Wakongwe Forum

Wakongwe Forum

Cha juu.
Yule sikuwahi kumuona anafuga nywele tangu nimuone duniani au ana 'uwaraza'?
Hahahahaha para nyingi uonazo ujue njemba zinaficha uaraza. Uaraza sio ishu kabisa... michuchu lazima ikupige chini labda uwe na hela kama za mzee wa visenti.

Toto la macheni linatumbua hela za mdingi wake ile kinoma... njoo utest zari
 
Hahahahaha para nyingi uonazo ujue njemba zinaficha uaraza. Uaraza sio ishu kabisa... michuchu lazima ikupige chini labda uwe na hela kama za mzee wa visenti.

Toto la macheni linatumbua hela za mdingi wake ile kinoma... njoo utest zari
Aisee.
Yule mtoto noma.
Hebu jifanye siku umesahau afu uniite.
 
Back
Top Bottom