Wakiwamo maswahiba wailaani Israel kwa ukichwa ngumu usio na tija

Wakiwamo maswahiba wailaani Israel kwa ukichwa ngumu usio na tija

Advocate hakuna hizo barua kwenye link au mahakamani ndio huu ushaidi waga mnauitaji?

hiki ndicho kilicho funguka only headline about UN workers killed in battlefield

barua zipo wapi unitoe tongotongo mm standard seven B
View attachment 2952547

1. Bado huoni? Usaidiwe je binadamu kama wewe? Au Hadi kushikwa mkono?
2. Kamata mkono wa kukuongoza hapa:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

3. Kwa mwonekano wako itakusaidia zaidi ukijielekeza vilivyo hasa kwenye kipengele #3 (g) ya uzi huo uliotajwa hapo juu (#2).

4. Kabla ya kuupata mkono huo wa huruma mno kwako, utafia ujingani ndugu.

NB:

Utakuwa umeona kazi ya proper numbering kwenye andiko serious kama ungali una chembe yoyote ya ubongo bado kichwani.
 
1. Bado huoni? Usaidiweje binadamu kama wewe? Au Hadi kushikwa mkono?
2. Kamata mkono wa kukuongoza hapa:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

3. Kwa mwonekano wako itakusaidia zaidi ukijielekeza vilivyo hasa kwenye kipengele #3 (g) ya uzi huo uliotajwa hapo juu (#2).

4. Kabla ya kuupata mkono huo wa huruma mno kwako, utafia ujingani ndugu.
inafurahisha Mtu kuropoka upumbavu na Hana strong evidence to support his point teh teh teh where is that letter Advocate wa madrasa la 3 c

out of topic apo kwenye link ya uchawa nipo kwenye uchawa upi master
 
inafurahisha Mtu kuropoka upumbavu na Hana strong evidence to support his point teh teh teh where is that letter Advocate wa madrasa la 3 c

out of topic apo kwenye link ya uchawa nipo kwenye uchawa upi master

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
Wote.Maana hapo waliotwangwa ni raia wa... na siyo serikali zao.Viherehere wa kujidai kutetea,kusaidia,kuokoa na blah blahs nyingine wataumia na kufa sana kwa ujinga wa kucheza mbele ya vifaru,mabomu na bunduki za watu wenye akili waruwaru kama Waisraeli waliochafukwa roho.They've got to stop poking their noses unto unconcerned business!

Basi ngoja tusubirie majibu yao na hasa ya marehemu. Usiache kutuletea mrejesho.
 
1. Ama kweli mwana mkaidi hafaidi hadi siku ya iddi.

View attachment 2952408

2. Amekuwa akiambiwa Israel mwezi wa 6 sasa, kiungwana kuachana vita, kuacha shari atafute mapatano ya kudumu.

3. Red sea kuna wa houthi, kaskazini kuna hezbollah anaparurana nao akiambiwa wazi: "ni mwendo mdundo hadi tu vita Gaza vikome."

4. Busara yote imemtoka, amepagawa hata semi za kawaida tu kuwa "vita havina macho hazina maana yoyote kwake.

5. Sasa kama wale mateka wake watatu aliowararua kwa risasi kaenda kuwauwa wafanyakazi wa kimataifa.

6. Hapo #5 wakiwa kwenye eneo aliloliita mwenyewe ni salama, akijua ni wao, kuwa wapo hapo muda huo, wakiwa na magari gani, magari mangapi yenye alama za wazi na wakiwa hapo kwa makubaliano na miadi naye.

7. Anasema ilikuwa bahati mbaya. Bahati mbaya? Vipi na wale mateka wake watatu? Vipi wanawake na watoto zaidi ya 20,000? Vipi wagonjwa na watumishi aliowaulia wakitibu mahospitalini? Vipi majengo ya shule hadi chekechea za watoto wa miaka 2? Vipi vipi.. .., vipi ni mwendo wa vipi zisizokuwa na idadi?

8. Kwamba kwa vile humo kuna watu ndiyo sasa wale maswahiba wake kindaki ndaki akili inawarudia?

9. Hapo #8, SI ni yale ya bus kuwa na abiria 29 na mmakonde 1?

10. Mdogo mdogo tutafika tu, wako wapi waliowahi kujifanya miungu watu?

11. Wako wapi kina Hitler, Mussolini au hata Lenin?
hzi ndo njia huwa mnazitumia huku Afrika kabla ya kuwapigia kelele israel anza na hawa wavaa kobazi wa afrika
 
u
1. Mateka wakiwa na vijibwa vyao walikuwa na mtizamo tofauti na Natenyahu. Sembuse wewe?

Waliokuwa mateka Gaza wamuumbua Netanyahu

2. Kama HAMAS anagekuwa mwuaji 10% ya mwisrael mateka waliokuwa hai wangeokotwa wapi?

Barua za shukurani toka kwa waliokuwa mateka kwenda HAMAS zimeonekana. Afya ya miili ya mateka miezi 2 wakiwa kifungoni wengine na vijibwa vyao zimeonekana. Shuhuda za mateka kuwahusu HAMAS zimesikika.

3. Hapo #2, ni authentic extract.

4. Ulivyokuwa empty nikutaarifu za akina Bush Dokta ni acknowledgement.

5. Mburula kama ulivyo #4, wadhani ni kejeli.

Bure kabisa!
unaandika huu upumbav wako hujiuliz bila iron dome , zile rocket 5000 za Hamas zingekuua watu wangap kule israel pili hujui kiwa hushika watu mateka ili wawe kama kinga yao wakielemewa ? unafikir bila hao mateka Hamas wangekwepo duniani ?
 
Kwa hiyo mamia ya mataifa wanaoitambua wamepagawa ila wewe?

Spain kuitambua Palestine kama taifa kamili

2. Mkuu kama hapo #1 jibu lako ni ndiyo maoni yangu kwako: "wahi hospitali ungali na nguo zako maingoni?"

3. Hapo #2 ni maoni yangu yatakuwa utakuwa njiani ku kuelekea kubaya karibuni!
Hata Taiwan unajua inatambuliwa na baadhi ya mataifa it doesn't matter ni taifa kweli mzee.
 
Watu wanakufa njaa Netanyahu yeye awamalize Hamas lakini aruhusu Chakula na Maji kiingie.
 
Iran ana nini cha kupiga mikwara... alishatamka kitambo kuwa anawasaidia magaidi kuifuta israel.. sasa Israel keshamuambi ana prevent kila hatua... na itafika siku atapiga hadi source ya magaidi... Iran sasa keshasema anaingia mzima mzima acha nae ageuzwe Gaza...
Ni kweli kabisa, UN imeziba masikio, Iran alishasema amezunguka Israel pande zote za nchi kupitia washiriki wake Hezibollar , Hamas, Houth, sasa anaposhajitetea anaonekana mbaya sana, hamna namna waingie tu vitani mchezo uishe, uzuri vita ya Israel na Iran haitachukua muda mrefu, ni mwezi mmoja kuna nchi military base zao zitakuwa majivu, Iran anataka kuharibu nchi yake nzuri yenye maendeleo mazuri, utapiganaje na nchi yenye nuclear kama hutaki kufutwa? Ndege bora za USA zote zitatumwa Israel , huyo Iran atachomoka je?
 
Back
Top Bottom