MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #21
Siyo kweli hayo Magoli alijipa tu Mwenyewe na kwa Uzuzu ( Upuuzi ) wetu tukamuamini. Inasemekana kati ya Abdallah King Kibaden au Madaraka Selemani Mzee wa Kiminyio wana Magoli mengi zaidi ya huyu Chinga Mjanja Mjanja Mohammed Hussein.Mohammed Hussein (Machinga) ndiye anaongoza kwa ufungaji wa mabao katika historia ya soka la Tanzania, mabao 27 kwa mwaka mmoja na rekodi haijavunjwa hadi leo.
Nna uhakika 100% haya majina umeyaandika huku unaona aibuUnategemea kweli Ushinde ukiwa ni Michezaji Mizuzu ( Mijuha ) kama Dickson Job, Bakari Mwanyeto na Feisal Salum Fei Toto?
[emoji23][emoji23] aisee tulipigwaIssue yeyote ile ukiona KASSIM MAJALIWA anaiongelea jua hamna kitu hapo.
Any way rais yupo ofisini anakagua mafaili
Mambo ya kusemekana hayana uhakikaSiyo kweli hayo Magoli alijipa tu Mwenyewe na kwa Uzuzu ( Upuuzi ) wetu tukamuamini. Inasemekana kati ya Abdallah King Kibaden au Madaraka Selemani Mzee wa Kiminyio wana Magoli mengi zaidi ya huyu Chinga Mjanja Mjanja Mohammed Hussein.
Acha kujifaliji,Hakuna mwaka tuliowai kujua kucheza mpira,kidogo kizazi hiki ndo wanajitahifiTanzania kwa siku hizi hatuna kabisa wachezaji wenye vipaji vya asili vya kusakata kabumbu tumebaki na watu wa kufanya "Show" kwenye vyombo vya habari na kupiga pesa. That's all.
Hatuna wachezaji kama akina Abdallah Kibaden, Sunday Manara, Saad Ally, Gibson Sembuli, Haidary Abeid, Mohammed Kajole, Omar Kapera, Martin Kikwa, Nico Njohole, Mwinda Ramadhani, Leodgar Tenga, Jellah Mtagwa, Omar Mahadhi, Aluu Ally, Peter Tino, Abdallah Burhani, Rishard Adolph, Zamoyoni Mogella, Hamisi Gaga, Mohammed Salim, Salim Omar, Elisha John, Hillal Hemed, Malota Soma, Mohammed Hussein, Edibily Lunyamila, Kitwana Selemani, Fumo Felician nk nk nk.
Hao ndio walikuwa wachezaji wa mpira lkn hawa wa leo ni Nyambole tu.
Quality ya soka inapimwa kwa matanikio mzee.. vikombe ama kufika sehemu fulani katika michuano.Swala sio kucheza World Cup, swala ni quality ya mpira waliokuwa wakiucheza kipindi hicho na unaochezwa sasa hivi, ndicho nilichokuwa najaribu kuongelea.
Pumbavu hao kina kibadeni mbona hawajawahi kwenda kombe la duania?Tanzania kwa siku hizi hatuna kabisa wachezaji wenye vipaji vya asili vya kusakata kabumbu tumebaki na watu wa kufanya "Show" kwenye vyombo vya habari na kupiga pesa. That's all.
Hatuna wachezaji kama akina Abdallah Kibaden, Sunday Manara, Saad Ally, Gibson Sembuli, Haidary Abeid, Mohammed Kajole, Omar Kapera, Martin Kikwa, Nico Njohole, Mwinda Ramadhani, Leodgar Tenga, Jellah Mtagwa, Omar Mahadhi, Aluu Ally, Peter Tino, Abdallah Burhani, Rishard Adolph, Zamoyoni Mogella, Hamisi Gaga, Mohammed Salim, Salim Omar, Elisha John, Hillal Hemed, Malota Soma, Mohammed Hussein, Edibily Lunyamila, Kitwana Selemani, Fumo Felician nk nk nk.
Hao ndio walikuwa wachezaji wa mpira lkn hawa wa leo ni Nyambole tu.
Mona unawapamba kama walikuoa?Hawakushiriki world cup yoyote, nani amesema walishiriki.
Hao uluowataja walifanya nini cha maana hata tujivunie?Tanzania kwa siku hizi hatuna kabisa wachezaji wenye vipaji vya asili vya kusakata kabumbu tumebaki na watu wa kufanya "Show" kwenye vyombo vya habari na kupiga pesa. That's all.
Hatuna wachezaji kama akina Abdallah Kibaden, Sunday Manara, Saad Ally, Gibson Sembuli, Haidary Abeid, Mohammed Kajole, Omar Kapera, Martin Kikwa, Nico Njohole, Mwinda Ramadhani, Leodgar Tenga, Jellah Mtagwa, Omar Mahadhi, Aluu Ally, Peter Tino, Abdallah Burhani, Rishard Adolph, Zamoyoni Mogella, Hamisi Gaga, Mohammed Salim, Salim Omar, Elisha John, Hillal Hemed, Malota Soma, Mohammed Hussein, Edibily Lunyamila, Kitwana Selemani, Fumo Felician nk nk nk.
Hao ndio walikuwa wachezaji wa mpira lkn hawa wa leo ni Nyambole tu.
Walicheza mpira mzuri na wa kuvutia katika mazingira magumu ya wakati ule hata kama hawakutwaa taji lolote la Afrika na vilabu vikubwa hasa Simba na Yanga viliheshimika sana pamoja na kwamba vilikuwa na wachezaji wazawa tu.Hao uluowataja walifanya nini cha maana hata tujivunie?
Acha bangi.Mona unawapamba kama walikuoa?
Kwenda kombe la dunia isiwe disqualification criterion ya kuonyesha kwamba hawakuwa wazuri kwani inaonekana hamjui mambo yalivyokuwa kipindi hicho.Pumbavu hao kina kibadeni mbona hawajawahi kwenda kombe la duania?
Unaulevi na vitu vya zamani mbwa weweKwenda kombe la dunia isiwe disqualification criterion ya kuonyesha kwamba hawakuwa wazuri kwani inaonekana hamjui mambo yalivyokuwa kipindi hicho.
Afrika iliruhusiwa kushiriki world cup kwa mara ya kwanza mwaka 1970 ilipowakilishwa na Morocco huko nchini Mexico. Ilikuwa ni mwaka 1982 kule Spain ambapo Afrika iliruhusiwa kuwakilishwa na mataifa mawili ambapo walifuzu Algeria na Cameroon.
Ni mwaka 1994 ndipo Afrika ilipopewa nafasi tatu kwenye mashindano yaliyofanyika nchini Marekani.
Sasa kwa mlolongo huo mtu anaweza kuona ushindani wa kufuzu kushiriki kwenye mashindano hayo ulivyokuwa mgumu kiasi kwamba taifa kama Ghana imekuja kushiriki kwenye world cup kwa mara ya kwanza kabisa mwaka 2006 pamoja na umahiri wao katika soka la Afrika.
Mtu kama haelewi mambo kama haya anaweza akabaki tu kupiga kelele humu kumbe it's just a matter of ignorance of not knowing the African teams vis a vis world cup history.
Wanajitahidi kivipi, wao wamefanya kitu gani sasa.Acha kujifaliji,Hakuna mwaka tuliowai kujua kucheza mpira,kidogo kizazi hiki ndo wanajitahifi
Acha uongo, sema wana magoli mangapi. Huyo Machinga ndio mchezaji mwenye magoli mengi kwa msimu mmoja wa ligi, magoli 27 na hiyo rekodi haijavunjwa hadi leo na hilo liko documented kabisa.Siyo kweli hayo Magoli alijipa tu Mwenyewe na kwa Uzuzu ( Upuuzi ) wetu tukamuamini. Inasemekana kati ya Abdallah King Kibaden au Madaraka Selemani Mzee wa Kiminyio wana Magoli mengi zaidi ya huyu Chinga Mjanja Mjanja Mohammed Hussein.
Na auwezi kushinda ukiwa na michezaji akili kisoda na mizee aina ya kina john boko, kibu denis na lile shuka linalokaa golini Aisha Man ur a🤣🤣🤣🤣Unategemea kweli Ushinde ukiwa ni Michezaji Mizuzu ( Mijuha ) kama Dickson Job, Bakari Mwanyeto na Feisal Salum Fei Toto?