Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,064
Kichama Zaidi, nimezaliwa chaman, nimekulia chamani, na nitaondokea humu humu!! sasa hiv nimepanda rankii...🙂🙂🙂🙂unamajukumu ya kichama nini? au ndiyo mabasi ya mwendo kasi yashakupatia ajira?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichama Zaidi, nimezaliwa chaman, nimekulia chamani, na nitaondokea humu humu!! sasa hiv nimepanda rankii...🙂🙂🙂🙂unamajukumu ya kichama nini? au ndiyo mabasi ya mwendo kasi yashakupatia ajira?
hapo chacha....Khaa!!!
Kwani mnajuana?
Hahahhaha......ushanivua nguo binamu....ushanivua.
Hahahhah......ngoja nimalize kucheka narudi.
Mdogo wa umri tu yule binamu....ila hatareee.
Aiseeee.....we mpekuzi hatare
Bora wewe amekuvuruga mie ameni %&$%*%! $ sina hamu yani hapa natamani kulazwaKama yametiki ukuje Pm tukutane pale Club Next Door we bidada.
Mie Magufuli keshanivuruga kichizi
Afu mwarubaini gesti haushi siku hizi afadhali ya Mianzini. Kunguni kibao. Uzuri kaweka vitanda vya zege... biashara ya chaga kuvunjika imekuwa historiaKhaa!!!
Kwani mnajuana?
Hahahhaha......ushanivua nguo binamu....ushanivua.
Hahahhah......ngoja nimalize kucheka narudi.
Mdogo wa umri tu yule binamu....ila hatareee.
Aiseeee.....we mpekuzi hatare
Maskini pole shoga angu.Bora wewe amekuvuruga mie ameni %&$%*%! $ sina hamu yani hapa natamani kulazwa
Ni kumbu kumbu tu maana siku ile nilimuonea wivu sana dogo, Dogo alikua anasukuma gari kubwa kuliko umri wake hahahaaaaa.Khaa!!!
Kwani mnajuana?
Hahahhaha......ushanivua nguo binamu....ushanivua.
Hahahhah......ngoja nimalize kucheka narudi.
Mdogo wa umri tu yule binamu....ila hatareee.
Aiseeee.....we mpekuzi hatare
Sio huyo aliyekufa bhana.... mzee mwenzangu yuko salama salimini.Alale pema.
namkumbuka sana Dark City mzee wa busara.
Shika adabu we mzee.Afu mwarubaini gesti haushi siku hizi afadhali ya Mianzini. Kunguni kibao. Uzuri kaweka vitanda vya zege... biashara ya chaga kuvunjika imekuwa historia
Hahahaha mi nimeamia Mapinga. Kuna chimbo linaitwa serengeti. Kuna msukuma kaniwekea limbwata pale.Shika adabu we mzee.
Kunguni kibao....mie kwangu Itika(thubutu)
Babu ule mjengo pembeni ya Itika mmiliki wake nani?
Nataka nijitose....kuna siku nimekugumia umekaa na yule baamedi aliyekuwa demu wa mamvi...nawe jiandae tunakuzika siku si nyingi
Hivi lowrey kaishapata wa kukava nafasi, bora nijitolee niende hapa Kwetu pamekua pagumu kama chapati ya 150Maskini pole shoga angu.
Mie hapa mguu nje, mguu ndani.
Nakufa huku natembea.
ha ha ha karibu mkuu.
wapi wale marafiki zako wazuri?
mlikuwa mnasimamisha jukwaa kwa muda ati
Shemeji......sijui mkuu wamekimbizwa na nani au wamekimbizwa na ukata aise maana naona umezidi kabisa