Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
- Thread starter
- #21
Hawana simu nimewapatia namba yangu maana walikuwa wanaelekea morogoro. Nitatafuta muda niende nikajue mazingira anayoishi. Sijajaliwa kikubwa ila saa ingine ukaribu wangu unaweza ukapunguza tatizo kwa kiasi fulaniMkuu kama Mungu amekujaalia Fanya jambo kwa huyoo malaika na utabarikiwa