Kipind hicho ukitafuna unasikia khaaaaaahh kama umetafuna jiwe vile kumbe ni muhindiIla nimegundua kuwa kweli watu wa zamani walikuwa wagumu,tulikuwa tunatafuna hiyo kitu hatuumwi meno wala nini,siku hizi watu wanatafuna Pop corn tu,ukimpa hiyo kitu lazima kesho yake utasikia jaws zinaniuma au nashindwa kabisa kutafuna chakula meno yananiuma kweli......
Wakishua wanakula Popcorn huu uzigo hawauwezi wataishia hospital Kung,oa menoWakishua kile kitu wanabaguliwa
Hawezi Fanya
Unaweza ukawa wa kishua ukawa changanyikeni muuni flani hivi
Naamini wapo wa kishua waliokula uketo
Nb: mi sio wa kishua
Mzee wa baki benja na kula uketoDuuh, back in my younger days.
Umenikumbusha mbali sana aiseee!
Wakishua wanjua PopcornsHakishua awezi elewa hii kitu ni nn na ladha yake ipoje nikama unatafuna maini vile.
Hahahahahahahahahhaha wahuni tulikuwa tunakula tunahakikisha sauti haitoka ili masela wasisanuke ikawa sooHio kitu enzi hizo primary iliwahi mfanya jamaa yangu kuchezea fimbo za kutosha...
Tupo class pindi la sayansi, teacher mkali huyo. Jamaa akaanza kutafuna kwa nguvu na ile yake sasa. Teacher alisala akaja kutusachi backbenchers wote.
Jamaa alikua mchoyo anatafuna mwenywe alipigwa huyo daaahh
kabisa wakitafuna hizo wanaweza ng'oa meno siunajua wale watoto ni laini sana.
Hakishua awezi elewa hii kitu ni nn na ladha yake ipoje nikama unatafuna maini vile.
🤣 🤣 🤣 swagga hizo mamiloo usipagawe.Mkuu,maini??
Mbona yana ladha ya mahindi hayo
Kipindi cha kufunga shule( ya msingi)nilikuwa nakaanga sado nzima natafuna asubuhi hadi jioni.Hatari sana huu mzigo enzi za primary school ndo unatrend yanachukua sehem ya simu mfukoni mnakuta mwana anatembea full loaded
Ebu wale wakongwe tukuje kukumbushana kidogo Wakishua someni commentsView attachment 1467486
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nilikuwa naloweka na magadi wee acha tuu[emoji23][emoji23]hivo vitu ni vitamu na nilivijua huko huko shule kuna ile ya kukaanga unga wa sembe ukipoa unachanganya na sukari tulikua tunaita magunia loh vitam
Boboro...Hatari sana huu mzigo enzi za primary school ndo unatrend yanachukua sehem ya simu mfukoni mnakuta mwana anatembea full loaded
Ebu wale wakongwe tukuje kukumbushana kidogo Wakishua someni commentsView attachment 1467486
Sent using Jamii Forums mobile app
hayo mahindi uliloweka na magadi??? ulilowekwa tu kwenye maji ya kawaida unalala humo had asubuh unakaangwa kwenye mafuta yan ni vitam vinakua vinalini kuliko vile ambavyo unakaanga hivi hivi bila kuloweka hua n vigumuMi nilikuwa naloweka na magadi wee acha tuu[emoji23][emoji23]