shokoshugi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2015
- 269
- 390
Utafiti wangu unaonyesha wachangiaji wote kwenye huu uzi wako above 40 yrs. Huwezi kua unawafahamu hao manguli wa RnB wa miaka ya 90 kama wewe ni wa enzi ya JK [emoji3]
Hapo abba ndio legend,hao wengine walijaribu tuABBA
Marcus Hernandez
Bryan Adams
Brian McKnight
George Michael
Joe
Leona Lewis
Mack Anthony
Michael Bolton
Savage garden
Nataman Whitney Houston angekuwepo
Hahaaa ni shidaUtafiti wangu unaonyesha wachangiaji wote kwenye huu uzi wako above 40 yrs. Huwezi kua unawafahamu hao manguli wa RnB wa miaka ya 90 kama wewe ni wa enzi ya JK [emoji3]
Vyema kabisaa umesemaHakuna chenye mwanzo kisicho kuwa na mwisho. Muda wao ulipita. Leo hii ni Rihanna, Drake, Cardi B, Meg Thee Stallion, nk. Beyonce na Jay Z wao wameweza sababu ya Rocafella empire.
Muziki unahitaji hela nyingi sana ya promotion. Jay Z na Beyonce wao wana hela na haiishi. Hao wengine walitegemea hela za record label ambazo zinatoka kwa mahesabu makali. Walipozikosa na umaridadi nao ukapotea.
Asante kwa uzi mzuri wa kutukumbushia.
Keith martin naskiliza sana,kuna wakongwe kama percy sledge,barrywhite,aretha franklin nyimbo zao haziishi utamuSilk ,SWV,TLC,Elusion, Chantay Savage, Karyin White,Keith Martin,nk
Nilikuwa na feel Sana nyimbo zake huyo mama hata kifo chake kilinihuzunisha sanaRoxette
Mkuu wewe ni OLD TIMER ,hiyo list ni ya wakongwe wa 80's-90's Naught by nature-Treach , Mc Lyte , Jon B ,Kevin Campbell etcMaster P
Sisco
Dru Hill
ODB
Laurine Hill
Shania Twain
KCI & JOJO
Keith sweet
REY J
MONICA
COOLIO
CRAIG DAVID
ALL 4ONE
Baadhi walihamishia passion zao kwenye uigizaji kama:
Tyreese
Ice Cube
Quincy
Ludacris
XBIT
Willy Smith
Qeen Latifa
Christina Millan ameishi sana kwenye wall paper za Samsung L6 na Nokia enzi hizo, she was so beautiful back thenKuna kina
Avant
Tony braxton
Brandy
Jennifer Hudson
Christina milian
Mario
Plies
Dah list ni ndefu! Ila we miss them
[emoji23][emoji23][emoji23] Dah kweli mkuu nakumbuka sana! KtamboChristina Millan ameishi sana kwenye wall paper za Samsung L6 na Nokia enzi hizo, she was so beautiful back then
DMX alihamia katika filamu, Fat Joe ni mtayarishaji muziki na muongozaji fulamu na mainly amerudi kwao Puerto Rico. Tyrese Gibson ni mcheza filamu same kwa Ja Rule.Hakuna aliewakumbuka kina DMX? Ja Rule? Fat Joe? Tyrese? Joe Thomas? Ashanti? Dah...
Marc Anthony kwa sasa anaoongoza taasisi inayofahamika MAGNUS ikiwa na subsidiaries Magnus Music, Records, Film, Sports, Villas and co... Wanahusika mambo mengi but mainly ndio record label ya Gente de Zona, Hilary Music, Grini & co.ABBA
Marcus Hernandez
Bryan Adams
Brian McKnight
George Michael
Joe
Leona Lewis
Mack Anthony
Michael Bolton
Savage garden
Nataman Whitney Houston angekuwepo
Christina Millan ameishi sana kwenye wall paper za Samsung L6 na Nokia enzi hizo, she was so beautiful back then