Wako wapi hawa wasanii?

Wako wapi hawa wasanii?

Wasalaam,
Hivi hawa dada zetu wasanii wamepotelea wapi?
Nlikuwa nawakubali sana.
1. Enika
2. Dataz
3. Rah P
4. Paulin Zongo
5. Grace Matata

Na pia ningependa kujua hawa wasanii wa kiume wametokomea wapi?

6. Mike T (Mnyalu)
7. Stan Boy (East Coast Team)
8. Rado
9. Steve RnB
10. Chindo Man

Mbona kimya sana na vipaji wanavyo?
Naomba tujuzane.
Grace matata she is my favorite
 
Wasalaam,
Hivi hawa dada zetu wasanii wamepotelea wapi?
Nlikuwa nawakubali sana.
1. Enika
2. Dataz
3. Rah P
4. Paulin Zongo
5. Grace Matata

Na pia ningependa kujua hawa wasanii wa kiume wametokomea wapi?

6. Mike T (Mnyalu)
7. Stan Boy (East Coast Team)
8. Rado
9. Steve RnB
10. Chindo Man

Mbona kimya sana na vipaji wanavyo?
Naomba tujuzane.
Dataz nipo nae pande za tabata,Sikh hizi anafanya kazi crdb bank tabata branch
 
Wasalaam,
Hivi hawa dada zetu wasanii wamepotelea wapi?
Nlikuwa nawakubali sana.
1. Enika
2. Dataz
3. Rah P
4. Paulin Zongo
5. Grace Matata

Na pia ningependa kujua hawa wasanii wa kiume wametokomea wapi?

6. Mike T (Mnyalu)
7. Stan Boy (East Coast Team)
8. Rado
9. Steve RnB
10. Chindo Man

Mbona kimya sana na vipaji wanavyo?
Naomba tujuzane.
Steve RnB yuko mbeya anaendesha Malori
 
Grace matata anaband yake anatumbuiza kwenye mahoteli hasa cover za wasanii wa nje
Hotel gani Mkuu! Kama unaratiba Yake nisaidie plz, nimekua nikimtafute sana! Nimemkosa Mziki wake Kwa Muda mrefu sana! Nijulishe plz!
 
Kwa hiyo muziki hafanyi tena?
Steve anafanya muziki last time nilimuona na Band ya InAfrika ya akina Pompidou na Enriko pale Calabash Mwenge huwa wanazunguka kwenye tour Ulaya na Asia wanapiga kwenye Mahoteli!!huyo jamaa nadhan alikua anajoke
 
Back
Top Bottom