raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Nashangaa maneno mengi kwakeUkiwaona Bavicha wanavyotiririka kwenye huu uzi utafikiir wanafanana kwa maisha na Makonda,
Kumbe wanakula vumbi tu huku mwenzao akiponda raha ya maisha
Mimi namsubiri aniambie kwa nini alikuwa anamtuma mkuu wa wilaya ya Kigamboni kudhulumu wawekezaji na kuwabambikia kesi za kuuza madawa ya kulevya kama anataka afanikiwe anitafute nimueleze kwa nini atahangaika sana hapa duniani na matapeli aliokuwa anashirikiana nao wakijifanya wametumwa na raisi kupora mali za watu na kusambaza uongoMaelezo yako hayo marefu lakini hakuna mahali ulipoeleza makosa hasa ya makonda aliyofanya!
Kukamata madawa ya kulevya na kutetea haki za wajane ndiyo huo mkono wa chuma unaodai alitawala?
Hakuna Rc baada ya Makonda aliyeiweza Dar kwa ubunifu na uibuaji wa miradi mbali mbali kama yeye.
Na kama basi hilo la Clouds ndiyo kutawala kwa mkono wa chuma, kumbuka hayo yalishazungumzwa wakayamaliza tena wakasameheana hadharani kila mtu analijua hilo.
Jambo lolote chini ya jua, likishaongelewa na kupatiwa ufumbuzi, kulirudisha tena mezani ndiyo majungu menyewe hayo!
Huwa kila siku najifikiri ni nini hasa cha mno alichowafanyia kibaya huyo mja huwa nakikosa.
Lakini sababu iliyomfanya Magufuli amlinde mpaka mwisho ni kule kuanzisha kwake vita pevu ya kumpiga vita shetani wa madawa ya kulevya.
Hiyo ndiyo sababu haswa iliyomfitinisha kwenye ndimi za watu mahasidi hadi leo kwa kugusa vyakula vyao haramu walivyozoea kuvila bila ya kufuta midomo!
Kiongozi yeyote wa umma anayepiga vita uharamia, ujambazi na dhulma zingine za mfano huo lazima tu atafutiwe visingizio vya kumvunja moyo na si ajabu sana kwa jamii hii iliyojaa roho za kifisadi na ubinafsi.
Wanapesa za kutupa Acha waliwe na wajanja.MGAnga ni mfanyabiashara kwake pesa tu
Hapana sio upareni hapo,ni Usambaani Makanya ndani ndani huko kuna wachawi balaa "Kwamshitu" huko hata ukitema mate kwa bahat mbaya yakadondokea kwenye jani la mahindi ya watu umekwisha.Tena upareni huko nadhani, may be Mshana Jr aangalie picha vizuri anaweza kupajua, mshana alishatoa Uzi wa waganga wakali wa upareni, nahisi Bashite atakuwa anatembea na nyuzi za mshana
Akwambie Kama nani vile!Mimi namsubiri aniambie kwa nini alikuwa anamtuma mkuu wa wilaya ya Kigamboni kudhulumu wawekezaji na kuwabambikia kesi za kuuza madawa ya kulevya kama anataka afanikiwe anitafute nimueleze kwa nini atahangaika sana hapa duniani na matapeli aliokuwa anashirikiana nao wakijifanya wametumwa na raisi kupora mali za watu na kusambaza uongo
Na hilo aliwahi kulieleza kwa kirefu sana, kwanini sijui watu huwa hawapendi kuelewa wakiwa na chuki zao binafsi!Kwanini awe na laana ya Warioba?. Hapo hakumpiga Warioba alikuwa anamvuta watoke ukumbini ili mzee asije kupigwa na wahuni walioingia ukumbini kuvuruga mkutano.
Makonda hawezi fanywa chochote.......Makonda, almaarufu Bashite, aliongoza Mkoa wa Dar es salaam kwa mkono wa chuma uliojaa damu, ni yeye na sabaya tu waliotembea na mabodigadi wenye silaha za moto, Makonda alithubutu kwenda clouds fm akiwa na askari wanaodaiwa kuwa wa jumba jeupe(makirikiri).
Sasa anaonekana mpweke, wale aliowa harass Sasa wameshika mpini, Jiji aliloliona la kwake, na wakazi wake kama wapangaji, amelikimbia kama Ghadafi alivyoikimbia Tripoli, au Saddam alivyoikimbia Bhaghdad.
Wale walinzi mahiri, makirikiri, hawako nae tena, Polisi na usalama hawako naye tena, ni mpweke huko maporini akipanda milima na kukatiza njia za waenda kwa miguu, pengine anapishana na watu aliowadhuru ila yeye ameshawasahau!
Ni Makonda aliyewaonya viongozi wakuu wa dola kwamba ana nguvu kuliko wanavyodhani!
Wakati ukutaView attachment 2082013
Cc: Lemutuz
Huyu dwanzi ilifikia mahali akajisahau akasema mtu yoyote wa kutaka kuja Dar aoge kwanzaMakonda, almaarufu Bashite, aliongoza Mkoa wa Dar es salaam kwa mkono wa chuma uliojaa damu, ni yeye na sabaya tu waliotembea na mabodigadi wenye silaha za moto, Makonda alithubutu kwenda clouds fm akiwa na askari wanaodaiwa kuwa wa jumba jeupe(makirikiri).
Sasa anaonekana mpweke, wale aliowa harass Sasa wameshika mpini, Jiji aliloliona la kwake, na wakazi wake kama wapangaji, amelikimbia kama Ghadafi alivyoikimbia Tripoli, au Saddam alivyoikimbia Bhaghdad.
Wale walinzi mahiri, makirikiri, hawako nae tena, Polisi na usalama hawako naye tena, ni mpweke huko maporini akipanda milima na kukatiza njia za waenda kwa miguu, pengine anapishana na watu aliowadhuru ila yeye ameshawasahau!
Ni Makonda aliyewaonya viongozi wakuu wa dola kwamba ana nguvu kuliko wanavyodhani!
Wakati ukutaView attachment 2082013
Cc: Lemutuz
Makonda hawezi fanywa chochote.......
ww andika ngonjera zako humu ukimaliza kakojoe ulale.......
muulize kube na kesi yake ya kubumba ameishia wapi!ji
Jinai haina ukomoMakonda hawezi fanywa chochote.......
ww andika ngonjera zako humu ukimaliza kakojoe ulale.......
muulize kube na kesi yake ya kubumba ameishia wapi!
Makonda, almaarufu Bashite, aliongoza Mkoa wa Dar es salaam kwa mkono wa chuma uliojaa damu, ni yeye na sabaya tu waliotembea na mabodigadi wenye silaha za moto, Makonda alithubutu kwenda clouds fm akiwa na askari wanaodaiwa kuwa wa jumba jeupe(makirikiri).
Sasa anaonekana mpweke, wale aliowa harass Sasa wameshika mpini, Jiji aliloliona la kwake, na wakazi wake kama wapangaji, amelikimbia kama Ghadafi alivyoikimbia Tripoli, au Saddam alivyoikimbia Bhaghdad.
Wale walinzi mahiri, makirikiri, hawako nae tena, Polisi na usalama hawako naye tena, ni mpweke huko maporini akipanda milima na kukatiza njia za waenda kwa miguu, pengine anapishana na watu aliowadhuru ila yeye ameshawasahau!
Ni Makonda aliyewaonya viongozi wakuu wa dola kwamba ana nguvu kuliko wanavyodhani!
Wakati ukutaView attachment 2082013
Cc: Lemutuz
Jinai ina ukomo....Jinai haina ukomo
Pamoja na kutokuwa madarakani bado Makonda anawatesa tu. Kwa taarifa yenu, Makonda haitaji ulinzi. Wana Dar es Salaam wanamlinda kwa mema aliyowafanyia akiwa madarakani.bashite mjanja kweli kweli, anacho tafuta apo ni ‘huruma’ ya jamii ili asiburuzwe mahakani kwa yale alio wafanyia ‘wabaya’ wake, yaani kwa sasa anapost ‘strategic pictures’ ili kupata huruma na msamaha kutoka ktk jamii na watu aliowafanyia uovu wa kutisha……….na tayari wadanganyika wengi tuu wameisha ingia mkenge wa kumhurumia
Nazungumzia mabodigadi alojichanja mwiliniMi nilimuona mliman city akiwa peke yake kwenye Christmas Carlos
Anao wengine wenye matunguliAlishafutwa kwenye ulimwengu wa roho hao walinzi watoke wapi.
Don't mess up with Gwajima,,bashite chali,ndugai chali,