Wako wapi wale waliokuwa wanatetea umeme wa maji utakuwa bei rahisi?

Wako wapi wale waliokuwa wanatetea umeme wa maji utakuwa bei rahisi?

Tindo

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2011
Posts
63,730
Reaction score
111,542
Wakati ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere unaanza, watetezi wake walikuwa wanatoa mishipa ya shingo kuwa bwawa hilo likianza kazi umeme utashuka bei. Nikawa nasema miaka yote tumekuwa tukitumia umeme wa maji, lakini hatukuwahi kuwa na sifa ya umeme wa bei rahisi, maana sababu ya umeme kuwa ghali hapa nchini haiendani na gharama za uzalishaji, bali sababu nyingine kabisa.

Watetezi wakawa wanasema gharama kubwa haiwezi kupungua kwa kutumia umeme wa mafuta. Wakajiapiza umeme wa maji ukianza automatically bei itashuka.

Wakati umefika na kile nilichosema kinaonekana. Bwawa limeanza kazi, umeme unazidi kupanda bei, na kibaya zaidi bado sio wa uhakika maana mgao bado upo, hata kama sio kwa kiwango kikubwa. Kwenye hili la bei wote ni mashahidi kwa walioanza kununua umeme hivi karibuni. Na hapo bado.

Paskali Mayalla Choicevariables, Lucas Mwashamba
 
Wakati ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere unaanza, watetezi wake walikuwa wanatoa mishipa ya shingo kuwa bwawa hilo likianza kazi umeme utashuka bei. Nikawa nasema miaka yote tumekuwa tukitumia umeme wa maji, lakini hatukuwahi kuwa na sifa ya umeme wa bei rahisi, maana sababu ya umeme kuwa ghali hapa nchini haiendani na gharama za uzalishaji, bali sababu nyingine kabisa. Watetezi wakawa wanasema gharama kubwa haiwezi kupungua kwa kutumia umeme wa mafuta. Wakajiapiza umeme wa maji ukianza automatically bei itashuka.

Wakati umefika na kile nilichosema kinaonekana. Bwawa limeanza kazi, umeme unazidi kupanda bei, na kibaya zaidi bado sio wa uhakika maana mgao bado upo, hata kama sio kwa kiwango kikubwa. Kwenye hili la bei wote ni mashahidi kwa walioanza kununua umeme hivi karibuni. Na hapo bado.

Paskali Mayalla Choicevariables, Lucas Mwashamba
Hadi gharama za ujenzi zirudi kwanza baada ya zitabaki gharama za uendeshaji tu hapo ndio bei ya umeme itashuka
 
Aisee Kazi ipo ....., Hivi unapouziwa perfume laki moja na kununua nanasi tshs 500 inamaanisha gharama za kutengeneza hio perfume ni kubwa kuliko nguvu kazi ya kufanikisha hilo nanasi ?

Issue ni kwamba kumalizika kwa Bwawa uzalishaji unatakiwa uwe zaidi ya mara mbili na uendeshaji unapungua sababu overheads za kununua mafuta kwa madalai zinaondoka.....

Sasa kama hio faida inaamuliwa kuliwa na walamba asali hapo katikati hio ni issue nyingine wala haimaanishi kwamba uongozi wenye busara usingeweza kupunguza bei kwenye hii huduma

Sasa mtu mwenye busara angehoji iweje production iongezeke na uendeshaji (gharama zipungue) na bado bei ipande ? Na sio kukubaliana bei inayoletwa mezani kwa ngonjera yoyote ile
 
kwangu mimi umeme rahisi ni wa solar tu.
Umeme wa solar unahitaji storage hiom ndio bottleneck yake ingekuwa ni rahisi hivyo basi dunia nzima tungekuwa tunakuwa powered na jangwa la sahara.... Ndio maana watu wangekuwa na busara wangetumia Bwawa kama Heart ya Energy Mix..., Bila storage ya uhakika solar at grid level ni mwendo wa watu kupata pesa kwa kuwauzia umeme Tanesco offpeak kwa bei ya peak time....
 
Wakati ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere unaanza, watetezi wake walikuwa wanatoa mishipa ya shingo kuwa bwawa hilo likianza kazi umeme utashuka bei. Nikawa nasema miaka yote tumekuwa tukitumia umeme wa maji, lakini hatukuwahi kuwa na sifa ya umeme wa bei rahisi, maana sababu ya umeme kuwa ghali hapa nchini haiendani na gharama za uzalishaji, bali sababu nyingine kabisa. Watetezi wakawa wanasema gharama kubwa haiwezi kupungua kwa kutumia umeme wa mafuta. Wakajiapiza umeme wa maji ukianza automatically bei itashuka.

Wakati umefika na kile nilichosema kinaonekana. Bwawa limeanza kazi, umeme unazidi kupanda bei, na kibaya zaidi bado sio wa uhakika maana mgao bado upo, hata kama sio kwa kiwango kikubwa. Kwenye hili la bei wote ni mashahidi kwa walioanza kununua umeme hivi karibuni. Na hapo bado.

Paskali Mayalla Choicevariables, Lucas Mwashamba
Waulize tuliowapa dhamana!! Kama sukari tu anapewa mshikaji wa Stationary Ili aagize sukari ya Bil 6.6 huoni Kwa mazingaombwe haya haya hata Bei ya Umeme inafanyiwa usanii Ili ipatikane hela ya kupiga??

Waulize wenye mamlaka ni vipi tozo ya miamala inazidi kupaa tu? Waulize pia makato ya LUKU nani kayapaisha??

Mwisho waulize nani kaipaisha Bei ya mafuta ya diesel na petrol??

Ukishajua nani mhusika Mkuu basi nenda huko huko mkaulizane
 
Wakati ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere unaanza, watetezi wake walikuwa wanatoa mishipa ya shingo kuwa bwawa hilo likianza kazi umeme utashuka bei. Nikawa nasema miaka yote tumekuwa tukitumia umeme wa maji, lakini hatukuwahi kuwa na sifa ya umeme wa bei rahisi, maana sababu ya umeme kuwa ghali hapa nchini haiendani na gharama za uzalishaji, bali sababu nyingine kabisa. Watetezi wakawa wanasema gharama kubwa haiwezi kupungua kwa kutumia umeme wa mafuta. Wakajiapiza umeme wa maji ukianza automatically bei itashuka.

Wakati umefika na kile nilichosema kinaonekana. Bwawa limeanza kazi, umeme unazidi kupanda bei, na kibaya zaidi bado sio wa uhakika maana mgao bado upo, hata kama sio kwa kiwango kikubwa. Kwenye hili la bei wote ni mashahidi kwa walioanza kununua umeme hivi karibuni. Na hapo bado.

Paskali Mayalla Choicevariables, Lucas Mwashamba
Kwani alieanzisha na anaeliendesha kwa sasa ni mtu mmoja?? Ungeeleweka kama alieanzisha ndo akawa analiendesha,, wengine wamedandia kwa mbele tu
 
Utashuka tu bei, vipuli bei ghali mno na marejesho tunapeleka kwa dola sasa dola imeadimika sababu ya vita vya ukraine na vipuli tunauziwa kwa dola. Ila tutembee kifua mbele, sisi ni matajiri la si vyo tusingekopesheka.
 
Wakati ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere unaanza, watetezi wake walikuwa wanatoa mishipa ya shingo kuwa bwawa hilo likianza kazi umeme utashuka bei. Nikawa nasema miaka yote tumekuwa tukitumia umeme wa maji, lakini hatukuwahi kuwa na sifa ya umeme wa bei rahisi, maana sababu ya umeme kuwa ghali hapa nchini haiendani na gharama za uzalishaji, bali sababu nyingine kabisa.

Watetezi wakawa wanasema gharama kubwa haiwezi kupungua kwa kutumia umeme wa mafuta. Wakajiapiza umeme wa maji ukianza automatically bei itashuka.

Wakati umefika na kile nilichosema kinaonekana. Bwawa limeanza kazi, umeme unazidi kupanda bei, na kibaya zaidi bado sio wa uhakika maana mgao bado upo, hata kama sio kwa kiwango kikubwa. Kwenye hili la bei wote ni mashahidi kwa walioanza kununua umeme hivi karibuni. Na hapo bado.

Paskali Mayalla Choicevariables, Lucas Mwashamba
Kwani Tanzania ni mara ya kwanza hii kutumia umeme wa maji wa bwawa la nyerere?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Back
Top Bottom