Wako wapi hawa watu wa zamani?

Wako wapi hawa watu wa zamani?

Enzi zile bhana. Mtu akitoa single tu lazima akazulule Posta Mpya, kutwa kudundika dundika mfukoni hela hawana. Ndio maana wamelost .

Huyu Diamond kaja kuwaonyesha kwamba ile ni kazi kama kazi nyingine. Lakini bado wanamchukia tu
 
Hivi MR nice vipi ? ,watu wa dar,ni kweli alikua anatembea na msululu wa magari na wapambe wake ? ,alikua anakesha bar ? ,nini kilipelekea kupoteza pesa mtu huyu aliyewahi kudai kuwa na billioni moja tsh
 
Hivi MR nice vipi ? ,watu wa dar,ni kweli alikua anatembea na msululu wa magari na wapambe wake ? ,alikua anakesha bar ? ,nini kilipelekea kupoteza pesa mtu huyu aliyewahi kudai kuwa na billioni moja tsh


Yule jamaa bhana, kuna usiku mmoja tulikuwa tunasikiliza muziki pale Jolly Club akaja kutuharibia show. Kaingia tu, malaya wakawaambia wale jamaa hawajui kuimba. Wakawa wanasema, fagilia Mr. Nice waa waa! Ye akatangaza kama umejiona umevaa kipedo kula bia. Pesa mwanaharamu, malaya walimzunguka kama nzi. Mi nafikiri sasa hivi yeye na wale malaya wote washazeeka
 
'labda kesho, nami nitadaka mavumba, labda kesho,.......... Nitakuwa bwii halafu nayumba yumba.......mola nipex2 hayo mavumba niwakanye hawa wajinga' daaah!!! Hatariii hawa jamaa....nikumbusheni ni akina nani hawa???!!!!!
 
inspector kawa mlinz?, nahisi kaamua kubadili kazi tu na si vinginevyo
 
Enzi zile bhana. Mtu akitoa single tu lazima akazulule Posta Mpya, kutwa kudundika dundika mfukoni hela hawana. Ndio maana wamelost .

Huyu Diamond kaja kuwaonyesha kwamba ile ni kazi kama kazi nyingine. Lakini bado wanamchukia tu
**** wewe
 
Back
Top Bottom