Mbona nishasema mkuu...?Karibu Mrembo by nature.....
Nini kilikufanya ubadili ID
Hupo??na mimi nakufuatilia kwa karibu ujue..Nawafuatilia kwa karibu. ..
Kizuri mtu hula na nduguye.....Naona mnapeana tuu kama vile ni furushi. ..
Caring is sharing naona mmeikomalia na mwenzio Nyani Ngabu
Kizuri mtu hula na nduguye.....
Ni mie loveee si unaona kwenye signature nimeweka piaKumbe ni weye
Ndo hivo nawe unipe, unipe tena.Sipingi kwa hilo. .kupeana pasi, shurti.
Kampa, Kampa tena. .....