Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
ndio tunashida lakini sii ya kula miguu ya kuku dada ngaiii, nyama ya utumbo, dagaa, bamia maagizo ya kawaida siku nyingine tunakamua hata na juisi za machungwa hayo ya embe ngo'ng'o subiri ujaa uzito na nyie wa uzunguni mta ya agiza tu.Mke anaeishi MASAKI akimuagiza mumewe"honey plz ukitoka kazini nilitee soseji,piza au kuku,plz swty usisahau"
Ishu ipo kwa Mke wa TANDALE"Utackia "wewe Juma usisahau ukirudi uje na miguu ya kuku,muhindi wa kuchoma weka na ndimu na pilipili nyingi,embe ng'ong'o,mihongo ya kukaanga na utumbo wa kuku usisahau kuweka ndimu na pilipili"
WW MKEO/MUME NI WA WAPI?ANAANGIZA VIPI?
. Pearl Umehukumu kulingana na maeneo sasa unataka tukuambie nini wakati maisha yetu yamefarakana kulingana na maeneo? Please never say die until you die; so never be bias on asking question regarding love as money/location have nothing to do with it.Mke anaeishi <b>MASAKI ;honey plz ukitoka kazini nilitee soseji,piza au kuku,plz <b>TANDALE;wewe Juma usisahau ukirudi uje na miguu ya kuku,muhindi wa kuchoma weka na ndimu na pilipili nyingi,embe ng'ong'o,mihongo ya kukaanga na utumbo wa kuku usisahau kuweka ndimu na pilipili
. Pearl Umehukumu kulingana na maeneo sasa unataka tukuambie nini wakati maisha yetu yamefarakana kulingana na maeneo? Please never say die until you die; so never be bias on asking question regarding love as money/location have nothing to do with it.
Si mpaka wakati wa ujauzito............kila siku hao wanaojiita wa uzunguni kule kilimanyege nao wamo.............. KWANI UNADHANI VILE VISAMAMKI VINAVYOUZWA KWA VIBATARI PALE KOKO BICHI ANANUNUA NANI...??? KAMA SI WAO...??? Kuna mtu wa uswazi anayekwenda kununua pale...Yaani mtu atoke gongolambotot akanunue samaki wa kukaanga koko bichi?? kwa kweli wanayamisi sana maisha yetu ya uswaziii...........ndio tunashida lakini sii ya kula miguu ya kuku dada ngaiii, nyama ya utumbo, dagaa, bamia maagizo ya kawaida siku nyingine tunakamua hata na juisi za machungwa hayo ya embe ngo'ng'o subiri ujaa uzito na nyie wa uzunguni mta ya agiza tu.
hahah Maskini_jeuri I can feel you mpwa......bora watudanganye tu ivo ivo au sio...hahahaha
Mke anaeishi MASAKI akimuagiza mumewe"honey plz ukitoka kazini nilitee soseji,piza au kuku,plz swty usisahau"
Ishu ipo kwa Mke wa TANDALE"Utackia "wewe Juma usisahau ukirudi uje na miguu ya kuku,muhindi wa kuchoma weka na ndimu na pilipili nyingi,embe ng'ong'o,mihongo ya kukaanga na utumbo wa kuku usisahau kuweka ndimu na pilipili"
WW MKEO/MUME NI WA WAPI?ANAANGIZA VIPI?
Huyo kuna mtu anayemuambia maneno hayo........... KAA CHONJOMh, mi wangu yaani ni ndoa ya miaka mitano sasa lakini hajawahi kuniambia kitu kama hicho! loh! hadi aibu!
Huyo kuna mtu anayemuambia maneno hayo........... KAA CHONJO
Always zimeisha naomba niletee kipenzi changu!π
Nasisimka sana ukinivisha huto tutaulo baba naniliu!
danganya toto kula kande mbichiiiiiiiiii