Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Madame B huyu huyu wa siku zote aibe gari au kuna mwingine? jamaa alienda mbali...hakuna kitu kinauma kama kusingiziwa tena wizi... pole mama ndio maisha ya kuishi na watu... Penye wengi Pana mengi...Shoga angu acha tu.
Mie na fudenge tulisingiziwa wizi wa gari....acha tu.
Mpaka tukafunguliwa thread.
Dadeki
[emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] mange amekatwa kichwa sasa amekuwa mdogooo. Na mie nimekua siku hizi nasaka hela sio umbea ndugu yangu. #MajukumuuuuuKuna ugomvi fulani jukwaa la celebrities. Alikuwa anafuatiliaga, sijui kulikua na ishu gani exactly. Ila nilisikia akitaja jina la Mange, Wewe.
Utahitaji kufanyiwa interview.... nitajie mabinti watatu unaotaka kufanya nao majaribio. Ukifanikiwa wawili nakuahidi ajira ASAPNiajiri kwa kazi ya ukaguzi. Teh.
Nadhani nitaanza na Valentina miss chagga na Heaven Sent. MankaM atakuwa nyongeza.Utahitaji kufanyiwa interview.... nitajie mabinti watatu unaotaka kufanya nao majaribio. Ukifanikiwa wawili nakuahidi ajira ASAP
[emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] mange amekatwa kichwa sasa amekuwa mdogooo. Na mie nimekua siku hizi nasaka hela sio umbea ndugu yangu. #Majukumuuuuu
Nakusalimu Sana Mrembo.
Vipi hali yako ?
Nipo sana my dear Mihangaiko tuu imetukamata haswa
Mzima wewe
Iliniuma.Madame B huyu huyu wa siku zote aibe gari au kuna mwingine? jamaa alienda mbali...hakuna kitu kinauma kama kusingiziwa tena wizi... pole mama ndio maisha ya kuishi na watu... Penye wengi Pana mengi...
Hapo kwa Heaven Sent chondechonde.... usiingilie mali zangu.utakuja juta.
mie mzima sana usipotee hivyo nyumbani kusalimia mara moja moja
Mkuu BAK nipo bro wangu mambo tuu yamekuwa mengiMzima Mkuu Rocky? umepotea kama shilingi ya mkoloni Mkuu? nategemea wewe pamoja na familia yote mko poa kabisa Mkuu. Kama umebanwa Mkuu hata pm ya mstari mmoja inatosha kabisa Mkuu. Usiku mwema.
Mzima kaka. Kitambo sana.
Haha. Haya mkuu.Hapo kwa Heaven Sent chondechonde.... usiingilie mali zangu.utakuja juta.
Hao wengine ruksa. Nasubiria mrejesho ndani ya wiki moja kwa ajili ya maamuzi ya kukuunga kwenye chama
Cc chairman Kaizer kwa taarifa.
Mtafute Philipo pia, nawamiss wadau wa ATown!!sijamtia machoni kabisa, na mwenzie Mentor
I miss you sana sana. Nimekuwa mpotevu mpaka basiiii.Mkuu BAK nipo bro wangu mambo tuu yamekuwa mengi
Kwa kweli nakiri kupotea sana ila nitakuwa napita pita kukusalimu mkuu
Muda wowote ukiwa Tayari ingia skype mami.vibaya hivyo nimekumic sana tuafutane unipe habari za kule
Hahaha babu leo tukutane wapi?Hapo kwa Heaven Sent chondechonde.... usiingilie mali zangu.utakuja juta.
Hao wengine ruksa. Nasubiria mrejesho ndani ya wiki moja kwa ajili ya maamuzi ya kukuunga kwenye chama
Cc chairman Kaizer kwa taarifa.
Asante sana mupenzi nakuaminiaNdo ujue navokupenda. Mwaka huu ni wako mupenzi