Naogopa maradhi Sana mimi 35 of age nitafute mwanamke anaenizidi atakuwa umri gani🤔Tafuta mishangazi kukwepa aibu kama hizi... Haisumbui hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naogopa maradhi Sana mimi 35 of age nitafute mwanamke anaenizidi atakuwa umri gani🤔Tafuta mishangazi kukwepa aibu kama hizi... Haisumbui hiyo
HongerenMtu wangu wa nguvu baba kijacho😞
Kwenye huu Uzi😹😹😹🙌🏾Upo na mimi wap
Anastasia21 unatukanwa hukumlete..
aisee!..😂Anastasia21 unatukanwa huku
Hiyo Haina makandokando mkuu, ukimnunulia mwanae andazi unageuka baba mtoto hapo hapoNaogopa maradhi Sana mimi 35 of age nitafute mwanamke anaenizidi atakuwa umri gani🤔
AsanteHongeren
Hatari sana mkuu. Kulikuwa na ile era kiatu kirefu unavaa sox hata pair 5. Yani buti linatangulua kabla ya wewe kufika kukuhakikishia usalama. Jeans bwanga na tshirt kubwa.Basi kipindi hicho ukivaa mlegezo 🤣alafu staili ya kudunda babu lazima uwe nayo mimi nilikua najiita "bastola mbili" 🤣kundi letu lilkua linaitwa "guantanamo crew geita"GCG🤣
Kisha chorongwa na mtarimbo zaidi ya bukuYaaan 2007 anatambaaa but now n MSHANGAZI life goz too quickly...
Naona nimepata ujumbe 😹😹Anastasia21 unatukanwa huku
😹😹😹 Hana mbaya posta 😹🙌🏾aisee!..😂
Kwamba Ukitaka single maza akupende jifanye unabubujikwa machozi kama Lucas Mwashambwa kwa mwanae kisa kulelewa bila baba🤣Hiyo Haina makandokando mkuu, ukimnunulia mwanae andazi unageuka baba mtoto hapo hapo
Basi twende Bao 3 G houseAta unipe range iyo guest hapana kwakweli💔
Mule mule😄Kwamba Ukitaka single maza akupende jifanye unabubujikwa machozi kama Lucas Mwashambwa kwa mwanae kisa kulelewa bila baba🤣
adundwe!😹😹😹 Hana mbaya posta 😹🙌🏾
Basi kipind hicho najiona afande sele, hapo naelimisha watu waache umalaya I was 15-18 hapo, nashangaa hizi siku za usoni nimekua mzee wa totozi 🤣hadi nishasahau kama mimi nilikuwaga nawahasa vijana wabaki njia kuuHatari sana mkuu. Kulikuwa na ile era kiatu kirefu unavaa sox hata pair 5. Yani buti linatangulua kabla ya wewe kufika kukuhakikishia usalama. Jeans bwanga na tshirt kubwa.
Ulikuwa unachana nini mkuu na wana guantanamo?
Kwenye wana guantanamo mmoja sahivi ni mhasibu, mwingine ni engineer wa umeme, mimi nilisoma biz administration Ila sahv ni boda boda 🤣Hatari sana mkuu. Kulikuwa na ile era kiatu kirefu unavaa sox hata pair 5. Yani buti linatangulua kabla ya wewe kufika kukuhakikishia usalama. Jeans bwanga na tshirt kubwa.
Ulikuwa unachana nini mkuu na wana guantanamo?
Yaan na Bado wanatuchora tu 😹😹😹Watu wapo humu kitambo kumbe
Noma sana mkuu. Maisha ndivyo yalivyo. Mimi mwenyewe nililuqa producer enzi hizo na fl studio 3 yangu.Kwenye wana guantanamo mmoja sahivi ni mhasibu, mwingine ni engineer wa umeme, mimi nilisoma biz administration Ila sahv ni boda boda 🤣