Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Nahisi kama sijamisiwa hapa....Hahahha nipooo hapaa...miss you sana
Anyway najua pa kukupata...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi kama sijamisiwa hapa....Hahahha nipooo hapaa...miss you sana
Wallah umesamehewa dhambi zako zote.
Hahahah..umeona eeeeeHahahahaahhaa tende na maziwa, hahahahaaa mchakamchaka hadi mwisho wa kituo
Ha ha ha ha....Kilio cha mahaba. ...
PJ alionyesha u fundi wote wa kubembeleza. ..
Mahaba ya pwani yale....pwani ya KiarushaHa ha ha ha....Kilio cha mahaba. ...
PJ alionyesha u fundi wote wa kubembeleza. ..
Nicky....namjua.Khee ndo kimya kimya hivo!
Unamkumbuka Nicky?
Mzungu wa Mange nasikia chakula kile.Lowrey mzungu wa mange
Yani namsaka sana huyo... Naomba no zake hebuNicky....namjua.
Yuko kwako nini?
Mpe salamu zangu....namsalimu sana
Mmh hapo hapana asee, magu ataniuaMzungu wa Mange nasikia chakula kile.
Kama utapaweza pale mie nikupigie pande....Magufuli anatufanya tuwe mashujaa wa kuingia popote aiseee
Wifi angu jamaniAsante sana Asprin wangu...sitotenda tena
Wifi kivipi? Au ndo ushaanza uchoyo?Wifi angu jamani