The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Analinda wap nikapate fursa ya kumwona liveDuu inspector haroon kawa mlinzi
Ahsante. Yuko wapi mshikaji, aliflow mistari mizuri sana.8. Anaitwa Adili mkwela -peke yangu
Yuko wapi mchizi?Dah fresh p unanikumbusha wimbo wake wa tinna ulinipa manzi nlikuwa na flow Kama nimeandika Mimi
Tena ndani ya pamba nyepesi, full kipupwe full kiyoyozi.Duu inspector haroon kawa mlinzi
Maisha eeeh, maisha yo mamaaa n mwendo wa poleee, unamkumbuka huyu? Yuko wapi?Inspector kawa mlinzi maisha Aya [emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbe ni wa Tanga!? Miaka yote najua ni wa MbyWako wapi Uswahilini matora watoto wa tanga hawa
Wako wapi Uswahilini matora watoto wa tanga hawa
Pale gereji ya wasomali karibu na saba sabaAnalinda wap nikapate fursa ya kumwona live
Sasa hivi yupo ndani ya pamba za security guardTena ndani ya pamba nyepesi, full kipupwe full kiyoyozi.