Wakishua hawajui. Ila wale wakongwe wenzangu mlikuwa mnayaitaje haya mazaga "kichuga kiboboroo"

Wakishua hawajui. Ila wale wakongwe wenzangu mlikuwa mnayaitaje haya mazaga "kichuga kiboboroo"

Ila nimegundua kuwa kweli watu wa zamani walikuwa wagumu,tulikuwa tunatafuna hiyo kitu hatuumwi meno wala nini,siku hizi watu wanatafuna Pop corn tu,ukimpa hiyo kitu lazima kesho yake utasikia jaws zinaniuma au nashindwa kabisa kutafuna chakula meno yananiuma kweli......
Kipind hicho ukitafuna unasikia khaaaaaahh kama umetafuna jiwe vile kumbe ni muhindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakishua kile kitu wanabaguliwa
Hawezi Fanya


Unaweza ukawa wa kishua ukawa changanyikeni muuni flani hivi
Naamini wapo wa kishua waliokula uketo


Nb: mi sio wa kishua
Wakishua wanakula Popcorn huu uzigo hawauwezi wataishia hospital Kung,oa meno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio kitu enzi hizo primary iliwahi mfanya jamaa yangu kuchezea fimbo za kutosha...

Tupo class pindi la sayansi, teacher mkali huyo. Jamaa akaanza kutafuna kwa nguvu na ile yake sasa. Teacher alisala akaja kutusachi backbenchers wote.

Jamaa alikua mchoyo anatafuna mwenywe alipigwa huyo daaahh
Hahahahahahahahahhaha wahuni tulikuwa tunakula tunahakikisha sauti haitoka ili masela wasisanuke ikawa soo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yakilala yakawa magumu unayaloeka

Hayaa makitu Ni matamu Sana ukipata mtaalamu wakuyapika.
 
Hatari sana huu mzigo enzi za primary school ndo unatrend yanachukua sehem ya simu mfukoni mnakuta mwana anatembea full loaded

Ebu wale wakongwe tukuje kukumbushana kidogo Wakishua someni commentsView attachment 1467486

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi cha kufunga shule( ya msingi)nilikuwa nakaanga sado nzima natafuna asubuhi hadi jioni.
Shida iko kwenye kutoa kubwa sasa
 
hivo vitu ni vitamu na nilivijua huko huko shule kuna ile ya kukaanga unga wa sembe ukipoa unachanganya na sukari tulikua tunaita magunia loh vitam
Mi nilikuwa naloweka na magadi wee acha tuu[emoji23][emoji23]
 
Hatari sana huu mzigo enzi za primary school ndo unatrend yanachukua sehem ya simu mfukoni mnakuta mwana anatembea full loaded

Ebu wale wakongwe tukuje kukumbushana kidogo Wakishua someni commentsView attachment 1467486

Sent using Jamii Forums mobile app
Boboro...
Nimepewa sana adhabu shule yangu ya msingi kwa kuiba mahindi stoo na kwenda vichakani kutengeneza boboro..
 
Boboro...
Nimepewa sana adhabu shule yangu ya msingi kwa kuiba mahindi stoo na kwenda vichakani kutengeneza boboro..
Hahahahahahahahahhaha ulikuwa hatari kumbe mpaka unaiba mahind yashule
 
Kipindi cha kufunga shule( ya msingi)nilikuwa nakaanga sado nzima natafuna asubuhi hadi jioni.
Shida iko kwenye kutoa kubwa sasa
Aahhhh sado kulaleki unabeba kwenye nn huo mzigo mjombaa .Kiu yake sio poa utakunywa maji kinyama
 
Mi nilikuwa naloweka na magadi wee acha tuu[emoji23][emoji23]
hayo mahindi uliloweka na magadi??? ulilowekwa tu kwenye maji ya kawaida unalala humo had asubuh unakaangwa kwenye mafuta yan ni vitam vinakua vinalini kuliko vile ambavyo unakaanga hivi hivi bila kuloweka hua n vigumu
 
Back
Top Bottom