Wako wapi waliodai Tume ya Katiba haina weledi na wala si huru!??

Wako wapi waliodai Tume ya Katiba haina weledi na wala si huru!??

Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!
wao ndiyo hawana weredi wala siyo tume.
 
Tuko hapa Nape.
Vipi umejaaliwa kuipitia rasimu yote (mbali na hotuba ya Jaji Warrioba)?
 
Naomba hili Nape ulielewe; Chadema wanapolalamikia jambo ambalo lipo kwenye process ni kutoa angalizo kuwa wako makini kufuatilia na mengi huwa yanabadilishwa kinyemela baada ya Chadema kuyawekea alama ya kuuliza. Mfano hili la mabaraza ya katiba mlilochakachua ni dhahiri litatuletea wakati mgumu na hasa ikizingatiwa kuwa kwa rasimu hii CCM inaenda kuumizwa vibaya hilo hata Warioba analijua! Naomba Nape uwe unachambua jambo kiundani na uliwasilishe kwa uelewa wa hali ya juu na sio kupiga udaku!
 
umesahau nape yupo mzee mmoja mdini sana muasisi wa cdm nae aje alonge hapa.
 
kunawatu hapa tanzania ni waajabu sana wewe unaita wenzako hawana weredi na ile hali wewe umewahi kupata zero katika kusoma kwako si ni sawa na kujitukana.
 
si kila jambo ni mipasho, wewe ni msemaji wa chama, angalia kauli zako kaka. njoo na point juu ya hili. na pia tukumbuke bado kuna mambo mengi sana mpaka katiba mpya ipatikane.
 
Sikutegemea kusikia kauli hiyo kutoka kwako, nilitegemea ungepongeza tume na kidogo kujaribu kufanya analysis yako kujua wapi wameweza na wapi wameshindwa. Nilitegemea pia ungeomba waendelee kuwasimamia wananchi na kuhimili pressure kutoka kwa wasioitakia mema nchi yetu. Pia nilitegemea ungetoa rai kwa watanzania kuungana katika kuhakikisha yaliyomo yanasimamiwa na kushirikiana ili kuifanya iwe bora zaidi. Kauli za majungu na kujenga mazingira ya mgawanyiko nisingetegemea zitoke kwa kiongozi mkubwa kama wewe ndani ya chama chako. Umekua mtu mzima siku hizi, jaribu kufanya au kuongea mambo yanayoendana na hadhi yako na umri wako.

Hii ni kweli kabisa. au Nape alidanganyika na utendaji wa Mapuri? Katibu mwenezi ni mtu anayetumia logic kwa kiwango cha juu. Nape ni kiongozi wa ngazi ya taifa kwa hiyo aongee mambo ambayo wengi watapenda kuyanukuu na kuyaweka wengine wayasome. siyo KUJAMBA JAMBA TU. Na pia kumbuka ni pressure ya CHADEMA, Jukwaa la Katiba, na watu wengine wengi wanaoitakia mema nchi hii ndio wametufukisha hapa. Ule mchanganuo wa Tundu Lissu kuhusu malipo makubwa wanayopewa Tume hii, kwamba yanaakisi hongo, pia ilitua mahala pake. iliwafanya jamaa wakumbuke kwamba wanaweka Legacy yao pale. haki haigawiwi hata siku moja. inapiganiwa. ALUTA CONTINUA!!
 
We jamaa mweupe kweli sasa unashangilia Madaraka ya raisi kuto punguzwa au kutoshitakiwa?
Unashangilia kipindi cha uraisi kuongezwa kutoka 2 kuwa 3 ? sasa hii si hatari maana tukipata Raisi kama huyu wa sasa alafu uwaambie watu atakaa madarakani kwa miaka 15, watu wanaweza kuingia msituni.
Tuweni makini jamanii! Sikweri Rais atakaa madarakani awamu 3 waleni wabunge ndio watakao kaa awamu hizo. Ubavicha mpaka kwenye maswala ya msingi?
 
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!

Badala ya kutoa ushauri kwa Watanzania ili waungane wewe unawaza mipasho tu, nchi bado inayo safari ndefu
 
hioongera nape... ni hawa hawa walikuwa wanapayukapayuka kila kukicha kuwa tume ina wajinga watupu hadi wakataka kujitoa kilichosaidia pro.baregu kuwa na msimamo na kuwaambia kuwa yeye hayupo kwa ajili ya chama yupo kwa ajili ya wananchi wa tanzania..wakikombakomba baada wakasema bado tunatafakari kama tujitoe au la... yani NAPE leo umewagusa panapowasha yani wanarukaruka kinyesi chao wenyewe....... yani wafuasi na viongozi wa chadema wote ni jambo ndogo hawajuei waendako wala watokako..sasa mnatoa povu la nini kwani anachoongea NAPE ni uongo au si ndo nyie mwanzo hadi mwisho tume hovyo leo imetoa rasimu safi menooo kelllelee safiiiiiiiiiiiiiiiii ...hovyo kabisa chadema
 
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!

Wewe ni Janga la Kitaifa, Nashindwa kukutofautisha na Waimba taarabu, kila kitu ushabiki shabiki tu
 
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!

hioongera nape... ni hawa hawa walikuwa wanapayukapayuka kila kukicha kuwa tume ina wajinga watupu hadi wakataka kujitoa kilichosaidia pro.baregu kuwa na msimamo na kuwaambia kuwa yeye hayupo kwa ajili ya chama yupo kwa ajili ya wananchi wa tanzania..wakikombakomba baada wakasema bado tunatafakari kama tujitoe au la... yani NAPE leo umewagusa panapowasha yani wanarukaruka kinyesi chao wenyewe....... yani wafuasi na viongozi wa chadema wote ni jambo ndogo hawajuei waendako wala watokako..sasa mnatoa povu la nini kwani anachoongea NAPE ni uongo au si ndo nyie mwanzo hadi mwisho tume hovyo leo imetoa rasimu safi menooo kelllelee safiiiiiiiiiiiiiiiii ...hovyo kabisa chadema
 
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!
Wewe ni kiongozi wa namna gani unaishi kwa kusutana sutana kama mtu wa kijiweni? Hayo mambo waachie wakina Sofia Simba na Kilango sio wewe!
 
sasa siku zote Nape Nnauye akianzisha mada anaikimbia lakini leo kaanzisha mada,kabakia humu halafu hajibu hoja yeyote anashangaa tu.Kaazi kweli kweli.Labda anatafakari kama uzi wake alioanzisha ulikuwa sahihi au la!
 
Last edited by a moderator:
Tuweni makini jamanii! Sikweri Rais atakaa madarakani awamu 3 waleni wabunge ndio watakao kaa awamu hizo. Ubavicha mpaka kwenye maswala ya msingi?

Masaburi in action.Ubavicha umekujaje au mnaweweseka na Tembo mnaowaua,walong`olewa kucha na mnaowaibia?
 
Nape Nnauye , Habari za siku mkubwa.

Kwanza hakuna aliyesema unnayoyasema hapa, ila malalamiko ni mabaraza ya katiba yaliingiliwa na makada wa CCM mmoja wapo ni mama yangu, dada yangu Asha rose Migiro na wewe. Mliwatengeneza watu wa kuingia kuyapigia kura haya maoni. Naomba utafute matamko ya wote waliopinga utajua wapi walipinga. Mpaka sasa tunapinga upatikanaji wa watu watakao jadili na kuyapitisha haya maoni. Je kweli watayakubali wakati wengi ni makada wa kuingizwa wa CCM?

Tutafurahi wengi kama mtawaelekeza makada wengi kuzingatia maoni ya watanzania.

Maoni yangu binafsi sikubaliani na uwakilishi wa wanaume na wanawake kwenye majimbo utaongeza gharama kubwa sana za kuendesha bunge. Kama nimeelewa vyema yaani kuwe na wawakilishi wa kike na kiume kwenye jimbo moja. No huu utakuwa ni mzigo kwa walipa kodi. yaani majimbo 239 yatoe wabunge 478??? come on haiwezekanai. ni wengi mno ukilingisha na uwezo wa nchi. Nilitegemea tume ingepunguza majimbo ya uchaguzi na kufikia walau 70 au 100. ya kudumu.

Nape tujadili hizi rasimu Tanzania ni yetu wote, wewe utapita, Jk atapita, Lowasaa atapita , Membe Atapita ila Tanzania bado tunayo sana, msifikiri ninyi viongozi wa sisasa mna maana sana zaidi ya maisha yetu la hasha ninyi mnatetea ajira tu hamna la maana mnalilifanya, hamtetei taifa, wananchi wala ustawi wa tanzania. hamna uchungu na uhalisia wa maisha magumu ya Mtanzania.

ndio maana hamjali kushuku kiwango cha elimu manapendekeza utumbo wa kuwaongezea wanafunzi alama. Tukishindwa kuwaandaa vijana wetu leo kwanini kesho tulalamike kuhusu huduma za afya, barabra, mahakama , waalimu wabovu?? Kama leo tunashindwa kuandaa wataalamu kwanini kesho tushangae ghorafa zikituangukia ?? Nape serikali yenu imeshindwa vibaya sana. Na ninaomba miradi yote ya viongozi walioshiriki kuuwa elimu ya nchi ife kwa ukosefu wa utaalamu labda mtajifunza. Nape leo mnafurahia kutibiwa nje na kuiuwa Muhimbili na hospitali zote za ndani, ila ukumbuke kesho mnastaafu uwezo wa kwenda nje kwa fedha za walipa kodi masikini mtakuwa hamna. Najua wote mnapigana vikumbo kutuibia ili kujaza mafedha ya kesho mkiwa nje ya siasa za kibazazi.

Ila Iko siku watanzania watadai fedha zao kwa nguvu.



Nikitaka kupiga mayowe,lakini basi tena,umemaliza kila kitu...


Ngoja niache kupiga mayowe,niache ajionee mwenyewe...
 
Kauli anazozitoa Nape Nnauye si za kitanzania,si za kizalendo,

Ni hawa hapa View attachment 96337 ndio wanastahili kutoa kauli kama hizi kwenye vikao vikao vyao,
Na si mtu kama yeye...

Kijana gani anawaza malumbano yasiyo na tija kila siku??

Utaifa wake anauweka wapi??

Hadi suala la katiba anaingiza ukatibu uenezi wa CCM??

KWANI HANA WATOTO WATAKAOKUJA KUISH NDAN YA ARDHI YA NCHI HII HAPO BAADAE HUYU JAMAA?
 
Last edited by a moderator:
Presha ili ilosaidia kuiogofya tume isichakachue sana japo rasimu bado ina madudu mengi mfano haijasema katiba ya Tanganyika itapatikanaje na lini maana kwa Zanzibar wanayo ya kwao . Lakini utitiri wa wabunge hatutaki pamoja na kufutwa viti maalum uwekwe mpango wa kwamba mikoa iwe inagawana nusu yaani wanaweka.kwa vipindi vitatu vya miaka kumi na tano majimbo fulani yatakuwa.na wagombea wanawake tu kwa vyama vyoye na mengine wanaume tu halafu baada ya muda.huo ritation inafanywa ili kupunguza utitiri wa.wabunge na mzigo wa gharama kwa ukubwa ule. Pia sijasikia vizuri juu ya muundo wa bunge hala la bara na lile la shirikisho zanzibar wao wana la kwao. Pia uraisi wa shirikisho na wale wa.nchi itakuwaje so lots of confusion
 
Umbo la huyu jamaa na akili yake viko tofauti kabisa!!

Kwamba rais anakinga ya kushitakiwa akiwa madarakani halafu akishatoka madarakani iweje!!??
Kwamba rais ni mteua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi!!
Kwamba rais ni mshauriwa nani awe IGP!!??
 
Back
Top Bottom