Braza siku hizi wanawake wamewezeshwa wanaweza.. Hahahaaa
Hoping all is well kaka Mkubwa.
All is well kaka
Mungu ni mwema sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Braza siku hizi wanawake wamewezeshwa wanaweza.. Hahahaaa
Hoping all is well kaka Mkubwa.
Nipo sana my dear Mihangaiko tuu imetukamata haswasiamini kukuona hapa .....ulipotelea wapi braza kaka
Tized kama hubanwi mbona umepotea hivyo aiseHahahaaa Braza Braza
Kuna Id yangu ya 2008
Sijui nisaidiwe vipi
Maana ishakuwa taabu kuifungua
KHAAAAA A ati nlikua najiitaje?lara 1 NA Evelyn Salt NIMEWAPIGIA SANA MISELE KIPINDI HICHO ILA @EVELNY SALT ALIKUWA ANAHARIBU MIPANGO YANGU KWA lara 1 KIPINDI HICHO NAJIITA jipu
Mie nina hamu na nyie?Madame B HAJAWAI NIJIBU PM YANGU HATA SIKU MOJA ILA ANALIKE KOMENTI ZANGU TU
Kafanya nini huyo mdau?Kuna mdau humu.. ngoja ntarudi
Ilikuwa chachu kuingia JFKafanya nini huyo mdau?
Ha haaa si uli enjoy lakini?Mie nina hamu na nyie?
Nilimfataga member wa Arusha wing usiku kwa usiku kisa alikuja Pm na akaniweka kinyumba.
PakaJimmy na Arushaone wabaya sana hawa watu....walikuwa wanakuja kunijulia hali kila siku kwa ndugu yao.
Pm nyingine zinakuwa mnawekaga limbwata mwaenzangu.
Tuonane jukwaani aisee...Pm kuna uchawi