mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,555
- 6,972
Habari za mwisho wa Juma wakubwa ma wadogo.
Waswahili wanasema kuuliza si ujinga, jana kulifanyika kongamano la kumuenzi Mzee Moses Nnauye, Mwanasiasa Mkongwe na pia Brigedia Mstaafu katika safu ya mbele ya wasikilizaji ambao bila shaka ni viongozi wastaafu wako baadhi nimeshindwa kuwatambua nadhani pia na wengine wa miaka ya 90 wanaweza kuwa katika kundi langu lakini huenda walikuwa watu muhimu sana katika Taifa hili hivyo muhimu kuwatambua.
Msaada wa kufahamu( ukiwatoa Benard Membe na Hamad Rashid) kila mmoja na utumishi wake na historia yao kwa ufupi , Ahsanteni
Waswahili wanasema kuuliza si ujinga, jana kulifanyika kongamano la kumuenzi Mzee Moses Nnauye, Mwanasiasa Mkongwe na pia Brigedia Mstaafu katika safu ya mbele ya wasikilizaji ambao bila shaka ni viongozi wastaafu wako baadhi nimeshindwa kuwatambua nadhani pia na wengine wa miaka ya 90 wanaweza kuwa katika kundi langu lakini huenda walikuwa watu muhimu sana katika Taifa hili hivyo muhimu kuwatambua.
Msaada wa kufahamu( ukiwatoa Benard Membe na Hamad Rashid) kila mmoja na utumishi wake na historia yao kwa ufupi , Ahsanteni