Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una mume?Salamu wakubwa jaman nilikua na survey Kuna member since 2007 ndo natambaa sijui ila ivi mnajuaga kama Kuna watu wamepotea, au hatupo nao Tena ila muendelee kutupa madini nawaheshimu viongozi muendelee kuepo 💯.
Unataka niwe mke wa dalaliUna mume?
Hongera kwa kutotumia muandiko wa kiafumbili soon ukikuwa wewe ni lishangazi linalojielewa.Salamu wakubwa jaman nilikua na survey Kuna member since 2007 ndo natambaa sijui ila ivi mnajuaga kama Kuna watu wamepotea, au hatupo nao Tena ila muendelee kutupa madini nawaheshimu viongozi muendelee kuepo 💯.
Nimeona unafaa Kwa matumizi ya akiliUnataka niwe mke wa dalali
Alafu kipindi hicho mimi ndo dancer wa Guantanamo, oya sio poa nimevaa riboni mkononi, suruali ya kijeshi, na vestie nyeusi ikipigwa Ile nyimbo ya H. Baba, mpenzi wangu bubuHatari sana mkuu. Kulikuwa na ile era kiatu kirefu unavaa sox hata pair 5. Yani buti linatangulua kabla ya wewe kufika kukuhakikishia usalama. Jeans bwanga na tshirt kubwa.
Ulikuwa unachana nini mkuu na wana guantanamo?
Kama Kuna mchongo nishtueNimeona unafaa Kwa matumizi ya akili
Marahaba.Tayari nshasalimiaa 😹
Kumbe uwa mnapenda kusalimiwa sikujua 😹😹😹🙌🏾Marahaba.
Lakini🤣nikijifikiria ety nilikuwa na ndoto za kuwa msanii mkubwaNoma sana mkuu. Maisha ndivyo yalivyo. Mimi mwenyewe nililuqa producer enzi hizo na fl studio 3 yangu.
Umenichekesha saaana. Tuliwahi rekodi ngoma nlipoisikiliza nikaona mbona sauti mbaya nikawa staki hata watu waisikie. Nikawa nawaza mbona zinazotoka mj, pfunk hazisound kama za kwetu.Lakini🤣nikijifikiria ety nilikuwa na ndoto za kuwa msanii mkubwa
Sasa nikiwa naenda studio tunalipa 60k Sasa nikiingia gheto nikijaribu kusikiliza zile ngoma, nasikia Yan saut mbaya kinoma
Mie sio napenda, mie mkubwa ujue.Kumbe uwa mnapenda kusalimiwa sikujua 😹😹😹🙌🏾
Nshaogopa tyr 😹Mie sio napenda, mie mkubwa ujue.
Imagine mwanangu wa kike wa kwanza nimemzaa nikiwa primary mwaka 98.
Wa pili wa kiume nimemzaa 2007 na huyu wa tatu wa kike nimemzaa mwaka jana 2024, hapohapo nina mjukuu.
We huogopi Anastasia21 ?
Wewe chizi ..😄Siyo kujitunza kutokuliwa,I mean usmart tu,kupiga zoezi na kunywa maji mengi...pia kutokuwa na stress za kijinga...mwili hauzeeki....kupigwa fimbo apigwe tu maana uji nao ule unasoftisha mwili😘
Afu akili kila kijana anayo, kwamba ukienda dsm, unatoboa siku ya kwanza natua ubungo mara paap, na sweat kishenzi, mpaka zile begi zangu zinatoa jasho kufika pale gheto kwa mwanaUmenichekesha saaana. Tuliwahi rekodi ngoma nlipoisikiliza nikaona mbona sauti mbaya nikawa staki hata watu waisikie. Nikawa nawaza mbona zinazotoka mj, pfunk hazisound kama za kwetu.
Daah maisha yako kasi sana.
Akili ikawa inanituma nikifka dar tu naenda bongo records na nishatoka
Haya, nipe heshima yangu chaap!Nshaogopa tyr 😹
Si ushajibu tayari jaman 😹🙌🏾Marahaba.
SawaSi ushajibu tayari jaman 😹🙌🏾
Enheee kumekuchaa sasa.... hebu tulia kwanza nipo njiani narudi
Sawa hunnieEnheee kumekuchaa sasa.... hebu tulia kwanza nipo njiani narudi