Sitamwambia hayo. Ntamshauri tu asiwe ananyoa upara [emoji12] [emoji12] [emoji12]Unaenda kumwambia we unaju namuongelea nani hapa?
Nitakufata hukohuko Bagamoyo kwenu kukusuta na vigoma vya uruguay
HahahhahaHa ha ha my phone write emoj emoj emoj
Wakongwe> Malegendary > good people > big up
Si yule mwenye jimwili rirefu kama mkojo wa mlevi?Najaribu kuunganisha ila zinapishana... Hebu ninong'oneze kidogo bana
Cha juu.Upara wa kichwa cha juu au cha chini?
Hahahahaha para nyingi uonazo ujue njemba zinaficha uaraza. Uaraza sio ishu kabisa... michuchu lazima ikupige chini labda uwe na hela kama za mzee wa visenti.Cha juu.
Yule sikuwahi kumuona anafuga nywele tangu nimuone duniani au ana 'uwaraza'?
Babu denda umepata sema kingine.......Nishamjua... tukikutana kwenye tukio ntakunong'oneza. Ila niahidi denda kwanza...
Kingine ntakuambia pembeni. Hapa wanaa wengi na ulivo na aibu huchelewi kunipiga chiniBabu denda umepata sema kingine.......
hahhaaaa uwazara ndiyo nini?Cha juu.
Yule sikuwahi kumuona anafuga nywele tangu nimuone duniani au ana 'uwaraza'?
ndiyo maana nakupendaga.............kumbuka hainaga ushemeji.......Kingine ntakuambia pembeni. Hapa wanaa wengi na ulivo na aibu huchelewi kunipiga chini
Aisee.Hahahahaha para nyingi uonazo ujue njemba zinaficha uaraza. Uaraza sio ishu kabisa... michuchu lazima ikupige chini labda uwe na hela kama za mzee wa visenti.
Toto la macheni linatumbua hela za mdingi wake ile kinoma... njoo utest zari
Tunakulaga kisirisiri.....ndiyo maana nakupendaga.............kumbuka hainaga ushemeji.......
Uje umepiga ile mini yako... hakyamama atakuachia ile RavafooAisee.
Yule mtoto noma.
Hebu jifanye siku umesahau afu uniite.
Ile zamani wakisemaga ni kipara cha utajiri. Siku hizi upara unawaibukia mpaka madogo. Sijui ni hawa kuku hawa??hahhaaaa uwazara ndiyo nini?