Wakongo (Congo DR) wametudharau sana Wabongo (Tanzania) Jana haki ya nani

Wakongo (Congo DR) wametudharau sana Wabongo (Tanzania) Jana haki ya nani

Mohammed Hussein (Machinga) ndiye anaongoza kwa ufungaji wa mabao katika historia ya soka la Tanzania, mabao 27 kwa mwaka mmoja na rekodi haijavunjwa hadi leo.
Siyo kweli hayo Magoli alijipa tu Mwenyewe na kwa Uzuzu ( Upuuzi ) wetu tukamuamini. Inasemekana kati ya Abdallah King Kibaden au Madaraka Selemani Mzee wa Kiminyio wana Magoli mengi zaidi ya huyu Chinga Mjanja Mjanja Mohammed Hussein.
 
Siyo kweli hayo Magoli alijipa tu Mwenyewe na kwa Uzuzu ( Upuuzi ) wetu tukamuamini. Inasemekana kati ya Abdallah King Kibaden au Madaraka Selemani Mzee wa Kiminyio wana Magoli mengi zaidi ya huyu Chinga Mjanja Mjanja Mohammed Hussein.
Mambo ya kusemekana hayana uhakika
 
Tanzania kwa siku hizi hatuna kabisa wachezaji wenye vipaji vya asili vya kusakata kabumbu tumebaki na watu wa kufanya "Show" kwenye vyombo vya habari na kupiga pesa. That's all.

Hatuna wachezaji kama akina Abdallah Kibaden, Sunday Manara, Saad Ally, Gibson Sembuli, Haidary Abeid, Mohammed Kajole, Omar Kapera, Martin Kikwa, Nico Njohole, Mwinda Ramadhani, Leodgar Tenga, Jellah Mtagwa, Omar Mahadhi, Aluu Ally, Peter Tino, Abdallah Burhani, Rishard Adolph, Zamoyoni Mogella, Hamisi Gaga, Mohammed Salim, Salim Omar, Elisha John, Hillal Hemed, Malota Soma, Mohammed Hussein, Edibily Lunyamila, Kitwana Selemani, Fumo Felician nk nk nk.

Hao ndio walikuwa wachezaji wa mpira lkn hawa wa leo ni Nyambole tu.
Acha kujifaliji,Hakuna mwaka tuliowai kujua kucheza mpira,kidogo kizazi hiki ndo wanajitahifi
 
Swala sio kucheza World Cup, swala ni quality ya mpira waliokuwa wakiucheza kipindi hicho na unaochezwa sasa hivi, ndicho nilichokuwa najaribu kuongelea.
Quality ya soka inapimwa kwa matanikio mzee.. vikombe ama kufika sehemu fulani katika michuano.

Hizi porojo hazitupeleki popote, misingi yetu ya soka mibovu mnoo, tumejaa ujanja ujanja kupita maelezo, tunataka shortcut, ngumu mnoo.
 
Tanzania kwa siku hizi hatuna kabisa wachezaji wenye vipaji vya asili vya kusakata kabumbu tumebaki na watu wa kufanya "Show" kwenye vyombo vya habari na kupiga pesa. That's all.

Hatuna wachezaji kama akina Abdallah Kibaden, Sunday Manara, Saad Ally, Gibson Sembuli, Haidary Abeid, Mohammed Kajole, Omar Kapera, Martin Kikwa, Nico Njohole, Mwinda Ramadhani, Leodgar Tenga, Jellah Mtagwa, Omar Mahadhi, Aluu Ally, Peter Tino, Abdallah Burhani, Rishard Adolph, Zamoyoni Mogella, Hamisi Gaga, Mohammed Salim, Salim Omar, Elisha John, Hillal Hemed, Malota Soma, Mohammed Hussein, Edibily Lunyamila, Kitwana Selemani, Fumo Felician nk nk nk.

Hao ndio walikuwa wachezaji wa mpira lkn hawa wa leo ni Nyambole tu.
Pumbavu hao kina kibadeni mbona hawajawahi kwenda kombe la duania?
 
Tanzania kwa siku hizi hatuna kabisa wachezaji wenye vipaji vya asili vya kusakata kabumbu tumebaki na watu wa kufanya "Show" kwenye vyombo vya habari na kupiga pesa. That's all.

Hatuna wachezaji kama akina Abdallah Kibaden, Sunday Manara, Saad Ally, Gibson Sembuli, Haidary Abeid, Mohammed Kajole, Omar Kapera, Martin Kikwa, Nico Njohole, Mwinda Ramadhani, Leodgar Tenga, Jellah Mtagwa, Omar Mahadhi, Aluu Ally, Peter Tino, Abdallah Burhani, Rishard Adolph, Zamoyoni Mogella, Hamisi Gaga, Mohammed Salim, Salim Omar, Elisha John, Hillal Hemed, Malota Soma, Mohammed Hussein, Edibily Lunyamila, Kitwana Selemani, Fumo Felician nk nk nk.

Hao ndio walikuwa wachezaji wa mpira lkn hawa wa leo ni Nyambole tu.
Hao uluowataja walifanya nini cha maana hata tujivunie?
 
Hao uluowataja walifanya nini cha maana hata tujivunie?
Walicheza mpira mzuri na wa kuvutia katika mazingira magumu ya wakati ule hata kama hawakutwaa taji lolote la Afrika na vilabu vikubwa hasa Simba na Yanga viliheshimika sana pamoja na kwamba vilikuwa na wachezaji wazawa tu.
 
Pumbavu hao kina kibadeni mbona hawajawahi kwenda kombe la duania?
Kwenda kombe la dunia isiwe disqualification criterion ya kuonyesha kwamba hawakuwa wazuri kwani inaonekana hamjui mambo yalivyokuwa kipindi hicho.

Afrika iliruhusiwa kushiriki world cup kwa mara ya kwanza mwaka 1970 ilipowakilishwa na Morocco huko nchini Mexico. Ilikuwa ni mwaka 1982 kule Spain ambapo Afrika iliruhusiwa kuwakilishwa na mataifa mawili ambapo walifuzu Algeria na Cameroon.

Ni mwaka 1994 ndipo Afrika ilipopewa nafasi tatu kwenye mashindano yaliyofanyika nchini Marekani.

Sasa kwa mlolongo huo mtu anaweza kuona ushindani wa kufuzu kushiriki kwenye mashindano hayo ulivyokuwa mgumu kiasi kwamba taifa kama Ghana imekuja kushiriki kwenye world cup kwa mara ya kwanza kabisa mwaka 2006 pamoja na umahiri wao katika soka la Afrika.

Mtu kama haelewi mambo kama haya anaweza akabaki tu kupiga kelele humu kumbe it's just a matter of ignorance of not knowing the African teams vis a vis world cup history.
 
Kwenda kombe la dunia isiwe disqualification criterion ya kuonyesha kwamba hawakuwa wazuri kwani inaonekana hamjui mambo yalivyokuwa kipindi hicho.

Afrika iliruhusiwa kushiriki world cup kwa mara ya kwanza mwaka 1970 ilipowakilishwa na Morocco huko nchini Mexico. Ilikuwa ni mwaka 1982 kule Spain ambapo Afrika iliruhusiwa kuwakilishwa na mataifa mawili ambapo walifuzu Algeria na Cameroon.

Ni mwaka 1994 ndipo Afrika ilipopewa nafasi tatu kwenye mashindano yaliyofanyika nchini Marekani.

Sasa kwa mlolongo huo mtu anaweza kuona ushindani wa kufuzu kushiriki kwenye mashindano hayo ulivyokuwa mgumu kiasi kwamba taifa kama Ghana imekuja kushiriki kwenye world cup kwa mara ya kwanza kabisa mwaka 2006 pamoja na umahiri wao katika soka la Afrika.

Mtu kama haelewi mambo kama haya anaweza akabaki tu kupiga kelele humu kumbe it's just a matter of ignorance of not knowing the African teams vis a vis world cup history.
Unaulevi na vitu vya zamani mbwa wewe
 
Siyo kweli hayo Magoli alijipa tu Mwenyewe na kwa Uzuzu ( Upuuzi ) wetu tukamuamini. Inasemekana kati ya Abdallah King Kibaden au Madaraka Selemani Mzee wa Kiminyio wana Magoli mengi zaidi ya huyu Chinga Mjanja Mjanja Mohammed Hussein.
Acha uongo, sema wana magoli mangapi. Huyo Machinga ndio mchezaji mwenye magoli mengi kwa msimu mmoja wa ligi, magoli 27 na hiyo rekodi haijavunjwa hadi leo na hilo liko documented kabisa.
Tupe takwimu, usiongee tu kilevi.
 
Samatta drop out kila timu ndio captain mnategemea nini?
Tukalime viazi tu mpira hatuwezi..
3-0 shienzy.
 
Ulitegemea tungewafunga wakati timu yao ieopards B ndio wanaongoza ligi yetu kwa sasa ?
 
Unategemea kweli Ushinde ukiwa ni Michezaji Mizuzu ( Mijuha ) kama Dickson Job, Bakari Mwanyeto na Feisal Salum Fei Toto?
Na auwezi kushinda ukiwa na michezaji akili kisoda na mizee aina ya kina john boko, kibu denis na lile shuka linalokaa golini Aisha Man ur a🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom