Wakiwamo maswahiba wailaani Israel kwa ukichwa ngumu usio na tija

Wakiwamo maswahiba wailaani Israel kwa ukichwa ngumu usio na tija

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Ama kweli mwana mkaidi hafaidi hadi siku ya iddi.

IMG_20240403_061759.jpg


2. Amekuwa akiambiwa Israel mwezi wa 6 sasa, kiungwana kuachana vita, kuacha shari atafute mapatano ya kudumu.

3. Red sea kuna wa houthi, kaskazini kuna hezbollah anaparurana nao akiambiwa wazi: "ni mwendo mdundo hadi tu vita Gaza vikome."

4. Busara yote imemtoka, amepagawa hata semi za kawaida tu kuwa "vita havina macho hazina maana yoyote kwake.

5. Sasa kama wale mateka wake watatu aliowararua kwa risasi kaenda kuwauwa wafanyakazi wa kimataifa.

6. Hapo #5 wakiwa kwenye eneo aliloliita mwenyewe ni salama, akijua ni wao, kuwa wapo hapo muda huo, wakiwa na magari gani, magari mangapi yenye alama za wazi na wakiwa hapo kwa makubaliano na miadi naye.

7. Anasema ilikuwa bahati mbaya. Bahati mbaya? Vipi na wale mateka wake watatu? Vipi wanawake na watoto zaidi ya 20,000? Vipi wagonjwa na watumishi aliowaulia wakitibu mahospitalini? Vipi majengo ya shule hadi chekechea za watoto wa miaka 2? Vipi vipi.. .., vipi ni mwendo wa vipi zisizokuwa na idadi?

8. Kwamba kwa vile humo kuna watu ndiyo sasa wale maswahiba wake kindaki ndaki akili inawarudia?

9. Hapo #8, SI ni yale ya bus kuwa na abiria 29 na mmakonde 1?

10. Mdogo mdogo tutafika tu, wako wapi waliowahi kujifanya miungu watu?

11. Wako wapi kina Hitler, Mussolini au hata Lenin?
 
Iran ana nini cha kupiga mikwara... alishatamka kitambo kuwa anawasaidia magaidi kuifuta israel.. sasa Israel keshamuambi ana prevent kila hatua... na itafika siku atapiga hadi source ya magaidi... Iran sasa keshasema anaingia mzima mzima acha nae ageuzwe Gaza...
 
Iran ana nini cha kupiga mikwara... alishatamka kitambo kuwa anawasaidia magaidi kuifuta israel.. sasa Israel keshamuambi ana prevent kila hatua... na itafika siku atapiga hadi source ya magaidi... Iran sasa keshasema anaingia mzima mzima acha nae ageuzwe Gaza...

1. Iran ametajwa wapi hapo ndugu?

2. Unao uhakika kuwa umekwisha amka?

3. Isije kuwa ungali ndotoni ndugu?
 
1. Kwamba hiyo price ndiyo imewakuta hao watu na mmakonde mmoja siyo?

2. Kwa hiyo sasa wewe waona kumbe hao maswahiba zake kindaki ndaki wako kwenye kumshangilia?
Ni collateral damage hiyo.
 
Ni collateral damage hiyo.

1. Kaambiwa kusimamisha vita si mara Moja.

2. Kuna UNSC resolution shingoni pake.

3. Hii si collateral damage, huyu ni kibaka tu:

"Wakiwamo maswahiba wailaani Israel kwa ukichwa ngumu usio na tija"​


4. Wakiwamo maswahiba zake wasikilizwe, huyu ni pumbafu!
 
1. Ama kweli mwana mkaidi hafaidi hadi siku ya iddi.

View attachment 2952408

2. Amekuwa akiambiwa Israel mwezi wa 6 sasa, kiungwana kuachana vita, kuacha shari atafute mapatano ya kudumu.

3. Red sea kuna wa houthi, kaskazini kuna hezbollah anaparurana nao akiambiwa wazi: "ni mwendo mdundo hadi tu vita Gaza vikome."

4. Busara yote imemtoka, amepagawa hata semi za kawaida tu kuwa "vita havina macho hazina maana yoyote kwake.

5. Sasa kama wale mateka wake watatu aliowararua kwa risasi kaenda kuwauwa wafanyakazi wa kimataifa.

6. Hapo #5 wakiwa kwenye eneo aliloliita mwenyewe ni salama, akijua ni wao, kuwa wapo hapo muda huo, wakiwa na magari gani, magari mangapi yenye alama za wazi na wakiwa hapo kwa makubaliano na miadi naye.

7. Anasema ilikuwa bahati mbaya. Bahati mbaya? Vipi na wale mateka wake watatu? Vipi wanawake na watoto zaidi ya 20,000? Vipi wagonjwa na watumishi aliowaulia wakitibu mahospitalini? Vipi majengo ya shule hadi chekechea za watoto wa miaka 2? Vipi vipi.. .., vipi ni mwendo wa vipi zisizokuwa na idadi?

8. Kwamba kwa vile humo kuna watu ndiyo sasa wale maswahiba wake kindaki ndaki akili inawarudia?

9. Hapo #8, SI ni yale ya bus kuwa na abiria 29 na mmakonde 1?

10. Mdogo mdogo tutafika tu, wako wapi waliowahi kujifanya miungu watu?

11. Wako wapi kina Hitler, Mussolini au hata Lenin?
kwa nini mpaka sasa Hamas anashikilia mateka kama wanataka vita vikome (sijui maiti maana kuna uwezekano wengi walisha kufa muda mrefu sasa)?

kitendo cha Hamas kubaki na mateka tena mpaka wa nchi nyingine kina justify matendo ya kidharimu ya Netanyahu

pride ya Hamas inawatesa raia wasio na hatia wa Palestine na huu wala Sio ushujaa ni upumbavu kujificha kwenye mashimo huku wameacha mama zao dada zao na watoto wao wadogo wanateseka
 
kwa nini mpaka sasa Hamas anashikilia mateka kama wanataka vita vikome (sijui maiti maana kuna uwezekano wengi walisha kufa muda mrefu sasa)?

kitendo cha Hamas kubaki na mateka tena mpaka wa nchi nyingine kina justify matendo ya kidharimu ya Netanyahu

pride ya Hamas inawatesa raia wasio na hatia wa Palestine na huu wala Sio ushujaa ni upumbavu kujificha kwenye mashimo huku wameacha mama zao dada zao na watoto wao wadogo wanateseka

1. Unajua kuwa HAMAS na Palestina wanadai nchi yao tokea 1947?

IMG_1567.jpg


2. Unajua kuwa dunia inatambua Palestina wana haki ya taifa lao pale?

3. Unajua Israel hataki kusikia habari za taifa la Palestina pale?

4. Unajua mataifa yakiwamo maswahiba kindaki ndaki wanajua suluhu ya kudumu ya pale ni Palestina kuwa na taifa lao?

5. Sasa ni kuwa Palestina wako kwenye vita vya ukombozi wa taifa lao tokea 1947 kama sisi na Maji maji au Kenya na Mau Mau.

6. HAMAS na hivyo Palestina wako vitani kudai nchi yao. Hawakuwashika mateka wakiwa Tanzania Bali kwenye eneo la uvamizi. Wameshika mateka katika maeneo ya vita.

7. Katika madai ya vita ni nchi yao, huoni kuwa wanaomtaka mwisraeli kusimamisha vita kutumia busara wana hoja?

8. Huoni akisimamisha vita, red sea kutatulia na hezbollah watamwacha busara itamalaki kutafutwe suluhu ya kudumu?
 
1. Ama kweli mwana mkaidi hafaidi hadi siku ya iddi.

View attachment 2952408

2. Amekuwa akiambiwa Israel mwezi wa 6 sasa, kiungwana kuachana vita, kuacha shari atafute mapatano ya kudumu.

3. Red sea kuna wa houthi, kaskazini kuna hezbollah anaparurana nao akiambiwa wazi: "ni mwendo mdundo hadi tu vita Gaza vikome."

4. Busara yote imemtoka, amepagawa hata semi za kawaida tu kuwa "vita havina macho hazina maana yoyote kwake.

5. Sasa kama wale mateka wake watatu aliowararua kwa risasi kaenda kuwauwa wafanyakazi wa kimataifa.

6. Hapo #5 wakiwa kwenye eneo aliloliita mwenyewe ni salama, akijua ni wao, kuwa wapo hapo muda huo, wakiwa na magari gani, magari mangapi yenye alama za wazi na wakiwa hapo kwa makubaliano na miadi naye.

7. Anasema ilikuwa bahati mbaya. Bahati mbaya? Vipi na wale mateka wake watatu? Vipi wanawake na watoto zaidi ya 20,000? Vipi wagonjwa na watumishi aliowaulia wakitibu mahospitalini? Vipi majengo ya shule hadi chekechea za watoto wa miaka 2? Vipi vipi.. .., vipi ni mwendo wa vipi zisizokuwa na idadi?

8. Kwamba kwa vile humo kuna watu ndiyo sasa wale maswahiba wake kindaki ndaki akili inawarudia?

9. Hapo #8, SI ni yale ya bus kuwa na abiria 29 na mmakonde 1?

10. Mdogo mdogo tutafika tu, wako wapi waliowahi kujifanya miungu watu?

11. Wako wapi kina Hitler, Mussolini au hata Lenin?
Hii ni Google Translator au ni mimi tu Swaum kali?
 
1. Unajua kuwa HAMAS na Palestina wanadai nchi yao tokea 1947?

View attachment 2952450

2. Unajua kuwa dunia inatambua Palestina wana haki ya taifa lao pale?

3. Unajua Israel hataki kusikia habari za taifa la Palestina pale?

4. Unajua mataifa yakiwamo maswahiba kindaki ndaki wanajua suluhu ya kudumu ya pale ni Palestina kuwa na taifa lao?

5. Sasa ni kuwa Palestina wako kwenye vita vya ukombozi wa taifa lao tokea 1947 kama sisi na Maji maji au Kenya na Mau Mau.

6. HAMAS na hivyo Palestina wako vitani kudai nchi yao. Hawakuwashika mateka wakiwa Tanzania Bali kwenye eneo la uvamizi. Wameshika mateka katika maeneo ya vita.

7. Katika madai ya vita ni nchi yao, huoni kuwa wanaomtaka mwisraeli kusimamisha vita kutumia busara wana hoja?

8. Huoni akisimamisha vita, red sea kutatulia na hezbollah watamwacha busara itamalaki kutafutwe suluhu ya kudumu?
unataka kuniambia njia waliyo tumia October 7 ndio njia ya kudai uhuru kuua yoyote unae muona mbele ya macho yako kukamata mateka mpaka mtoto wa miaka 6?

If ndio njia sahihi acha Palestine walipie gharama za Uhuru kwa faida ya vizazi vijavyo but bad thing IDF hawatoki kwenye hio Ardhi hivi karibuni ni kama walikua wanatafuta sababu ya kuingia Gaza na Hamas wamewapa

huu mgongo ndio kwanza umeanza kuna damu nyingi zisizo na hatia zitamwagika zaidi calculation za Hamas kufufua huu mgongo hazikua sawa
 
unataka kuniambia njia waliyo tumia October 7 ndio njia ya kudai uhuru kuua yoyote unae muona mbele ya macho yako kukamata mateka mpaka mtoto wa miaka 6?

If ndio njia sahihi acha Palestine walipie gharama za Uhuru kwa faida ya vizazi vijavyo but bad thing IDF hawatoki kwenye hio Ardhi hivi karibuni ni kama walikua wanatafuta sababu ya kuingia Gaza na Hamas wamewapa

huu mgongo ndio kwanza umeanza kuna damu nyingi zisizo na hatia zitamwagika zaidi calculation za Hamas kufufua huu mgongo hazikua sawa

1. Wauliza maswali na kujijibu, Hicho ni kichekesho. Si ungebaki na majibu na maswali yako mwenyewe?

2. Palestina hawakuuwa wala kuteka kila mtu kama anavyofanya mwisraeli tokea 1947 hadi leo.

3. Kwamba Palestina anadai nchi yake Kwa kutumia nguvu; hiyo ni halali baada ya njia zote kushindwa.

4. Duniani kote wamedai haki yao hadi Kwa kutumia nguvu njia zingine ziliposhindwa:

Kama Maji Maji au Mau Mau ilikuwa halali, iweje lawama kwa wapalestina?

5. Kumbe maji maji, nau mau, ANC, frelimo, MPLA huko watu hawakufa?
 
1. Wauliza maswali na kujijibu, Hicho ni kichekesho. Si ungebaki na majibu na maswali yako mwenyewe?

2. Palestina hawakuuwa wala kuteka kila mtu kama anavyofanya mwisraeli tokea 1947 hadi leo.

3. Kwamba Palestina anadai nchi yake Kwa kutumia nguvu; hiyo ni halali baada ya njia zote kushindwa.

4. Duniani kote wamedai haki yao hadi Kwa kutumia nguvu njia zingine ziliposhindwa:

Kama Maji Maji au Mau Mau ilikuwa halali, iweje lawama kwa wapalestina?

5. Kumbe maji maji, nau mau, ANC, frelimo, MPLA huko watu hawakufa?
labda nianzie apo point no 2. Palestine hawakuua na kuteka kila Mtu bro upo seriously? 😂

na wale watoto wadogo walio fanya deal ya kubadilishana wakaachiwa waliwatoa wapi
 
comedown kijana breath in and out 😂😂😂

and one more thing jifunze uandishi serious una andika kama darasa la 3

1. Nilitaka kupuuza lakini nikaona sitakuwa nimekutendea haki nisiache kukusaidia vinginevyo hutakaa utoke ujingani.

2. Uandishi? Kumbe hujui kwanini unafanikiwa kusoma, tena hadi mwisho? Kumbe ulidhani ni utashi wako?

3. Nikuitishe kutembelea mahakamani, kwa mawakili au popote ambako sheria zina thamani yake kufahamishwa uandishi huu waitwa je.

4. Ungeyajulia wapi haya yarabi mburula wewe usiyekwenda shule kama ningeamua kukutia Munda tu?
 
Back
Top Bottom