The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Habari za wakati huu wakuu.
Naomba kujua wako wapi hawa watu.
1. Prof Ludigo.
2. Mike T Mnyalu( Au alipata mkwanja na akawa mrefu ikawa balaa?)
3. Walume Ndago.
4. Mabaga Fresh.
5. Ispector Haroon( Huyu niliwahi kusoma humu kua ni mlinzi wa yadi ya magari pande za Temeke ingawa haina uhakika)
6. Fresh P.
7. Bwana Misosi.
8. Jamaa mmoja aliimba peke yanguuu bora niwe peke, marafiki wengi wanafiki.
Nimewakumbuka tu hao jamaa.
Naomba kujua wako wapi na wanafanya nini kwa sasa.
Ahsante.
Naomba kujua wako wapi hawa watu.
1. Prof Ludigo.
2. Mike T Mnyalu( Au alipata mkwanja na akawa mrefu ikawa balaa?)
3. Walume Ndago.
4. Mabaga Fresh.
5. Ispector Haroon( Huyu niliwahi kusoma humu kua ni mlinzi wa yadi ya magari pande za Temeke ingawa haina uhakika)
6. Fresh P.
7. Bwana Misosi.
8. Jamaa mmoja aliimba peke yanguuu bora niwe peke, marafiki wengi wanafiki.
Nimewakumbuka tu hao jamaa.
Naomba kujua wako wapi na wanafanya nini kwa sasa.
Ahsante.