- Thread starter
- #41
Advocate hakuna hizo barua kwenye link au mahakamani ndio huu ushaidi waga mnauitaji?
hiki ndicho kilicho funguka only headline about UN workers killed in battlefield
barua zipo wapi unitoe tongotongo mm standard seven B
View attachment 2952547
1. Bado huoni? Usaidiwe je binadamu kama wewe? Au Hadi kushikwa mkono?
2. Kamata mkono wa kukuongoza hapa:
Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko
3. Kwa mwonekano wako itakusaidia zaidi ukijielekeza vilivyo hasa kwenye kipengele #3 (g) ya uzi huo uliotajwa hapo juu (#2).
4. Kabla ya kuupata mkono huo wa huruma mno kwako, utafia ujingani ndugu.
NB:
Utakuwa umeona kazi ya proper numbering kwenye andiko serious kama ungali una chembe yoyote ya ubongo bado kichwani.