MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
99 9% ya Wapumbavu walijua tutafuzu!!Hivi kweli sisi watanzania tulikuwa tupo serious tushinde ili tukakutane na timu ya Taifa ya Ujerumani au France? Seriously?
Mkuu acha tu..Kocha wa Taifa Stars Kim Paulsen amekisuka Kikosi chake kwa Siku 8 mfululizo, huku Kocha Hector Couper ameungana na Wachezaji wake Juzi Usiku tu na Jana wametufunga Kishalubela ( Kikatili ) Magoli 3 kwa 0 kwa Mkapa tena mbele ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waandamizi wengine wa Serikali.
Asante Wakongo wa Kutudharau Jana.
Manula kweli shati, kafungwa magoli ya hovyo kabisa.Kocha wa Taifa Stars Kim Paulsen amekisuka Kikosi chake kwa Siku 8 mfululizo, huku Kocha Hector Couper ameungana na Wachezaji wake Juzi Usiku tu na Jana wametufunga Kishalubela (Kikatili) Magoli 3 kwa 0 kwa Mkapa tena mbele ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waandamizi wengine wa Serikali.
Asante Wakongo wa Kutudharau Jana.
Mohammed hussein Huyu huyu wa sasa wa simba?Tanzania kwa siku hizi hatuna kabisa wachezaji wenye vipaji vya asili vya kusakata kabumbu tumebaki na watu wa kufanya "Show" kwenye vyombo vya habari na kupiga pesa. That's all.
Hatuna wachezaji kama akina Abdallah Kibaden, Sunday Manara, Saad Ally, Gibson Sembuli, Haidary Abeid, Mohammed Kajole, Omar Kapera, Martin Kikwa, Nico Njohole, Mwinda Ramadhani, Leodgar Tenga, Jellah Mtagwa, Omar Mahadhi, Aluu Ally, Peter Tino, Abdallah Burhani, Rishard Adolph, Zamoyoni Mogella, Hamisi Gaga, Mohammed Salim, Salim Omar, Elisha John, Hillal Hemed, Malota Soma, Mohammed Hussein, Edibily Lunyamila, Kitwana Selemani, Fumo Felician nk nk nk.
Hao ndio walikuwa wachezaji wa mpira lkn hawa wa leo ni Nyambole tu.
Mohammed Hussein (Machinga) ndiye anaongoza kwa ufungaji wa mabao katika historia ya soka la Tanzania, mabao 27 kwa mwaka mmoja na rekodi haijavunjwa hadi leo.Mohammed hussein Huyu huyu wa sasa wa simba?
Hizo ngonjera tu, hao unaowataja walienda kombe la dunia lipi?Tanzania kwa siku hizi hatuna kabisa wachezaji wenye vipaji vya asili vya kusakata kabumbu tumebaki na watu wa kufanya "Show" kwenye vyombo vya habari na kupiga pesa. That's all.
Hatuna wachezaji kama akina Abdallah Kibaden, Sunday Manara, Saad Ally, Gibson Sembuli, Haidary Abeid, Mohammed Kajole, Omar Kapera, Martin Kikwa, Nico Njohole, Mwinda Ramadhani, Leodgar Tenga, Jellah Mtagwa, Omar Mahadhi, Aluu Ally, Peter Tino, Abdallah Burhani, Rishard Adolph, Zamoyoni Mogella, Hamisi Gaga, Mohammed Salim, Salim Omar, Elisha John, Hillal Hemed, Malota Soma, Mohammed Hussein, Edibily Lunyamila, Kitwana Selemani, Fumo Felician nk nk nk.
Hao ndio walikuwa wachezaji wa mpira lkn hawa wa leo ni Nyambole tu.
Hatu kama talent ni muhimu lakini tunahitaji zaidi wachezaji wachezaji waliofundishwa kucheza soka toka utotoni, na wanaojituma mazoezini na uwanjani pengine kuliko hao wenye talent ya asiliTanzania kwa siku hizi hatuna kabisa wachezaji wenye vipaji vya asili vya kusakata kabumbu tumebaki na watu wa kufanya "Show" kwenye vyombo vya habari na kupiga pesa. That's all.
Tanzania kwa siku hizi hatuna kabisa wachezaji wenye vipaji vya asili vya kusakata kabumbu tumebaki na watu wa kufanya "Show" kwenye vyombo vya habari na kupiga pesa. That's all.
Hatuna wachezaji kama akina Abdallah Kibaden, Sunday Manara, Saad Ally, Gibson Sembuli, Haidary Abeid, Mohammed Kajole, Omar Kapera, Martin Kikwa, Nico Njohole, Mwinda Ramadhani, Leodgar Tenga, Jellah Mtagwa, Omar Mahadhi, Aluu Ally, Peter Tino, Abdallah Burhani, Rishard Adolph, Zamoyoni Mogella, Hamisi Gaga, Mohammed Salim, Salim Omar, Elisha John, Hillal Hemed, Malota Soma, Mohammed Hussein, Edibily Lunyamila, Kitwana Selemani, Fumo Felician nk nk nk.
Hao ndio walikuwa wachezaji wa mpira lkn hawa wa leo ni Nyambole tu.
Hawakushiriki world cup yoyote, nani amesema walishiriki.Hao kina Kibaden walishiriki world cup ya mwaka gani?
Huko wala tusingefika bwana...Hivi kweli sisi watanzania tulikuwa tupo serious tushinde ili tukakutane na timu ya Taifa ya Ujerumani au France? Seriously?
Unategemea kweli Ushinde ukiwa ni Michezaji Mizuzu ( Mijuha ) kama Dickson Job, Bakari Mwanyeto na Feisal Salum Fei Toto?Unategemea ushinde kwa wachezaji akina Kibu, Mzamiru na Nyoni
Swala sio kucheza World Cup, swala ni quality ya mpira waliokuwa wakiucheza kipindi hicho na unaochezwa sasa hivi, ndicho nilichokuwa najaribu kuongelea.Hizo ngonjera tu, hao unaowataja walienda kombe la dunia lipi?
Bongo hatujawahi kukosa vipaji vya soka tuna vipaji vingi ila changamoto haviendelezwi.. kipaji hiki hiki cha nyoni kucheza hapa na kina adam adam kisha kucheza na kina adama traore, cavani huko kuna vitu unapata..