WAKOMUNISTI pekee ndio wamefaulu kuweka mbali dini na siasa za nchi

WAKOMUNISTI pekee ndio wamefaulu kuweka mbali dini na siasa za nchi

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Katika historia ya dunia na uchipukaji wa dini duniani unaonesha kwamba mara nyingi dini huenda sambamba pamoja na siasa na tawala za nchi.

Hali hii ilikuwa na nguvu katika ujenzi wa mwanzo wa mataifa ya Ulaya na makoloni yake sehemu mbalimbali za duniani hata mataifa ya mashariki ya kati nayo yalitumia na yana tumia mtindo huu pia hata kwa Afrika Misri ya kale ilifanya hivi hata Ethiopia katika historia yake inafanya hivi.

Urusi( Usovieti ) katika hatua za mwanzo walijaribu kuunda taifa ambalo dini na siasa zipo mbali lakini baada ya kuanguka Usovieti miaka ya 90 Kanisa la orthodox lina ushawishi mkubwa katika maamuzi na siasa za Urusi na majirani zake mfano Ukraine.

Tuje kwenye lengo la uzi kama kichwa cha uzi kinavyosema" WAKOMUNISTI pekee ndio wamefaulu kuweka mbali dini na siasa za nchi".

Ndio, hapa nitatumia mfano wa wakomunisti waliobaki nao ni China, North Korea, Vietnam kwa mfano rahisi utakao eleweka na wote ni China kutokana na ukubwa wake na mambo yake mengi kuwa wazi kufahamika kwa yoyote atakaye hitaji kuyafahamu tofauti na North Korea kidogo.

Kwanza kabisa sheria na katiba ya chama cha wakomunisti wa huko uchina hakitoi Uhuru wa mwanachama kuwa muumini wa dini yoyote hiki ndicho chama cha "atheist" wengi duniani ( wakana Mungu,dini ) hivyo kinanyima na kuondoa nafasi ya dini kuwa na influence ndani ya chama tawala cha China.

Kama tunavyo fahamu chama cha kikomunisti cha China ndicho chama tawala cha China toka uhuru wao mpaka sasa hivyo dini kukosa nafasi ndani ya chama moja kwa moja dini inakosa nguvu ya kiushawishi ndani ya serikali na nchi kwa ujumla.

Hiki chama kinauwezo wa kufanya au kuchukua maamuzi yoyote yale kwa maslahi mapana ya nchi pasipo kujali dini ya mtu mfano hiki chama kimewahi kutatua migogoro yake maeneo mbalimbali ya uchina ambapo dini ilikuwa na influence kubwa sana na tishio kwa serikali na utawala.

Kwa hapa kwetu nchini ni ngumu sana kuzitenganisha dini na siasa itahitajika nguvu kubwa itakayoleta maafa kwasababu:-
i, Nchi yetu haina muundo wa nchi za kikomunisti
ii, Harakati zetu za uhuru kwa kiasi kikubwa ziliratibiwa na dini( Waislamu na makanisa)
iii, Dini imechukua nafasi kubwa ndani ya watu na kutawala hisia zao kwa kiasi kikubwa
iv, Vyama vya siasa kutumia viongozi wa dini na taasisi za kidini kupata ushawishi na umaarufu wa kisiasa ( hapa mifano mingi ipo wazi )
V, Shughuli za kiserikali kuongozwa na watu wa dini( masheikh na wachungaji huu umekwisha onekana kama utaratibu wa kawaida )
Vi, Dini kutawala mambo ya nchi, serikali mfano bungeni, wimbo wa taifa( kinyume na katiba ya nchi )

Mwisho taifa letu sio la kiatheist kama ilivyo China na North Korea, we are not communists hivyo dini kuwa mbali na siasa zetu za hapa nchini moja kwa moja bila kupindisha mpaka sasa haiwezekani kamwe labda tuunde taifa upya kwa gharama kubwa ya maisha ya watu ndio hilo liwezekane.

Ni hayo machache
 
Wakomunisti wanaiona dini kama nyenzo iliyokuwa inatumiwa na tabaka tawala kuwahadaa na kuwapumbaza watawaliwa.

1. Kwa kuwaaminisha watu kuwa mamlaka yao ya kutawala 'yametoka kwa Mungu'.

2. Kuwataka watu wasiwe na tamaa ya maisha mazuri hapa duniani, wangojee wakifa ndio watafaidi wakienda huko mbinguni 🤣🤣🤣🤣. Wakati huohuo hao watawala wanaishi maisha ya kifahari kwa gharama za watawaliwa hapa hapa duniani.
 
Wuakomunist wanajitambua sana,huwa na sema bora nchi iongozwe na jamii yenye imani moja la nchi kama ina mchanganyiko wa jamii zenye imani tofauti basi ipige marufuku dini katika mfumo mzima wa kiutawala.
 
20230821_133253.jpg
Kubwa la ubwabwa
 
Katika historia ya dunia na uchipukaji wa dini duniani unaonesha kwamba mara nyingi dini huenda sambamba pamoja na siasa na tawala za nchi.

Hali hii ilikuwa na nguvu katika ujenzi wa mwanzo wa mataifa ya Ulaya na makoloni yake sehemu mbalimbali za duniani hata mataifa ya mashariki ya kati nayo yalitumia na yana tumia mtindo huu pia hata kwa Afrika Misri ya kale ilifanya hivi hata Ethiopia katika historia yake inafanya hivi.

Urusi( Usovieti ) katika hatua za mwanzo walijaribu kuunda taifa ambalo dini na siasa zipo mbali lakini baada ya kuanguka Usovieti miaka ya 90 Kanisa la orthodox lina ushawishi mkubwa katika maamuzi na siasa za Urusi na majirani zake mfano Ukraine.

Tuje kwenye lengo la uzi kama kichwa cha uzi kinavyosema" WAKOMUNISTI pekee ndio wamefaulu kuweka mbali dini na siasa za nchi".

Ndio, hapa nitatumia mfano wa wakomunisti waliobaki nao ni China, North Korea, Vietnam kwa mfano rahisi utakao eleweka na wote ni China kutokana na ukubwa wake na mambo yake mengi kuwa wazi kufahamika kwa yoyote atakaye hitaji kuyafahamu tofauti na North Korea kidogo.

Kwanza kabisa sheria na katiba ya chama cha wakomunisti wa huko uchina hakitoi Uhuru wa mwanachama kuwa muumini wa dini yoyote hiki ndicho chama cha "atheist" wengi duniani ( wakana Mungu,dini ) hivyo kinanyima na kuondoa nafasi ya dini kuwa na influence ndani ya chama tawala cha China.

Kama tunavyo fahamu chama cha kikomunisti cha China ndicho chama tawala cha China toka uhuru wao mpaka sasa hivyo dini kukosa nafasi ndani ya chama moja kwa moja dini inakosa nguvu ya kiushawishi ndani ya serikali na nchi kwa ujumla.

Hiki chama kinauwezo wa kufanya au kuchukua maamuzi yoyote yale kwa maslahi mapana ya nchi pasipo kujali dini ya mtu mfano hiki chama kimewahi kutatua migogoro yake maeneo mbalimbali ya uchina ambapo dini ilikuwa na influence kubwa sana na tishio kwa serikali na utawala.

Kwa hapa kwetu nchini ni ngumu sana kuzitenganisha dini na siasa itahitajika nguvu kubwa itakayoleta maafa kwasababu:-
i, Nchi yetu haina muundo wa nchi za kikomunisti
ii, Harakati zetu za uhuru kwa kiasi kikubwa ziliratibiwa na dini( Waislamu na makanisa)
iii, Dini imechukua nafasi kubwa ndani ya watu na kutawala hisia zao kwa kiasi kikubwa
iv, Vyama vya siasa kutumia viongozi wa dini na taasisi za kidini kupata ushawishi na umaarufu wa kisiasa ( hapa mifano mingi ipo wazi )
V, Shughuli za kiserikali kuongozwa na watu wa dini( masheikh na wachungaji huu umekwisha onekana kama utaratibu wa kawaida )
Vi, Dini kutawala mambo ya nchi, serikali mfano bungeni, wimbo wa taifa( kinyume na katiba ya nchi )

Mwisho taifa letu sio la kiatheist kama ilivyo China na North Korea, we are not communists hivyo dini kuwa mbali na siasa zetu za hapa nchini moja kwa moja bila kupindisha mpaka sasa haiwezekani kamwe labda tuunde taifa upwa kwa gharama kubwa ya maisha ya watu ndio hilo liwezekane.

Ni hayo machache
Walijidanganya tu miaka mingi. Walibana wenyewe wakaachia.

Dini ni siasa bora pekee.

Tatizo linakuja wengine wanapojiita dini lakini siyo dini, ni imani tu.
 
Wakomunisti wanaiona dini kama nyenzo iliyokuwa inatumiwa na tabaka tawala kuwahadaa na kuwapumbaza watawaliwa.

1. Kwa kuwaaminisha watu kuwa mamlaka yao ya kutawala 'yametoka kwa Mungu'.

2. Kuwataka watu wasiwe na tamaa ya maisha mazuri hapa duniani, wangojee wakifa ndio watafaidi wakienda huko mbinguni 🤣🤣🤣🤣. Wakati huohuo hao watawala wanaishi maisha ya kifahari kwa gharama za watawaliwa hapa hapa duniani.
Dini ni tishio kwa serikali na utawala, dini inabeba hisia za watu wengi kwa sababu ina imani ndani take hivyo dini ndio inatawala watu wengi kuisogeza karibu zaidi dini na serikali kuna hatari ndani yake ndio yanakuja ya mambo ya kubalance mizani kila dini inufahike
 
Huwezi kuiondoa dini ktk list ya mawakala wa ukoloni, tena ipo nafasi za juu kabisa, kuendelea kuipa nafasi ni kuendelea kuutukuza ujinga
Katika historia ya dunia na uchipukaji wa dini duniani unaonesha kwamba mara nyingi dini huenda sambamba pamoja na siasa na tawala za nchi.

Hali hii ilikuwa na nguvu katika ujenzi wa mwanzo wa mataifa ya Ulaya na makoloni yake sehemu mbalimbali za duniani hata mataifa ya mashariki ya kati nayo yalitumia na yana tumia mtindo huu pia hata kwa Afrika Misri ya kale ilifanya hivi hata Ethiopia katika historia yake inafanya hivi.

Urusi( Usovieti ) katika hatua za mwanzo walijaribu kuunda taifa ambalo dini na siasa zipo mbali lakini baada ya kuanguka Usovieti miaka ya 90 Kanisa la orthodox lina ushawishi mkubwa katika maamuzi na siasa za Urusi na majirani zake mfano Ukraine.

Tuje kwenye lengo la uzi kama kichwa cha uzi kinavyosema" WAKOMUNISTI pekee ndio wamefaulu kuweka mbali dini na siasa za nchi".

Ndio, hapa nitatumia mfano wa wakomunisti waliobaki nao ni China, North Korea, Vietnam kwa mfano rahisi utakao eleweka na wote ni China kutokana na ukubwa wake na mambo yake mengi kuwa wazi kufahamika kwa yoyote atakaye hitaji kuyafahamu tofauti na North Korea kidogo.

Kwanza kabisa sheria na katiba ya chama cha wakomunisti wa huko uchina hakitoi Uhuru wa mwanachama kuwa muumini wa dini yoyote hiki ndicho chama cha "atheist" wengi duniani ( wakana Mungu,dini ) hivyo kinanyima na kuondoa nafasi ya dini kuwa na influence ndani ya chama tawala cha China.

Kama tunavyo fahamu chama cha kikomunisti cha China ndicho chama tawala cha China toka uhuru wao mpaka sasa hivyo dini kukosa nafasi ndani ya chama moja kwa moja dini inakosa nguvu ya kiushawishi ndani ya serikali na nchi kwa ujumla.

Hiki chama kinauwezo wa kufanya au kuchukua maamuzi yoyote yale kwa maslahi mapana ya nchi pasipo kujali dini ya mtu mfano hiki chama kimewahi kutatua migogoro yake maeneo mbalimbali ya uchina ambapo dini ilikuwa na influence kubwa sana na tishio kwa serikali na utawala.

Kwa hapa kwetu nchini ni ngumu sana kuzitenganisha dini na siasa itahitajika nguvu kubwa itakayoleta maafa kwasababu:-
i, Nchi yetu haina muundo wa nchi za kikomunisti
ii, Harakati zetu za uhuru kwa kiasi kikubwa ziliratibiwa na dini( Waislamu na makanisa)
iii, Dini imechukua nafasi kubwa ndani ya watu na kutawala hisia zao kwa kiasi kikubwa
iv, Vyama vya siasa kutumia viongozi wa dini na taasisi za kidini kupata ushawishi na umaarufu wa kisiasa ( hapa mifano mingi ipo wazi )
V, Shughuli za kiserikali kuongozwa na watu wa dini( masheikh na wachungaji huu umekwisha onekana kama utaratibu wa kawaida )
Vi, Dini kutawala mambo ya nchi, serikali mfano bungeni, wimbo wa taifa( kinyume na katiba ya nchi )

Mwisho taifa letu sio la kiatheist kama ilivyo China na North Korea, we are not communists hivyo dini kuwa mbali na siasa zetu za hapa nchini moja kwa moja bila kupindisha mpaka sasa haiwezekani kamwe labda tuunde taifa upya kwa gharama kubwa ya maisha ya watu ndio hilo liwezekane.

Ni hayo machache
 
Wuakomunist wanajitambua sana,huwa na sema bora nchi iongozwe na jamii yenye imani moja la nchi kama ina mchanganyiko wa jamii zenye imani tofauti basi ipige marufuku dini katika mfumo mzima wa kiutawala.
Ni hatari sana kukiwa na dini kubwa mbili nchini kama ambavyo kuwe na makabila makubwa mawili nchini inahitaji umakini kubwa kuhandle haya makundi makubwa mawili bila hivyo unagawa nchi.

Kwetu hatuna makabila makubwa mawili pekee tuna wasukuma, wachaga, wanyakyusa, wamaasai n.k ila dini kubwa mbili nazo Ukristo na Uislam hivyo viongozi wawe na hekima katika hili dini zinabeba hisia Kali kupita maelezo
 
Huwezi kuiondoa dini ktk list ya mawakala wa ukoloni, tena ipo nafasi za juu kabisa, kuendelea kuipa nafasi ni kuendelea kuutukuza ujinga
Ndio maana nimesema mataifa ya ulaya katika hatua za mwanzo za ujenzi wa mataifa yao dini zilienda sambamba na siasa na tawala zao hata katika makoloni yao hivyo ndivyo walifanya same goes to waarabu wajenga tawala zao sambamba na dini hata katika makoloni yao
 
Naunga mkono HOJA kamanda.

Angalizo: Dini na Imani visichanganywe pamoja kama ambavyo mafuta na maji yasivyowekwa chupa moja.
Ni hatari sana dini na siasa kuchanganywa toka mwanzo wa ujenzi wa taifa letu tulikosea katika hili inabidi tutafute njia bora ya kuziweka dini mbali na siasa za nchi bila kugharimu maisha ya watu na kuvuruga utulivu wa nchi yetu
 
Walijidanganya tu miaka mingi. Walibana wenyewe wakaachia.

Dini ni siasa bora pekee.

Tatizo linakuja wengine wanapojiita dini lakini siyo dini, ni imani tu.
Dini kwenda sambamba na siasa za nchi sio kitu kizuri
 
Ni hatari sana dini na siasa kuchanganya toka mwanzo wa ujenzi wa taifa letu tulikosea katika hili inabidi tutafute njia bora ya kuziweka dini mbali na siasa za nchi bila kugharimu maisha ya watu na kuvuruga utulivu wa nchi yetu
Ni Kweli, dini na siasa visichanganywe.

Lakini ni hatari KUONGOZWA na watu wasio na IMANI na HOFU ya Mungu, tukiendelea kuruhusu wezi na wazinzi nk nk kutuongoza, IPO siku Mapepo nusu mtu nusu binafamu yatatawala Wana wa Mungu.
 
Dini ni tishio kwa utawala usiotenda haki.
Je kwenye ukomunist mtawaliwa anayo haki?
Maisha ya watawala ni ya kifahari kuliko watawaliwa.
Kipanki anaishi peponi raia wake wanashindia dagaa, Nyerere hakuwahi kupanga foleni Bali alipiga picha kuoenekana anagombea kununua mahitaji kwenye maduka ya ishirika.
Ukomunist unamfanya mtawaliwa kuwa mtumwa,wanapinga dini kwa sababu dini ni ukombozi wa fikra.
Wakomunist Wana falsafa ya ukitaka kuwatawala watu wafanye wawe masikini.
Masikini afikirii chochote nje ya shine.
 
Dini inaleta upendo,utu, heshima na maadili ya mtu.
Dini inapinga mtu asiwe mwizi, fisadi,rushwa,mtu asiye na dini ni rahisi kuwa na hivyo.
 
Dini ni tishio kwa utawala usiotenda haki.
Je kwenye ukomunist mtawaliwa anayo haki?
Maisha ya watawala ni ya kifahari kuliko watawaliwa.
Kipanki anaishi peponi raia wake wanashindia dagaa, Nyerere hakuwahi kupanga foleni Bali alipiga picha kuoenekana anagombea kununua mahitaji kwenye maduka ya ishirika.
Ukomunist unamfanya mtawaliwa kuwa mtumwa,wanapinga dini kwa sababu dini ni ukombozi wa fikra.
Wakomunist Wana falsafa ya ukitaka kuwatawala watu wafanye wawe masikini.
Masikini afikirii chochote nje ya shine.
Kati ya Tanzania na China ni nchi gani inajali zaidi raia wake na wameendelea zaidi na ina mipango zaidi ya kuwaendeleza raia wake ?
 
Back
Top Bottom