Tanzania kwa siku hizi hatuna kabisa wachezaji wenye vipaji vya asili vya kusakata kabumbu tumebaki na watu wa kufanya "Show" kwenye vyombo vya habari na kupiga pesa. That's all.
Hatuna wachezaji kama akina Abdallah Kibaden, Sunday Manara, Saad Ally, Gibson Sembuli, Haidary Abeid, Mohammed Kajole, Omar Kapera, Martin Kikwa, Nico Njohole, Mwinda Ramadhani, Leodgar Tenga, Jellah Mtagwa, Omar Mahadhi, Aluu Ally, Peter Tino, Abdallah Burhani, Rishard Adolph, Zamoyoni Mogella, Hamisi Gaga, Mohammed Salim, Salim Omar, Elisha John, Hillal Hemed, Malota Soma, Mohammed Hussein, Edibily Lunyamila, Kitwana Selemani, Fumo Felician nk nk nk.
Hao ndio walikuwa wachezaji wa mpira lkn hawa wa leo ni Nyambole tu.