Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasomali na yale ma-fiat je?Ni kumbu kumbu tu maana siku ile nilimuonea wivu sana dogo, Dogo alikua anasukuma gari kubwa kuliko umri wake hahahaaaaa.
Ana heri uliyepitia tumboni mwakeUbarikiwe kuliko wanaume wote
Ila we mzee kiboko...umechafua Boko yote...sasa umehamisha kidudu chako Mapinga.Hahahaha mi nimeamia Mapinga. Kuna chimbo linaitwa serengeti. Kuna msukuma kaniwekea limbwata pale.
aiseeShika adabu we mzee.
Kunguni kibao....mie kwangu Itika(thubutu)
Babu ule mjengo pembeni ya Itika mmiliki wake nani?
Nataka nijitose....kuna siku nimekugumia umekaa na yule baamedi aliyekuwa demu wa mamvi...nawe jiandae tunakuzika siku si nyingi
Umeniacha njia panda ya Vikawe ujue.Hivi lowrey kaishapata wa kukava nafasi, bora nijitolee niende hapa Kwetu pamekua pagumu kama chapati ya 150
Ahsante kwa taarifa. Ngoja nijipange nianzen kutumia viburudisho vyake. Jamaa choyo na bepari sana. Halijui kula na nduguze.Mtambuzi yupo na juzi alikuja tukaja kula urojo.
Uende kumuangalia....nasikia kaangukiwa na turubai kule Azura wakati anaandaa tent...kavunjika kiuno.
Hakuna ndoa tena
Hahahahahahah basi ujue bado dogo kashikilia usukuni, hongera zake, mwambie akumbuke kunilipa bhana sio akufaidi tu bila kulipa fadhila kwa sisi tulioruhusu akufaidiWasomali na yale ma-fiat je?
Kujipanga binamu.
Hahahahah......doli doli.
Mdogo wa umri tu...hatareee
Hawawezi kukata kitu kinachowapa burudani. Ukikitumia vizuri wamakitunza na kukilea.Ila we mzee kiboko...umechafua Boko yote...sasa umehamisha kidudu chako Mapinga.
Na huko watakikata tu, usicheze na wakojani
Magufuli poa sana. Kasababisha gharama za burudani kupungua. Pale Sia siku hizi chumba buku 15 tu. Akaze kamba mpk ifikie buku 10 tuheshimiane mjiniUmeniacha njia panda ya Vikawe ujue.
Mr Rocky una deni na mimi ujue....nikisema hapa aibu yetu.
Ngoja kwanza nigonge wanne watano ndo nikonkludi. Hawa wawili siwezi kuwa na uhakikana wakojani watamu?
Ahsante kwa taarifa. Ngoja nijipange nianzen kutumia viburudisho vyake. Jamaa choyo na bepari sana. Halijui kula na nduguze.
Nasema hivi hicho kiuno na kivunjike tu maramana hamna namna tena
Ukunionea Paloma mwambie bado nampenda eti. Hata kama kashaolewa
Hawawezi kukata kitu kinachowapa burudani. Ukikitumia vizuri wamakitunza na kukilea.