Wako wapi mapedeshee walioimbwa na kugawa pesa kwa wasanii wa bendi?

Mi nawaona sana humu J.F.......wana hasira balaa!
 
Deal zao zimekatwa,kwa sasa wako bize kumchafua Mh.Rais kichin chini.
 
Daah kweli kuna siku hata elf kumi sn..alafu jamaa kaenda kuwatunza wazee wa kupekecha pekecha akudo impact..siku hizi hawapo ina maana wamehamia kenya ama south sudan?
 
Kuna mmoja bado yupo hasaa FM Academia wakipiga pale Mango Garden ni mrefu hivi anavaaga siku zote shorts na t-shirt basi huwezi mkuta anavaa suruali anatoaga sanaa hela kwa FM sijui ni nani yule??
 
Mkuu nimekamatwa na majukumu fulani kiasi kwamba sina muda tena kama zamani.
Najiandaa kustaafu kazi mwakani labda nitarejea kwa kasi

Acha hizo lazima na Mama Ngina amekubana haswa, ha ha haaaa.

Kila la kheri Mola awe nawe.

Ila ukipata muda uletege zile story story za maisha na safari za kurudi home kwa mamaa.

Na miss JF ya zamani, wengi mmeamua kuwa kimya, hamjui mnatukosesha mengi.
 
Pesa chafu hazina adabu na matumizi yake hayana adabu....Muda huu wanajifunza kuwa na adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…