Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimsahau yeye halafu iweje?
Alinipa kumbatiao tamu pale Chumvini wakati twaelekea Pangani....mpaka leo ana leso yangu yenye machozi yangu
sijui mkuu wamekimbizwa na nani au wamekimbizwa na ukata aise maana naona umezidi kabisa
ha ha ha kama ferooz vile unamtongoza mara ya piliMakapuku ni kule kwa new fish in town mkuu, shida ya huku baada ya kulana wengi wamebadilisha ID kwa kukimbia vimeo sasa waeza jikuta unamtongoza mtu mara mbili, makapuku forum ipo himu humu ya wageni wameanzisha muda kdg.
Nilikuulizia huko juu maana kuna Igweeee na igwee frm anambra na igwe sr. Kumbe IGWE mwenyewe upo!mimi mbona haunanitaja mkuu........?
Afu mambo yako haya ya kuja na Id mpya, tutatongozana mara mbilimbili nakwambia.Kuna mtu alitenguka mguu...Ni wewe..??