Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #181
OK, nitafanya hivyoUliza vizuri watu watakwambia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK, nitafanya hivyoUliza vizuri watu watakwambia.
Akiishi kinafiki atadumuHuyu bashe nae ajiandae naona kama uteuzi wake ni wa kimtego sana mpaka sasa wala siamnini kama atadumu hapo
Umeonaee?Unabii umetimia.... Wakati ni wakili mkweli
Uzuri wote ni Wazaramo, huyu wa Mkuranga (Kabla ilikuwa Kisarawe) mwengine wa KisaraweJafo ni Muislam lakini Sio Mzanzibar.
Jafo hana migogoro hata na wapinzani.
Angalau Jafo ameonyesha umahiri mkubwa pale Tamisemi.
Nasadiki unayoyasema isipokuwa nawaza, Je! Wazanzibar watabembelezwaje?
Naona mtu hatari kwenye mipango ya 2020 au 2025 ni Hussein Mwinyi.
Kwanza huwezi kumchafua, pili haonyeshi kuwa na tamaa ya madaraka,tatu hana mgogoro na wapinzani.
Ni MZANZIBARA anayekubalika kote bara na visiwani.
Jeshi linamkubali amefanya kazi na na ma CDF watatu.
Paskali,hizi vita zote ni "genuine" au "chezo la kijani" hili kuwahadaa wapinzani na wananchi?!maana dah!ni kali mno!Huna haja ya kuiweka siri source yako ni hii hapa
PSakata la January Makamba na Pesa za NSSF: Awataka maadui zake kumkabili moja kwa moja
January ni jizi linalofahamika. Hii jeuri ya kuiba pesa za umma aliipata kipindi cha JK walipokuwa wanaona nchi ni yao, tena hata hiyo 1b waliyosema ni ndogo. Wamtupe lupango atawataja wenzake walioshirikiana kuiba pesa za umma. Serekali hii haina nafasi kwa majizi.Maneno mengi hatua zero.ripoti...www.jamiiforums.com
January hajawahi na wala hatawahi kuwa tishio kwenye mbiyo za urais! Hana sifa! Kikwete ndiye mtu pekee asiyekuwa na sifa aliyebahatika kupenya mpaka akawa rais kwa kutumia mtandao na fedha. Na hii ni kwa sababu ya Mkapa kutokuwa makini. System imeshashtuka, tukio kama hilo kujitokeza tena ni hakuna.
Pascal njoo hukuPaskali,hizi vita zote ni "genuine" au "chezo la kijani" hili kuwahadaa wapinzani na wananchi?!maana dah!ni kali mno!
Ramli inakuzeesha vibaya wewe.Habari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
Hii ishu mkuu haikuwa inahitaji unabii, hata kama wew ningekuwa mfanya kazi wako then ukamate maongezi yangu kuwa nakuhujumu usingeniacha niendelee na kazi.... Ile clips ya jana Makamba wakiongea na mtoto wake january ndiyo iliyo pigilia msumari wa mwisho..... Bado kuna vigogo wengine watafutwa uanachama wa chama..... Hata kama siyo leo basi mda ukifika....Unabii umetimia.... Wakati ni wakili mkweli
Wewe mchawi. Mh. Jafo hana unafiki, si ndumilakuwili, ni mtu wa HAPA KAZI TU!Habari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
In short ndumilakuwili (a.k.a wale wazee wa dili wanajulikana wote)Hii ishu mkuu haikuwa inahitaji unabii, hata kama wew ningekuwa mfanya kazi wako then ukamate maongezi yangu kuwa nakuhujumu usingeniacha niendelee na kazi.... Ile clips ya jana Makamba wakiongea na mtoto wake january ndiyo iliyo pigilia msumari wa mwisho..... Bado kuna vigogo wengine watafutwa uanachama wa chama..... Hata kama siyo leo basi mda ukifika....
Punguza ukali shoga yangu, ramli ipo wapi hapo?Ramli inakuzeesha vibaya wewe.
Mipango yenu imekwama sasa mnahaha kutafuta la kuwafariji
Mwanaumerijali kuitwa shoga au shosti ni kumtukana. Futa usemi huo kwanzaPunguza ukali shoga yangu, ramli ipo wapi hapo?
Maelezo yako yanaonyesha hujui chochote kuhusu uchaguzi uliomwingza Kikwete na kundi la mtandao madarakani 2005. Kwa kifupi kabisa Mkapa alikuwa ameapa na kujiapiza kuwa hawezi kumwachia Kikwete na kundi lake kuingia madarakani! Lakini kumbe kina Lowassa na kundi la mtandao ''walishaiteka'' system yote huku yeye hana habari. Ilipofika wakati wa uchaguzi ndani ya CCM akajikuta hana la kufanya kwa sababu aliambiwa kwamba usipowaachia wakihamia upinzani watachukuwa nchi kwani wana uungwaji mkono mkubwa. Hakujua waliokuwa wanamwambia hivyo nao walikuwa kwenye kundi la mtandao. Ikabidi akubali tu kwa shingo upande.Unaelekea wewe una umri mdogo / under 18. Kama Mkapa mwenyewe alipata urais kwa nusura za Nyerere alafu unasema JK hakuwa na sifa. Na bado JK anabaki kuwa bora ukimlinganisha na JPM
Hizi habari za vijiweni mkuu, mwaka 1995 Kikwete alishinda kura za maoni dhidi ya akina Mkapa na wengine. Ni Mwalimu aliingilia kati kwa kigezo cha kuwa Kikwete bado alikuwa kijana sana (Hajakomaa) na alitishia kujiondoa CCM. Hivyo akapewa Mkapa lakini bado mioyoni mwa Watanzania na Wanaccm bado Kikwete alikuwepo. Hivyo Mkapa hakuwa na namna kwa kuwa JK mwenyewe alikuwa nguvu tosha ndio maana hata wakina Lowasa hawakutaka kupambana nae badala yake wakajiunga kwenye kambi yake.Maelezo yako yanaonyesha hujui chochote kuhusu uchaguzi uliomwingza Kikwete na kundi la mtandao madarakani 2005. Kwa kifupi kabisa Mkapa alikuwa ameapa na kujiapiza kuwa hawezi kumwachia Kikwete na kundi lake kuingia madarakani! Lakini kumbe kina Lowassa na kundi la mtandao ''walishaiteka'' system yote huku yeye hana habari. Ilipofika wakati wa uchaguzi ndani ya CCM akajikuta hana la kufanya kwa sababu aliambiwa kwamba usipowaachia wakihamia upinzani watachukuwa nchi kwani wana uungwaji mkono mkubwa. Hakujua waliokuwa wanamwambia hivyo nao walikuwa kwenye kundi la mtandao. Ikabidi akubali tu kwa shingo upande.
S. Jaffo hawezi kuundiwa zegwe, ndiye waziri mkuu ajae baada ya K.Majaliwa...In short ndumilakuwili (a.k.a wale wazee wa dili wanajulikana wote)