Wakongwe wanarudi kwa kasi kunapo game

Wakongwe wanarudi kwa kasi kunapo game

Sie tunakomaa humu humu,Commercial Niggaz wana pumu,mistari inawahukumu....
Nawatibu ngoma nawaachia ukoma daa nakumbuka machalii wa Ara kipindi n2n wameletea noma na kalapina wakataka kuamshiana na vijana wa dar tukiwa skuli.
 
This waz A real MC before....alikuwa ni yeye na Marehemu Ngwair R.I.P

Daima huimba kwa kujiamini..
 
The chil is real kuliko nyeusi kwenye colour tuongee nao kuhusu nini wakat nao hawana sera, WAWIWO

jaman hatutakuja kupata kundi kali la hip hop kama NAKO TO NAKO
 
lord eyes katoka mwenyewe Mtonyo wangu wapi,G nako weusi,Bu nako namuona mitaa ya milestone anakula maisha.

Ndio zetu kuwakilisha haaa hatujaja kuwashika kila unaposikia sauti hizi majamaa walikua utamu sana kwa hip hop.
Acha kabsa mkuu hapo
Bado hujamuweka bonta
Dhaaa!!!

Kama lile ngoma la "hawatuwez"
Schokag kuiskiliza
 
Saida kaloli kaja vizuri zaidi, na tarehe 6 mwezi huu kuna bonge shoo, MIAKA 15 YA SAIDA KALOLI PALE ESCAPE
 
Back
Top Bottom