Grace matata she is my favoriteWasalaam,
Hivi hawa dada zetu wasanii wamepotelea wapi?
Nlikuwa nawakubali sana.
1. Enika
2. Dataz
3. Rah P
4. Paulin Zongo
5. Grace Matata
Na pia ningependa kujua hawa wasanii wa kiume wametokomea wapi?
6. Mike T (Mnyalu)
7. Stan Boy (East Coast Team)
8. Rado
9. Steve RnB
10. Chindo Man
Mbona kimya sana na vipaji wanavyo?
Naomba tujuzane.
Dah kwani uliye mqoute na aliyeleta mada tofauti yao ni nini ??
Grace matata she is my favorite
Haha mimi nimecheka sanaUncleBen,
Good to see you bro.
Huyu jamaa kanichekesha sana aisee
Dataz nipo nae pande za tabata,Sikh hizi anafanya kazi crdb bank tabata branchWasalaam,
Hivi hawa dada zetu wasanii wamepotelea wapi?
Nlikuwa nawakubali sana.
1. Enika
2. Dataz
3. Rah P
4. Paulin Zongo
5. Grace Matata
Na pia ningependa kujua hawa wasanii wa kiume wametokomea wapi?
6. Mike T (Mnyalu)
7. Stan Boy (East Coast Team)
8. Rado
9. Steve RnB
10. Chindo Man
Mbona kimya sana na vipaji wanavyo?
Naomba tujuzane.
she is emloyed.....Ila Dataz alikuwa hatari, sijui yu wapi huyu mdada?
Kwani ni mwanamuziki?Esta wasira
Wewe mkenya vipi? Hebu angalia uliye-mnukuu uone kama sio mleta mada.Jifunze kujibu hoja... mleta mada hajauliza "nani alishawahi kaa na mmoja wao"..
Watanzania ndo maana mnachukuliwa ajira na wakenya.
I hopeshe is emloyed.....
Steve RnB yuko mbeya anaendesha MaloriWasalaam,
Hivi hawa dada zetu wasanii wamepotelea wapi?
Nlikuwa nawakubali sana.
1. Enika
2. Dataz
3. Rah P
4. Paulin Zongo
5. Grace Matata
Na pia ningependa kujua hawa wasanii wa kiume wametokomea wapi?
6. Mike T (Mnyalu)
7. Stan Boy (East Coast Team)
8. Rado
9. Steve RnB
10. Chindo Man
Mbona kimya sana na vipaji wanavyo?
Naomba tujuzane.
Hotel gani Mkuu! Kama unaratiba Yake nisaidie plz, nimekua nikimtafute sana! Nimemkosa Mziki wake Kwa Muda mrefu sana! Nijulishe plz!Grace matata anaband yake anatumbuiza kwenye mahoteli hasa cover za wasanii wa nje
Grace kaolewa na one the incredibleGrace matata anaband yake anatumbuiza kwenye mahoteli hasa cover za wasanii wa nje
nafaham mkuu,.bado anaendelea kutumbuiza kwenye mahotelGrace kaolewa na one the incredible
Wamefunga ndoa?Grace kaolewa na one the incredible
UfuziEsta wasira
Ndio ila ndoa sina uhakikaWamefunga ndoa?
Yule mtoto wake alizaa na One ?
Steve RnB yuko mbeya anaendesha Malori
Steve anafanya muziki last time nilimuona na Band ya InAfrika ya akina Pompidou na Enriko pale Calabash Mwenge huwa wanazunguka kwenye tour Ulaya na Asia wanapiga kwenye Mahoteli!!huyo jamaa nadhan alikua anajokeKwa hiyo muziki hafanyi tena?