MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
4,5,6,8 na 10 pia ni dada zako? Unatisha mkuu.Wasalaam,
Hivi hawa dada zetu wasanii wamepotelea wapi?
Nlikuwa nawakubali sana.
1. Enika
2. Dataz
3. Rah P
4. Stan Boy (East Coast Team)
5. Steve RnB
6. Mike T (Mnyalu)
7. Paulin Zongo
8. Rado
9. Grace Matata
10. Chindo Man
Mbona kimya sana na vipaji wanavyo?
Naomba tujuzane.
4,5,6,8 na 10 pia ni dada zako? Unatisha mkuu.
Rado, steve rnb, chindo man sio wadada hawa
Ndio matatizo ya kuanza kufikiria title kabla ya context.Mbona kuna "ME" humo kwenye list yako? Au sioni now days?
UmejikorogaNdio matatizo ya kuanza kufikiria title kabla ya context.
Ndio matatizo ya kuanza kufikiria title kabla ya context.
mnyalu yupo na biashara ya nguoWasalaam,
Hivi hawa dada zetu wasanii wamepotelea wapi?
Nlikuwa nawakubali sana.
1. Enika
2. Dataz
3. Rah P
4. Stan Boy (East Coast Team)
5. Steve RnB
6. Mike T (Mnyalu)
7. Paulin Zongo
8. Rado
9. Grace Matata
10. Chindo Man
Mbona kimya sana na vipaji wanavyo?
Naomba tujuzane.
4,5,6,8 na 10 pia ni dada zako? Unatisha mkuu.
Mike T Ni mwanaume sio mdada
Ni matatizo ya kiufundi tu, ila nimesharekebishaRado, steve rnb, chindo man sio wadada hawa
Ndio matatizo ya kuanza kufikiria title kabla ya context.
Ndio matatizo ya kuanza kufikiria title kabla ya context.
Ila Dataz alikuwa hatari, sijui yu wapi huyu mdada?
Wakati watu walikuwa wanalazimisha game huyu mdada alikuwa anatiririka vemaDaaa huyu sister tulishawahi kaa naye sehemu moja miaka ya nyuma, ghafla kapotea tu.
Na kwenye gemu nako haonekani wakati uwezo anao