Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatzo domo lake linanuka tumbakuMie nakula bibi kizee nampenda kikongwee wangu
😅😅😅 Namna hiyooTatzo domo lake linanuka tumbaku
Sema mkali zamani mademu hawa kuwa na makalio kama Mabinti wa sasaMiaka hiyo Darhotwire na kwa kina Salama Mitikiso, unaitega PC ili usionekane ukiangalia misambwanda kwa salama, dah! Unaingia yahoo, Hotmail kuangalia emails, wakati huo nina bro wangu yupo usa najua tu lazima atanitumia email.
Si kikongwe akauliza "mjukuu wangu kwani umenipendea nini"😅😅😅 Namna hiyoo
Kulikuwa na mboga za asili mkuu, ilikuwa adimu sana kuona papa original ya kitanzania ila Mitikiso alitubeba sana🤣🤣🤣Sema mkali zamani mademu hawa kuwa na makalio kama Mabinti wa sasa
hotmail, kufungua email unalipia internet cafe... aiseee...Wakati huo tunatumia at hotmail.com
Aah mkuu enzi hzo mademu Wanakula kitu inaitwa shumizi kama sikosei,Kulikuwa na mboga za asili mkuu, ilikuwa adimu sana kuona papa original ya kitanzania ila Mitikiso alitubeba sana🤣🤣🤣
😅😅😅 Waliokuwa wanaotumia Hotmail walikuwa wanajiona wajanjaaahotmail, kufungua email unalipia internet cafe... aiseee...
Aisee nimekubali.Watoto wa 2000 hawawezi kuelewa hizi changamoto..😀
View attachment 3204417
Hii ya kulipia ilienda hadi 2012 kama sikosei kwa baadhi ya mikoa yetu sisi maporini hukohotmail, kufungua email unalipia internet cafe... aiseee...
Yaani kwa jinsi walivyokuwa wanavaa, hadi uifikie ilipo ni kazi sana, sisi ilikuwa ukiona underskirt lazima maungo yashtuke🤣🤣Aah mkuu enzi hzo mademu Wanakula kitu inaitwa shumizi kama sikosei,
kwamba bolotoba2004@hotmail.com..... hapo e-mail unaona sijui ni kitu gani.. kama akaunti ya benki.Hii ya kulipia ilienda hadi 2012 kama sikosei kwa baadhi ya mikoa yetu sisi maporini huko
Fuatilia zote zipo hapa...Nimetumia almost zote ongeza hapo nyenzidotcom , na ile Tanzatl.
😅Basi unaenda kwa konki fulani pale street kamaliza fomsix yupo mtaa ana kacertificate kake kakompyuta 😅Jina la utani tulimuita masijalakwamba bolotoba2004@hotmail.com..... hapo e-mail unaona sijui ni kitu gani.. kama akaunti ya benki.
Miaka inaenda kasi sahv algorithm ya insta inakupa unachotaka babake😅Yaani kwa jinsi walivyokuwa wanavaa, hadi uifikie ilipo ni kazi sana, sisi ilikuwa ukiona underskirt lazima maungo yashtuke🤣🤣
Na miwani flani ikibidi na gari..Mshangazi lazima uwe na Mtako huo, lazima uwe mwupee, lazima uwe zuri kuliko vibinti hivi.. lazima liwe na shanga ya dhahabu.. kama hana hivyo huyo sio mshangazi
nyenzidotcom sijaiona hapo na myspace.Fuatilia zote zipo hapa...