WAKOMUNISTI pekee ndio wamefaulu kuweka mbali dini na siasa za nchi

Huwezi tenganisha dini na siasa maana vyote uhudumia watu.
Dini uhudumia roho siasa uhudumia mwili.
Dini inaathiri siasa na siasa inaathiri dini
 
Ni Kweli, dini na siasa visichanganywe.

Lakini ni hatari KUONGOZWA na watu wasio na IMANI na HOFU ya Mungu, tukiendelea kuruhusu wezi na wazinzi nk nk kutuongoza, IPO siku Mapepo nusu mtu nusu binafamu yatatawala Wana wa Mungu.
Kuongozwa na mtu aliye na asie na hofu ya Mungu wala asiye mjua Mungu sio tatizo wala haina maana kwa sababu hayo ni masuala yake binafsi jambo la msingi ni aheshimu katiba ya nchi basi
 
Dini inaleta upendo,utu, heshima na maadili ya mtu.
Dini inapinga mtu asiwe mwizi, fisadi,rushwa,mtu asiye na dini ni rahisi kuwa na hivyo.
Hapana mtu yoyote mwenye ufahamu anafahamu kuwa hiki kibaya na hiki kizuri bila kujali ana dini au laaah!
 
Ukomunist nchi ni mali ya wahuni wachache, mtawaliwa yeyeto hana haki juu ya maamuzi yeyeto kuhusu nchi yake.
Mtawaliwa ni mali ya mtawala ndo maana ya kurithithana ufalme.
 
Huwezi tenganisha dini na siasa maana vyote uhudumia watu.
Dini uhudumia roho siasa uhudumia mwili.
Dini inaathiri siasa na siasa inaathiri dini
Unaweza kuweka dini mbali na siasa za nchi sijui uelewa wako wa mambo upoje
 
Ukomunist nchi ni mali ya wahuni wachache, mtawaliwa yeyeto hana haki juu ya maamuzi yeyeto kuhusu nchi yake.
Mtawaliwa ni mali ya mtawala ndo maana ya kurithithana ufalme.
Hatupo hapa kuelezeana namna ukomunisti unavyo chukuliwa na watu bali namna ukomunisti umefaulu kuweka mbali dini na siasa za nchi tujikite hapo
 
China zipo mbili ya Sasa na ya zamani.
Ya Sasa iliutupa shimoni ukomunist ndo maana Ina maendeleo.
Ukomunist umebakia kwenye chama tu na Sio kwenye maisha ya watu
Umevuta bangi ? Unasema China imeachana na Ukomunisti hapo hapo unasema ukomunisti upo kwenye chama tu.
kwani hicho chama kinaongoza buguruni ?!
 
Sio propaganda katika hili la dini wamefaulu kuweka mbali na siasa za nchi wala hakuna propaganda kila mwenye macho anaona tofauti na hapa kwetu na mataifa mbalimbali
Halafu woote tumuabudu Chairman MAO

Hakuna mfumo mzuri kwa Taifa kama Liberal Democracy kila taasisi inatoa maoni yake na kushauri

Kuhusisha Viongozi wa Dini na makundi mengine ya Jamii kuishauri Serikali yao

Kumbuka Mwanasiasa anaweza kukuuza Utumwani ukizubaa
 
Sasa chak
Umevuta bangi ? Unasema China imeachana na Ukomunisti hapo hapo unasema ukomunisti upo kwenye chama tu.
kwani hicho chama kinaongoza buguruni ?!
Sasa chama ndio maisha ya Wachina,wachina wa Sasa Sio wale wa miaka ile
 
Hakuna anaye abudia ndani ya mfumo wa ukomunisti hicho ni kinyume na ukomunisti wenyewe ila kuna heshima ya kipuuzi iliyo pitiliza kwa wakomunisti kwa mwenyekiti wao by the way huo upuuzi wa Mao alikufa nao mwenyewe na genge lake mwenyewe. Ukomunisti uo against masuala ya kuabudu chochote kile
 
Sasa chak

Sasa chama ndio maisha ya Wachina,wachina wa Sasa Sio wale wa miaka ile
Dogo ukomunisti ni mfumo wa siasa na uchumi usifikiri ukomunisti ni uchumi tu siasa haihusiki
 
North Korea nilienda miaka fulani inabidi usujudie hata picha ya Dear Leader.
 
communism inaamini dini ni kama madawa ya kulevya inaua jamii ya watu walio wamoja

mfano waafrica leo wanaonana maadui kisa dini isingekua dini wangekua kitu kimoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…