Wakongwe Forum

Wakongwe Forum

Siku hizi kuna machine za kufuta tatoo....nini muhuri binamu.
Ila nyie viumbe wengine wa kiume bhana, huwa mnakulaga nini?....utakuta nakaa na protini yako siku 3.
Jamaniiiii.....
Hahahahaahhaa tende na maziwa, hahahahaaa mchakamchaka hadi mwisho wa kituo
 
Iwe hivi sasa...
Bila kujali muda na Umri wako Jf
Chit chat iamke!!
Wakongwe Hoyeee.
Nitakuja na list muda sio mrefu.
miss chagga upo?
Una kila sababu yakutunukiwa crown ya ukongwe! I miss those old time here,
Mr Rocky sitaki kuamini kuwa vidole vimezeeka and u can't write

To be continued...
Muanzisha uzi mwenye sio mkongwe
 
Back
Top Bottom