Wakongwe Forum

Habari ya jumapili wadau wangu wa nguvu
 
Mnajua kwa sasa ligi yetu, imekua zaidi?
 
Unakumbuka tukio gani lililokupa msisimko hapa jukwaani?
Nilipata msisimuko in negative way, kuna memba nilikuwa namkubali sana harakati zake, siku naingia JF nakutana na threads ametangulia mbele za haki. Niliumia sana kama namfahamu vile continue to rest in peace dear WARUMI , wewe jee tukio gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…