Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Aweda. Hao ni lazima waondoke na hata wakibaki wasiwe wa kuteuliwa.Nnauye ungetulia kwanza kwa sababu wale wajumbe mliowajaza ktk mabaraza ya wilaya kwa 95% nasikia kuna maelekezo wamepewa kuhusu mambo ambayo Tume imeyaacha kwa nchi washirika yakiwepo nafasi ya mkuu wa wilaya, mkoa nk.
Pili, nini msimamo wa ccm kuhusu hayo yalitolewa kwa sasa?
nadhani unajua kazi kubwa ya upizani bwana nape usiwe wapenda kubwabwaja maneno uonekane tu unavitu vya kuongea tulia bro!Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!
Nape NnauyeNinasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!
Short minded wanadhani suala la katiba limeisha jana kwa watu weledi ndiyo kwanza limeanza.Wamejificha porini kuficha nyuso zao kwa aibu kuu waliyopata single ya katiba imeisha jana hawana jipya tena.
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!
Tuhakikishie kuwa hutakimbia! sie sio watoto kama wewe!
Mark Francis kweli hata mimi sikutegemea mtu mwenye hadhi ya Katibu Mwenezi wa chama tawala aje na mipasho ya aina hii kwenye jambo la msingi kama hili.Sikutegemea kusikia kauli hiyo kutoka kwako, nilitegemea ungepongeza tume na kidogo kujaribu kufanya analysis yako kujua wapi wameweza na wapi wameshindwa. Nilitegemea pia ungeomba waendelee kuwasimamia wananchi na kuhimili pressure kutoka kwa wasioitakia mema nchi yetu. Pia nilitegemea ungetoa rai kwa watanzania kuungana katika kuhakikisha yaliyomo yanasimamiwa na kushirikiana ili kuifanya iwe bora zaidi. Kauli za majungu na kujenga mazingira ya mgawanyiko nisingetegemea zitoke kwa kiongozi mkubwa kama wewe ndani ya chama chako. Umekua mtu mzima siku hizi, jaribu kufanya au kuongea mambo yanayoendana na hadhi yako na umri wako.
kaka kuchambua rasimu ya katiba kunahitaji werevu, uwezo wa akili kutafakari; hapa hakuna mchambuzi bali kuna mshabiki wa siasa.Sikutegemea kusikia kauli hiyo kutoka kwako, nilitegemea ungepongeza tume na kidogo kujaribu kufanya analysis yako kujua wapi wameweza na wapi wameshindwa . Nilitegemea pia ungeomba waendelee kuwasimamia wananchi na kuhimili pressure kutoka kwa wasioitakia mema nchi yetu. Pia nilitegemea ungetoa rai kwa watanzania kuungana katika kuhakikisha yaliyomo yanasimamiwa na kushirikiana ili kuifanya iwe bora zaidi. Kauli za majungu na kujenga mazingira ya mgawanyiko nisingetegemea zitoke kwa kiongozi mkubwa kama wewe ndani ya chama chako. Umekua mtu mzima siku hizi, jaribu kufanya au kuongea mambo yanayoendana na hadhi yako na umri wako.
Tatizo ndugu yangu wewe unashindwa kutafsiri mambo kulingana na muktadha na unaweka mbele ushabiki.Haimaanishi kwamba mtu anapomkosoa mwenzake kwa jambo fulani; basi ndio ataendelea kumkosoa kila siku kwa udhaifu aliouonesha wakati fulani. Kimsingi mtu anapofanya kitu visivyo anakosolewa na anapofanya ndivyo anaungwa mkono. sasa sio kwa kuwa mtu kafanya zuri fulani hata akifanya makosa tumsifu tu na kwa kuwa kafanya kosa fulani hata akifanya zuri tumpinge tu! huo ni utabula rasa wa hali ya juu.Ndio maana unaona hata Deus Kibamba Jana kasifu vipengele vingi katika rasimu licha ya kuwa yeye alikuwa ni miongoni mwa watu wanaokosoa mwenendo mara kwa mara.Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!