Wakongwe Forum

Wakongwe Forum

Khaa!!!
Kwani mnajuana?
Hahahhaha......ushanivua nguo binamu....ushanivua.
Hahahhah......ngoja nimalize kucheka narudi.
Mdogo wa umri tu yule binamu....ila hatareee.

Aiseeee.....we mpekuzi hatare
Afu mwarubaini gesti haushi siku hizi afadhali ya Mianzini. Kunguni kibao. Uzuri kaweka vitanda vya zege... biashara ya chaga kuvunjika imekuwa historia
 
Khaa!!!
Kwani mnajuana?
Hahahhaha......ushanivua nguo binamu....ushanivua.
Hahahhah......ngoja nimalize kucheka narudi.
Mdogo wa umri tu yule binamu....ila hatareee.

Aiseeee.....we mpekuzi hatare
Ni kumbu kumbu tu maana siku ile nilimuonea wivu sana dogo, Dogo alikua anasukuma gari kubwa kuliko umri wake hahahaaaaa.
 
Afu mwarubaini gesti haushi siku hizi afadhali ya Mianzini. Kunguni kibao. Uzuri kaweka vitanda vya zege... biashara ya chaga kuvunjika imekuwa historia
ha ha ha ha hii burudani sasa.
 
Afu mwarubaini gesti haushi siku hizi afadhali ya Mianzini. Kunguni kibao. Uzuri kaweka vitanda vya zege... biashara ya chaga kuvunjika imekuwa historia
Shika adabu we mzee.
Kunguni kibao....mie kwangu Itika(thubutu)
Babu ule mjengo pembeni ya Itika mmiliki wake nani?
Nataka nijitose....kuna siku nimekugumia umekaa na yule baamedi aliyekuwa demu wa mamvi...nawe jiandae tunakuzika siku si nyingi
 
Shika adabu we mzee.
Kunguni kibao....mie kwangu Itika(thubutu)
Babu ule mjengo pembeni ya Itika mmiliki wake nani?
Nataka nijitose....kuna siku nimekugumia umekaa na yule baamedi aliyekuwa demu wa mamvi...nawe jiandae tunakuzika siku si nyingi
Hahahaha mi nimeamia Mapinga. Kuna chimbo linaitwa serengeti. Kuna msukuma kaniwekea limbwata pale.
 
Back
Top Bottom