliambiwa kwamba usipowaachia wakihamia upinzani watachukuwa nchi kwani wana uungwaji mkono mkubwa. Hakujua waliokuwa wanamwambia hivyo nao walikuwa kwenye kundi la mtandao. Ikabidi akubali tu kwa shingo upande.
Hizi habari za vijiweni mkuu, mwaka 1995 Kikwete alishinda kura za maoni dhidi ya akina Mkapa na wengine. Ni Mwalimu aliingilia kati kwa kigezo cha kuwa Kikwete bado alikuwa kijana sana (Hajakomaa) na alitishia kujiondoa CCM. Hivyo akapewa Mkapa lakini bado mioyoni mwa Watanzania na Wanaccm bado Kikwete alikuwepo. Hivyo Mkapa hakuwa na namna kwa kuwa JK mwenyewe alikuwa nguvu tosha ndio maana hata wakina Lowasa hawakutaka kupambana nae badala yake wakajiunga kwenye kambi yake.
 
Back
Top Bottom