Wako anataka nini?

Wako anataka nini?

Mke anaeishi MASAKI akimuagiza mumewe"honey plz ukitoka kazini nilitee soseji,piza au kuku,plz swty usisahau"
Ishu ipo kwa Mke wa TANDALE"Utackia "wewe Juma usisahau ukirudi uje na miguu ya kuku,muhindi wa kuchoma weka na ndimu na pilipili nyingi,embe ng'ong'o,mihongo ya kukaanga na utumbo wa kuku usisahau kuweka ndimu na pilipili"
WW MKEO/MUME NI WA WAPI?ANAANGIZA VIPI?
ndio tunashida lakini sii ya kula miguu ya kuku dada ngaiii, nyama ya utumbo, dagaa, bamia maagizo ya kawaida siku nyingine tunakamua hata na juisi za machungwa hayo ya embe ngo'ng'o subiri ujaa uzito na nyie wa uzunguni mta ya agiza tu.
 
Utakumbuka kununua gas au uache niondoke na mtungi mm.
 
Mke anaeishi <b>MASAKI ;honey plz ukitoka kazini nilitee soseji,piza au kuku,plz <b>TANDALE;wewe Juma usisahau ukirudi uje na miguu ya kuku,muhindi wa kuchoma weka na ndimu na pilipili nyingi,embe ng'ong'o,mihongo ya kukaanga na utumbo wa kuku usisahau kuweka ndimu na pilipili
. Pearl Umehukumu kulingana na maeneo sasa unataka tukuambie nini wakati maisha yetu yamefarakana kulingana na maeneo? Please never say die until you die; so never be bias on asking question regarding love as money/location have nothing to do with it.
 
wala sijahukum!mm nimesema kama nilivyosikia hao watu wawili wakiagiza mahitaji yao,mm mwenyewe dem wa Tandale nikiagiza naanza hivi:bby naomba ukirudi kama utakuwa na pesa uje vitu vya jikoni vimeisha,naomba usisahsau viazi tupike chips maana hela ya kukunua kwa jili ya familia nzima hatuna.
. Pearl Umehukumu kulingana na maeneo sasa unataka tukuambie nini wakati maisha yetu yamefarakana kulingana na maeneo? Please never say die until you die; so never be bias on asking question regarding love as money/location have nothing to do with it.
 
ndio tunashida lakini sii ya kula miguu ya kuku dada ngaiii, nyama ya utumbo, dagaa, bamia maagizo ya kawaida siku nyingine tunakamua hata na juisi za machungwa hayo ya embe ngo'ng'o subiri ujaa uzito na nyie wa uzunguni mta ya agiza tu.
Si mpaka wakati wa ujauzito............kila siku hao wanaojiita wa uzunguni kule kilimanyege nao wamo.............. KWANI UNADHANI VILE VISAMAMKI VINAVYOUZWA KWA VIBATARI PALE KOKO BICHI ANANUNUA NANI...??? KAMA SI WAO...??? Kuna mtu wa uswazi anayekwenda kununua pale...Yaani mtu atoke gongolambotot akanunue samaki wa kukaanga koko bichi?? kwa kweli wanayamisi sana maisha yetu ya uswaziii...........
 
leo usinywe Tusker nyingi,Mtalimbo usijelala doro kama siku ile...Hujui kesho Public holiday???
 
Mke anaeishi MASAKI akimuagiza mumewe"honey plz ukitoka kazini nilitee soseji,piza au kuku,plz swty usisahau"
Ishu ipo kwa Mke wa TANDALE"Utackia "wewe Juma usisahau ukirudi uje na miguu ya kuku,muhindi wa kuchoma weka na ndimu na pilipili nyingi,embe ng'ong'o,mihongo ya kukaanga na utumbo wa kuku usisahau kuweka ndimu na pilipili"
WW MKEO/MUME NI WA WAPI?ANAANGIZA VIPI?

Hii ya miguu ya kuku nimependa sana.
 
Mh, mi wangu yaani ni ndoa ya miaka mitano sasa lakini hajawahi kuniambia kitu kama hicho! loh! hadi aibu!
 
Pape, leo unatoka kazini saa ngapi? basi leo jioni nitaenda kitchen party na sitorudi kabisa! Nitalala kwa shoga zangu kwahiyo uje ujipikie!! Usisahau kuosha vyombo na kupiga deki bafuni na msalani! Kisha asubuhi uwahi kuamka na ufagie uwanja na kupiga deki sebule. Kabla hujaenda kazini unifulie zile 'kufuli' zangu!
 
Back
Top Bottom