gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
ID za kimkakati,kuna mamodereta wa kiwaki wengiWatu mna ID za sasa lakini kumbe kitambo sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ID za kimkakati,kuna mamodereta wa kiwaki wengiWatu mna ID za sasa lakini kumbe kitambo sana...
Ilikuwa kama playstore flani unapata games, movies, picha, n.k...Mtu anapambana kupata waptrick 😅😅😅
Kulikuwa na Mzee wa supu 🤣🤣🤣Umeisikia tu. Hukuwa na umri wa kuitambua rahatupu. Kipindi hiko ulikuwa huchagui pa kunya dogo. 😀😀😀
Tusiisahau Nyenzi.comView attachment 3204285
Msn Messenger 2007, kipindi hiko watoto wadogo mnafundishwa "that is an orange" sisi tulikuwa humu msn tukisoma habari za mambele na kufuatilia ulimwengu unaendaje..
View attachment 3204286
Hii marafiki, juu hapo kuna kitangazo cha Buzz, miaka ya 2005/2006 kama sijasahau... mwanzoni iliitwa darchat kama sijasahau... watoto wengi humu kipindi hiki mnajisaidia kwenye nguo... kwa kipindi hiko hii ndio ilikuwa kama tinder sasa, nilipata manzi anaitwa Mwaju miaka hio sintosahau..
View attachment 3204288
Bongo5 miaka ya 2007/2008..
View attachment 3204289
Darhotwire miaka ya 2007/8/9... hapa wakongwe wengi mnakumbuka vingi sana kabla ya jamiiforums...
View attachment 3204290
Tanzatl, hii nadhani ilikuwa miaka ya 2004 kama sijasahu niko primary school ,.. kipindi hiko unamaliza darasa la saba una ndevu ushanyoa hadi upele kwenye kidevu..
View attachment 3204291
Jamboforums kabla haijavamiwa na watoto wa 2000s, hapa ni 2006/2007 nadhani kabla haijawa jamiiforums...
View attachment 3204292
Jamboforums 2006.... now jamiiforums, kipindi hiko wanafanya na donation ku run site...
View attachment 3204293
Business times au bcstimes.com--- hapa miaka ya 2004/2005 hata jamiiforums haipo, humu ndipo tulikuwa tunaingia kusoma habari, udaku, magazeti n.k
View attachment 3204297
Hii ni hi5 miaka ya 2002 kama sijasahau au 2003...
View attachment 3204299
Hii ni jambonet miaka ya 2004 i think so... hapa ilikuwa page under maintenence... nakumbuka...
View attachment 3204302
Hii ilikuwa ni YoungAfricans, miaka ya early 2000s.. kipindi hicho wengine ndio mnazaliwa halafu leo mnatutukana humu jamiiforums...
Tulia mdogo wangu alfu mbili... imenisaidia kuwakumbusha kwenye game tupo kitambo kipindi hiko mnajisaidia na kuchambwa sisi tupo online kwenye chatrooms tunatongoza watoto wazuri... hahahahhHatukatai mkuu wewe ni mkongwe na maarufu wa kutunza screenshot za oldest websites,sasa nikuulize hiyo kazi yoote imekusaidia nn mpaka sasa hivi?Maana unavyojisifu utadhani imesaidia kukupa uwaziri wa teknolojia.
Nilifanyiwa sherehe kufaulu la saba!😆Zamani kufaulu ilikuwa ni kipengele 🤣😅 unaweza Kuta mtaa mzima kafauli mtu mmoja
Humo nakumbuka tulikuwa tuna download softwares bali mbali za PC kama windows, hasa kwenye kitufe cha downloads...Tusiisahau Nyenzi.com
Miye nilishakaliaga kiti kutambooo 2004Bado dogo tu kumbe na wewe kama 2004 ulikuwa Primary. 2004 nilikuwa nikeshamaliza degree yangu pale SUA na nilikuwa mwaka wa 3 kazini kule Kanda ya Ziwa mkuu kabla sijaanza kuuza madafu.
Wayback Machine.Humo nakumbuka tulikuwa tuna download softwares bali mbali za PC kama windows, hasa kwenye kitufe cha downloads...
View attachment 3204387
Ilikuwa sio kazi rahisi kufaulu enzi hizo 😅Nilifanyiwa sherehe kufaulu la saba!😆
Nimecheka kifala Bob kwamba mabraza wanaznguahongereni sana wazee wetu kwa xperience mlionayo bt sisi hatuwatukani humi ila story na baadhi threads zenu ndo chanzo mana kuna muda utaona mkongwe kaandka uzi unase " nimemdinya mtoto wa 2000 baada ya kumdanganya mke wangu naenda job" hapa lazima ule tusi mzee..
Hahahahaa Acha kabisa aiseeee, kumbe tumezeeka sasa! Umri Wangu wa JF ni Sawa na umri WA kijana baleheHapo chini ya hio screenshot kwenye redline mwaka 2006 huo, walikuwa online ni Nyani Ngabu ,JokaKuu na we ngine.
View attachment 3204314
Mabraza wanawachukulia mademu zao..Nimecheka kifala Bob kwamba mabraza wanazngua
Tulifaulu wawili tu kijiji kizima baada ya shule kufelisha miaka mitano! Tukaalikwa church, shule, serikali ya kijiji na ikaandaliwa sherehe, mwaka 1988 hiyoIlikuwa sio kazi rahisi kufaulu enzi hizo 😅
Kabisa chumvi mmekula aisee...Hahahahaa Acha kabisa aiseeee, kumbe tumezeeka sasa! Umri Wangu wa JF ni Sawa na umri WA kijana balehe
😅😅😅 Zamani kusoma shule za serikali ni sifa kubwa sana, ila sasa hivi mambo yamebadilika, shule za serikali zinakimbiwaTulifaulu wawili tu kijiji kizima baada ya shule kufelisha miaka mitano! Tukaalikwa church, shule, serikali ya kijiji na ikaandaliwa sherehe, mwaka 1988 hiyo