Wakongwe Forum

Wakongwe Forum

Hahahahahahah basi ujue bado dogo kashikilia usukuni, hongera zake, mwambie akumbuke kunilipa bhana sio akufaidi tu bila kulipa fadhila kwa sisi tulioruhusu akufaidi
Binamu...ila wewe mwenyewe ulikosa vizuri kwa uzembe wako.
Dogo alipoondoka, pale Jolly kwenye msosi nilielekea kibla kabisa, mpaka Chachu Ombara alipookoa jahazi.
 
Magufuli poa sana. Kasababisha gharama za burudani kupungua. Pale Sia siku hizi chumba buku 15 tu. Akaze kamba mpk ifikie buku 10 tuheshimiane mjini
Tangu nihame huko kwenu...basi maeneo yetu yale ya kupeana rutuba nishayasahau.
Hii Sia ilikuwa wapi mzinzi mwenzangu?
 
Khaa!!!
Kwani mnajuana?
Hahahhaha......ushanivua nguo binamu....ushanivua.
Hahahhah......ngoja nimalize kucheka narudi.
Mdogo wa umri tu yule binamu....ila hatareee.

Aiseeee.....we mpekuzi hatare
Halafu kuna mtu mmoja namsaka,hope utanisaidia kumpata
 
Back
Top Bottom