Why not? Nchi ambayo ipo uchumi wa kati kucheza na ujerumani kitu gani? Usi-umdermine donor country. Be confident!Hivi kweli sisi watanzania tulikuwa tupo serious tushinde ili tukakutane na timu ya Taifa ya Ujerumani au France? Seriously?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why not? Nchi ambayo ipo uchumi wa kati kucheza na ujerumani kitu gani? Usi-umdermine donor country. Be confident!Hivi kweli sisi watanzania tulikuwa tupo serious tushinde ili tukakutane na timu ya Taifa ya Ujerumani au France? Seriously?
Bora tumetoka mapemaHivi kweli sisi watanzania tulikuwa tupo serious tushinde ili tukakutane na timu ya Taifa ya Ujerumani au France? Seriously?
E bana mi najifanya mrundi kwa muda.maana si kwa kipigo kileBora tumetoka mapema
Pole mkuuE bana mi najifanya mrundi kwa muda.maana si kwa kipigo kile
Kocha wa Taifa Stars Kim Paulsen amekisuka Kikosi chake kwa Siku 8 mfululizo, huku Kocha Hector Couper ameungana na Wachezaji wake Juzi Usiku tu na Jana wametufunga Kishalubela (Kikatili) Magoli 3 kwa 0 kwa Mkapa tena mbele ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waandamizi wengine wa Serikali.
Asante Wakongo wa Kutudharau Jana.