Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukumbushie makoloni yetu ya zamani. Si unajua mahawara hawaachani?
Evelyn Salt hilo ushemeji unaninyima nini au unataka kuniambia ukifika muda nizime tuu taaShemeji......
Tumeletwa duniani kwa ajili ya kuwapa wanawake burudanimzee una makoloni mpaka shetani anakuogopa.
mkuu sikumaanisha mzee Dark City ndiyo kaukata.Sio huyo aliyekufa bhana.... mzee mwenzangu yuko salama salimini.
Kuna soulmate Mbu na MwanajamiiOne.
Wake zangu cacico na BADILI TABIA sijui nani kaniibia. Nabata ushungu wallah
Komredi umeadimika kama sukari ya MagufuliEvelyn Salt hilo ushemeji unaninyima nini au unataka kuniambia ukifika muda nizime tuu taa
Hainaga ushemeji tunakulagaa...... 😛Evelyn Salt hilo ushemeji unaninyima nini au unataka kuniambia ukifika muda nizime tuu taa
Ubarikiwe kuliko wanaume woteTumeletwa duniani kwa ajili ya kuwapa wanawake burudani
nimewakumbuka wachache.sijui mkuu wamekimbizwa na nani au wamekimbizwa na ukata aise maana naona umezidi kabisa
Mtambuzi yupo na juzi alikuja tukaja kula urojo.Amededi asee. Hivi sasa funza wanagomba steki. RIP
BTW umetupa jongoo na mti wake? Huyo bwana uliyempata leo jioni mpe shkamoo zangu saba.
Hivi Mtambuzi yuko hai?