Sawa mkuuNataka tupige story kidogo
Intelligent businessman ulishapita huku kwa wakongwe kuweka saini??Hata jana tu.
Karibu mkuu
Ndio mshika dau?Intelligent businessman ulishapita huku kwa wakongwe kuweka saini??
Nilipata msisimuko in negative way, kuna memba nilikuwa namkubali sana harakati zake, siku naingia JF nakutana na threads ametangulia mbele za haki. Niliumia sana kama namfahamu vile continue to rest in peace dear WARUMI , wewe jee tukio gani??Unakumbuka tukio gani lililokupa msisimko hapa jukwaani?