cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Hapo chini ya hio screenshot kwenye redline mwaka 2006 huo, walikuwa online ni Nyani Ngabu ,JokaKuu na we ngine.
View attachment 3204314
Karibu sana mdogo wangu,wazee tupo hapa kwa ushauri na miongozo mbali mbaliaπ Mimi kijana mdogo sana miaka 35 acha nijichukulie madini kwenu babu zangu
Ni jambo jema sana hadi sasa una ID yako ya kwanza.Kipindi hiki Nilikuwa guest tu najiuliza hii ya Kenyans au Tanzanians
Then nikapekua nikajua ya TZ
Nikapotea na kurudi tena na kujiunga nilipo ona inaendelea poaaaa nikajua hapa patamu pa kujiunga
Ni jambo jema sana hadi sasa una ID yako ya kwanza.
Wengi humu tumepoteza ID za zamani...
Sema mzee uzi wetu huu ulikua fantastic sana hakuna matusi, no bullying, maturity at high level, utani pia na kukumbushana hali za zamani I can I agree kweli life begins At 40Karibu sana mdogo wangu,wazee tupo hapa kwa ushauri na miongozo mbali mbalia
Tulishasahau password..Yako umepotezaje
Ni ipi hapo au haionekani? π
ID yangu ya kwanza ni ya moto kweli ukikutwa nayo unaweza kunyongwaa π€£π€£π€£.. kama nyara ya serikaliNi jambo jema sana hadi sasa una ID yako ya kwanza.
Wengi humu tumepoteza ID za zamani...
Sahihi kabisa mkuu, mtu wa 40s kama ana afya nzuri anakuwa na stamina sana, hakojoi kama jogoo. Yaani 40+ hatakupa magoli manne ila atakupa stamina na experience itakayomridhisha mwenzi wake.Hapana, wanaume wa umri huo wanaweza kuhimili muda mrefu tendo kwa sababu wana experience, sometimes sex sio issue ya umri na experience pia.. kikubwa ni afya njema.
Vijana wa umri mdogo upwiru umewajaa, akigusa kidogo tu wazungu... huo ni ukweli...
ERoni atanisaidia hilo..
Bado unayo?ID yangu ya kwanza ni ya moto kweli ukikutwa nayo unaweza kunyongwaa π€£π€£π€£.. kama nyara ya serikali
Kuna zile story za chumbani mkuu, ukiwa nae private...ngumu sana kuelewana labda uamue kujitoa ufahamu.Story zipi man mbona hapa tunabonga tu fresh na tunaelewana na mimi Niko under 36 mzazi
Dah! nyie wazee hapana... hahahahhSahihi kabisa mkuu, mtu wa 40s kama ana afya nzuri anakuwa na stamina sana, hakojoi kama jogoo. Yaani 40+ hatakupa magoli manne ila atakupa stamina na experience itakayomridhisha mwenzi wake.
Kwa nini mkuuπ€£π€£Dah! nyie wazee hapana... hahahahh
Ipo naiogopa kama ukoma π π πBado unayo?
Vijana wa sasa wakiwasikiliza wanakata tamaa kabisa...Kwa nini mkuuπ€£π€£
Hebu ingia u comment hapa..Ipo naiogopa kama ukoma π π π
π π π Nasubiri ufike mda nitoe taarifa mwenye hiyo ID kafa.. ili ipate hadhi ya R.I.PHebu ingia u comment hapa..
AIsee ulifanya nini kwenye hio ID... π€£Basi itakuwa na matukio si poa...π π π Nasubiri ufike mda nitoe taarifa mwenye hiyo ID kafa.. ili ipate hadhi ya R.I.P
Jamani mie sio mzeeHata wewe loh.
Muone kwanza huna tofauti na mzabzab
Kumbe wewe mdogo wangu?Jamani mie sio mzee
Wanasema usiamshe vilivyo lala . acha ipumzike kwa amani, ID ilijipatia mshangazi wa maana sana humu jf, ule ulikuwa mshangazi haswaaa, ulikuwa mrefu meupee umejazia una hela, una nywele ndefu kinoma ...mzuri ulikuwa unatoka kaskazini kati. π₯Έπ₯Έπ₯Έ. ila acha ife hiyo ID iwe R.I.PAIsee ulifanya nini kwenye hio ID... π€£Basi itakuwa na matukio si poa...